Je, ni kwanini haiwezekani kuyachoma moto maji?

Je, ni kwanini haiwezekani kuyachoma moto maji?

Maji hua yanaungua kwa mfano umechemsha mafuta haya ya kupikia kwa mda mrefu then ukitia maji pale kuna mlipuko utatokea ndo kuungua kwake huko🤯
 
Kwa sayansi sawa ila kwa Mungu inawezekana.

Pale Nabii Elia alipokuwa anashindana na mabaali aliomba moto ukashuka toka Mbinguni ukateketeza kila kitu mpaka maji yaliyokuwepo kwenye ile sadaka.
Acha kutuletea habari za kipumbavu hapa. Habari za kufikirika
 
Maji hua yanaungua kwa mfano umechemsha mafuta haya ya kupikia kwa mda mrefu then ukitia maji pale kuna mlipuko utatokea ndo kuungua kwake huko🤯
Hapo hayajaungua, yanakuwa ‘Vapourised’ kuwa mvuke, ila yakipoa yanarudi tena kuwa maji
 
Baada ya kwenda kwa sangoma kakuchanjia Dawa kwenye maji na kukuaminisha kuwa kama maji yasivyoungua na ww hautaungua, bro nakuhakikishia acha wizi ndugu, Tutakupiga kiberiti na utawaka kama box tu, IN CAPITAL LETTER BRO UTACHOMWA UTAUNGUA STOP CRIME, Hapa Jf sio sehem ya kukuamisha kuwa maji hayaungui. Hili swali lako limekaa kimkakati sana
 
Maji yametengenezwa kwa molecules za Hydrogen na oxygen. Vitu vyote vinavyoweza kuungua vimetengenezwa kwa carbon ie hydrocarbons zote zinaungua
 
Baada ya kwenda kwa sangoma kakuchanjia Dawa kwenye maji na kukuaminisha kuwa kama maji yasivyoungua na ww hautaungua, bro nakuhakikishia acha wizi ndugu, Tutakupiga kiberiti na utawaka kama box tu, IN CAPITAL LETTER BRO UTACHOMWA UTAUNGUA STOP CRIME, Hapa Jf sio sehem ya kukuamisha kuwa maji hayaungui. Hili swali lako limekaa kimkakati sana
Ushindwe na ulegee.., siwezi kukuiga wizi
 
Maji yametengenezwa kwa molecules za Hydrogen na oxygen. Vitu vyote vinavyoweza kuungua vimetengenezwa kwa carbon ie hydrocarbons zote zinaungua
Combustion hutokea hata kwa visivyo na carbon. Mfano ukiunguza (oxidize) gesi ya Hydrogen unapata maji
 
Maji yana 2 elements,
Hydrogen na Oxygen,Hydrogen ni flammable ila Oxygen sio flammable,
Maji yenyewe ni extinguishing agent that absorb heat and incombustible,which means it cannot burn.
Chemistry ya form one
 
Jiulize kwanza kwanini mafuta yanaungua jibu utakalopata ndio kinyume chake
 
Kwa maelezo yako ya mwanzo, maji hayawezi kuungua sababu yanashusha joto. Je, tukiyapa maji joto la kutosha, na oxygen ya kutosha, na yenyewe yawe ndio fuel ya kuungua, yataungua?
Labda kama maswali yako siyo ya kisayansi, ila kisayansi maji yakiwa vapour ndio yameungua tayari. Kwa hiyo unavoyapa joto ndio unayaunguza hivo.


Na je, maji yakiwa ya moto (99 degrees celcius) ila katika mfumo wa kimiminika, ukimwagia kwenye moto, hautazima sababu maji ni ya moto?
Yes, moto hautazima kwa sababu maji kama extinguishing agent yanatumika kupunguza temperature. Ndio maana sio class zote za moto zinazimwa kwa maji, class zingine za moto hata hayo ya baridi tu hayazimi chochote.

Na je, unafahamu kwamba kwenye ‘Burning’ lazima ‘Oxygen’ iwepo, ila katika ‘Combustion’ sio lazima pawepo ‘Oygen’, bali inaweza kutokea hata kwa ‘gas’ nyingine mfano ‘Chlorine gas’ (Cl2)?
View attachment 3047934
Nafahamu kuwa chlorine na fluorine zinaweza kuhisika kwenye burning in case huhitaji mabaki yoyote.

Ila kwa case ya maji unawezaje kuignore oxygen kwenye combustion process wakati maji yana element ya oxygen tayari.
 
Labda kama maswali yako siyo ya kisayansi, ila kisayansi maji yakiwa vapour ndio yameungua tayari. Kwa hiyo unavoyapa joto ndio unayaunguza hivo.



Yes, moto hautazima kwa sababu maji kama extinguishing agent yanatumika kupunguza temperature. Ndio maana sio class zote za moto zinazimwa kwa maji, class zingine za moto hata hayo ya baridi tu hayazimi chochote.


Nafahamu kuwa chlorine na fluorine zinaweza kuhisika kwenye burning in case huhitaji mabaki yoyote.

Ila kwa case ya maji unawezaje kuignore oxygen kwenye combustion process wakati maji yana element ya oxygen tayari.

Tumeshajadili nini maana ya ‘Combustion’ hapo nyuma. Kubadili maji kutoka liquid state kwenda gaseous state sio combustion, bali Unakuwa umeyapasha moto tu, na yakipoa yatarudi kuwa maji, kitu kilichounguzwa, kikipoa, hakirudi kuwa kama mwanzo.

Pia, maji ni matokeo ya kuunguzwa kwa gesi ya Hydogen kwa kutumia gesi ya oxygen, hivyo maji ni kitu kilichounguzwa tayari, ndio maana hakiwezi kuungua tena.

Ndio maana hata maji yenye nyuzi joto 99 bado huwezi kuyaunguza.
 
Back
Top Bottom