Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,129
hii ajiri ya wahudumu wandege ingekuwa tu ni ya mkataba 2yrs renewable na kuna cut off age ie 18-25. Tuna wanafunzi wachuo wengi wanamaliza degree aged 22 na ni warembo kwa nini wasipewa course miezi 6 afu waende uko uko wasisubir ajira za kudumu .
Me nafata usafiri wenye huduma nzuri sinaga muda na hao wadada.
Kwanza nikiwa kwenye ndege namuwazaga Mungu tu.
Ila ni mshirikina sana piaHuyu mwanamke ni Mzuri sana.
Anavutia kwakweli
Kumbe kazi hii haitaji taaluma nikutupia tu watuNadhani hii itapelekea watu ambao hata hawakua na mpango wa kusafiri waaanze kutunga safari za uwongo na ukweli ilimradi tu wamiminiwe chai na Hamisa Mobetto, hii ni strategy ya kibiashara, tuache kuajiri vifutu, mkishindwa sana nendeni hata kule kwa warangi mkafanye vetting. Ila Diamond baba lao aisee.., daah..
View attachment 1257965
View attachment 1257989
Kudanga atamuachia nani!?anaweza kupigwa mikasi hata chooni huyo ndege ikiwa hewani
Hahahah, wabongo siwawezi aisee...!!Hilo ndio wazo la haraka haraka lililonijia, Atatuharibia vyoo vyetu huyu.
Hawa ndio ma hostage wenyewe..
View attachment 1257978
Ni profession na sio professional.Inabdi ifahamike hii kitu mtu anaingia darasani na unafanya mtihani na kuna kufeli, embu tuheshimu Profesional za watu bn. kuna vitu vingi vinaangaliwa mkuu zaidi ya urefu na urembo
haha Magufuli anawaita Air Hostages [emoji28][emoji28][emoji28] dah mzee anayumba sana kwenye lugha
Hujuma hiiHawa ndio ma hostage wenyewe..
View attachment 1257978
wewe ndo hauko serious,Hivi hamisa ana uzuri gani na ile mishavu yake? ,kuwa serious aiseeeeh
Nyie watu mnaoishi nanjilinji na mmezaliwa miaka ya elfu2 sijui mkoje? Eti laki5 ni hela ya lipstick? Kwa mchongo UPI anaofanya Huyo hamisa mobetto? Huyo hamisa aliajiriwa na Sam misago part time akawa analipwa laki5 kwa mwezi,kama haitoshi alikuwa analilia alipwe elfu75 na daimond kwa siku kwaajili ya matumizi ya mtoto,shubahaamitKwa mtu kama Hamisa hiyo ni pesa ya lipstick tu, sio ishu kwake