Je, ni kwanini haiwezekani kuyachoma moto maji?

Je, ni kwanini haiwezekani kuyachoma moto maji?

Kuungua ni ‘Combustion’, labda tumia neno hilo.., burning ni a very specific form of ‘Combustion’
Ok, kwenye combustion, ili itokee, lazima kuwe na vitu vitatu, Heat, Fuel na Oxygen. Kama vyote vitatu vipo bila kujali product/by-products za combustion, then tunasema kitu hicho kimeungua. Sasa kwenye kuunguza maji, hivyo vitatu vipo?
 
Maji (H2O) yana uwezo wa kupitisha joto vizuri, hivyo yanapofikia kiwango cha juu cha joto, badala ya kuwaka moto, yanageuka kuwa mvuke. Kwa kuongeza, maji hayana vitu vya kuwaka moto ndani yake kama vile kaboni, ambayo ni lazima ili kitu kiweze kuwaka moto.
Hapo umechukulia kuungua kama ‘burning’, badala yake expand maana ya hilo neno kuungua ili liweze kuencompass ‘Combustion’ za aina zote, hata za material ambazo sio ‘Carbon based’
 
Aiseee..!! I love JF. Kwamba kaka yangu FRANCIS DA DON anaulizia kama majivu (maji) yanaungua..!!
Naona jibu murua and logical lipo hapa.., kwamba hatuwezi kuunguza majivu. Sasa leo hii ukimwambia mtu kwamba anaoga Majivu atakutukana. Au leo hii ukamwambia mtu kwamba sio kila majivu ni machafu atakuita mgonjwa wa akili. Anyway..,ndio maisha haya, kuishi na wajinga ni kipaji na kinahitaji uvumilivu wa hali ya juu..
 
Naona jibu murua and logical lipo hapa.., kwammba hatuwezi kuunguza majivu. Sasa leo hii ukimwambia kwamba anaoga Majivu atakutukana. Au leo hii ukamwambia mtu kwamba sio kila majivu ni machafu atakuita mgonjwa wa akili. Anyway..,ndio maisa haya, kuishi na wajinga ni kipaji na kinahitaji uvumilivu wa hali ya juu..
😀😀😀 Kwamba ukipata kiu unakunywa majivu ya baridi yanakata kiu. Nguo zikichafuka unafua kwa majivu ya mvua maana hayo ni majivu soft povu la sabuni linakuwa jingi..!!!
 
Hapo umechukulia kuungua kama ‘burning’, badala yake expand maana ya hilo neno kuungua ili liweze kuencompass ‘Combustion’ za aina zote, hata za material ambazo sio ‘Carbon based’
Maji (H2O ) Yana hydrogen mbili na oxygen, hydrogen ni flammable (inaungua) lakini oxygen sio kwaio katika process ya kutengeneza maji lazma izo hydrogen zi ungue na kuoxidize na oxygen ndo maji yatokee ,kwaio maji ni end product ambayo ilishaungua wakati inatengenezwa.
 
Kwa sayansi sawa ila kwa Mungu inawezekana.

Pale Nabii Elia alipokuwa anashindana na mabaali aliomba moto ukashuka toka Mbinguni ukateketeza kila kitu mpaka maji yaliyokuwepo kwenye ile sadaka.
Ikifika kwny suala la imani hata mtu mzima anakuwa kama mtoto
 
Maji (H2O ) Yana hydrogen mbili na oxygen, hydrogen ni flammable (inaungua) lakini oxygen sio kwaio katika process ya kutengeneza maji lazma izo hydrogen zi ungue na kuoxidize na oxygen ndo maji yatokee ,kwaio maji ni end product ambayo ilishaungua wakati inatengenezwa.
Point yako inashabihiana na post #25
 
Hata ukamwagia mafuta ya petroli na kupiga kiberiti, mafuta yataungua ila maji yatabaki kama yakivyo.

Whats the mechanism behind this fire resistance?

Kwa wale waliosoma fire and rescue services, moto una tafsiri yake kisayansi. Watu wengi wanaujua moto na infact wanautumia katika maisha ya kila siku lakini ukimuuliza mtu moto ni nini atapata ugumu kujibu.

Ni katika tafsiri ya moto ndipo jibu la swali lako lilipo.

Kisayansi moto ni hali inayotokea vinapokutana vitu vitatu i.e
1. Oxygen(kati ya asilimia 16 na 18)
2. Heat (zaidi ya degree za centigrade 65), na 3. Fuel (chakula cha moto) si kwa maana ya mafuta pekee, inaweza kuwa karatasi, mbao, kitambaa nk nk.

Ikitokea moja kati ya hivyo vitatu hakipo au kikapungua upatikanaji wake, moto hautawaka.

Kwa hiyo dhana ya “zimamoto” huwa ni kudhibiti moja kati ya hivyo vitatu au vyote ili moto usiendelee kuwaka.

Ukitazama hizo components za moto utagundua kuwa maji huwa yanaathiri joto (kulipunguza) hivyo basi, joto likiathiriwa na maji na kuwa kuwa chini ya 65 degrees (C) moto hautakuwa moto tena.

Hiyo ndiyo sababu kuu moto hauwezi kuyaunguza maji, na ndiyo maana maji yanatumika kuzima baadhi ya aina za moto japo si zote.
 
Kwa wale waliosoma fire and rescue services, moto una tafsiri yake kisayansi. Watu wengi wanaujua moto na infact wanautumia katika maisha ya kila siku lakini ukimuuliza mtu moto ni nini atapata ugumu kujibu.

Ni katika tafsiri ya moto ndipo jibu la swali lako lilipo.

Kisayansi moto ni hali inayotokea vinapokutana vitu vitatu i.e
1. Oxygen(kati ya asilimia 16 na 18)
2. Heat (zaidi ya degree za centigrade 65), na 3. Fuel (chakula cha moto) si kwa maana ya mafuta pekee, inaweza kuwa karatasi, mbao, kitambaa nk nk.

Ikitokea moja kati ya hivyo vitatu hakipo au kikapungua upatikanaji wake, moto hautawaka.

Kwa hiyo dhana ya “zimamoto” huwa ni kudhibiti moja kati ya hivyo vitatu au vyote ili moto usiendelee kuwaka.

Ukitazama hizo components za moto utagundua kuwa maji huwa yanaathiri joto (kulipunguza) hivyo basi, joto likiathiriwa na maji na kuwa kuwa chini ya 65 degrees (C) moto hautakuwa moto tena.

Hiyo ndiyo sababu kuu moto hauwezi kuyaunguza maji, na ndiyo maana maji yanatumika kuzima baadhi ya aina za moto japo si zote.
Well, tumejaribu kutafsiri neno kuungua liwe ‘combustion’ badala ya ‘burning’ ili tuweze kuwa na wigo mpana zaidi uliotuwezesha kujadili kuhusu kuungua kwa maji.

Na hapo ndio tunaweza kujadili kitu kama ‘liquid hydrogen’ ambayo ni ya baridi sana kuweza kuungua na kutengeneza maji (majivu)
 
Hapo umechukulia kuungua kama ‘burning’, badala yake expand maana ya hilo neno kuungua ili liweze kuencompass ‘Combustion’ za aina zote, hata za material ambazo sio ‘Carbon based’
Kwa uelewa wangu mdogo katika mchakato wa combustion, ambao unaweza kuhusisha vifaa visivyo vya carbon based, kinachohitajika ni mafuta na oxidizing agent. Maji, ndani yake hayana mafuta yoyote ndani yake
 
Back
Top Bottom