Jukumu la serikaliIn a capitalist world you cant fight them( RICH GANGSTERS) and win.
📌📌Kwanini nyie wasomi msihimize raia kujiepusha na hivyo vitu maana hakuna sheria ya kulazima watu walewe au wanywe hizo energy drinks.Kwahiyo bado inabaki kuwa ni hiyari ya mtu binafsi na utashi wake.
Umeni attack, hujafocus kwenye point dogoUNATAKA AWASHIKIE FIMBO.WEWE UTAKUWA UNAPERSONAL ISSUES NA JANABI.
MWENZAKO ANATUMIA JUKWAA ALILOPO KATIKA KUSHARE KIDOGO NA KATIKA LUGHA AMBAYO HATA WAJINGA WAJINGA HUKO MTAANI WANAELEWA.
WEWE ULITAKA AFANYAJE KATIKA HII CORRUPT COUNTRY NA MAMLAKA HUSIKA ZIPO PARALIZED!!!
📌📌📌HIYO KUWA PHD CANDIDATE INAKULEVYA UNAJIHISI UMEMALIZA😄😄😄.UNAONYESHA TABIA ZA KIAFRICA TYPICALLY🙌🙌🙌
Mkuu wazee wa zamani walikuwa wanafanya kazi ambazo zilikuwa zinatumia nguvu nyingi kama vile kulima kwahiyo miili yao ilitumia glucose nyingi ila vijana wa sasa wengi kazi zao hazitumii nguvu nyingi kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia.Wazeee wetu wameishi kwenye mchele ngano na dona plus mbege miaka yao tisini. Zote hizo ni carbohydrates leading to glucose.
With all that ,,Hawajui sukari, presha wala figo, wengi wqmekufa just for old age
Iweje nyie vijana wa 30 na 40 to 50 , ulaji wa ngano sembe na dona na mchele iwaletee figo na sukari
Unaweza kutoa Data to support your claim , mind that everything in excess is harmful including water
You said it all cheif.Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.
Je, tatizo ni nini ?
Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .
Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.
Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.
Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.
Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?
Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.
GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.
Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !
Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !
Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.
Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.
Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa
Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Life style ndo chanzo kikuu cha magonjwa hayo.Ni kweli kuwa asilimia 98 ya watanzania hawana/ hawajui elimu ya lishe.
Pamoja na ukweli huo, ni muhimu kujiuliza, "uchunguzi wa kisayansi kuhusiana na magonjwa hayo (Kisukari, Shinikizo la juu/chini la damu, moyo, Kansa,Figo na Ini) unaonyesha nini?
Nini husababisha magonjwa hayo?
Life style ndo chanzo kikuu cha magonjwa hayo.okay
Kwanini wengi mna komalia life style ? Yes ni among the other factors ; but life style sio cause relationships.Life style ndo chanzo kikuu cha magonjwa hayo.
Mkuu kwani mtu analazimishwa kula hizo junk foods?Kwanini wengi mna komalia life style ? Yes ni among the other factors ; but life style sio cause relationships.
Kama tukiwa na life style nzuri….. but masokoni kumejaa toxic foods ….. would life style be beneficial?
Cut off point ni UDHIBITI. Ukisolve hilo utasolve lots
Kuna watu wapo prone kwa hayo magonjwa… yaani miili yao inasubiri tu declencher , so hata kama una life style nzuri but unakunywa one glass of wine fake …. Just glass moja tu ….. tayar imekula kwako
Unakula matikiti hayanq hata mbegu….. unaingiza declencher mwilini , over time … accumulation inatokea you are Fired on earth .
So point ipo kwenye UDHIBITI… majority wataokoka na kuwa salaama
Unga uliokobolewa una shida gani?Bakhresa na Dewji wana mchango wao kwa jinsi walivyokuza na kusambaza consumer products kama energy drinks na unga uliokobolewa.
cancer, kisukari, magonjwa ya moyoUnga uliokobolewa una shida gani?
kama wewe ulivyomuattack Janabi badala ya kufocus kwenye mada.Umeni attack, hujafocus kwenye point dogo
KWENDA CANADA HAKUJAKUSAIDIA😄😄😄Mnaishi kama machokoraa au mbwa waliokosa mfugaji
Jukumu la afya yako mwenyewe unaipa serikali.Msomi kama wewe unatoa hoja mufilisi kama hii😄😄😄u cant be serious!!!Jukumu la serikali
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.
Je, tatizo ni nini ?
Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .
Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.
Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.
Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.
Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?
Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.
GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.
Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !
Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !
Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.
Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.
Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa
Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
HivI ni unga we sembe tuu au kila unga uliokobolewa?barikiwa sana ndugu, pia kuna mchangiaji amesema katika moja ya comment kuwa ulaji wa unga mweupe [sembe] na carbonated drinks ni miongoni mwa sababu ya chanzo cha magonjwa hayo yaliyotajwa kwenye hii mada. Vp unaweza ukatupa elimu ili tuweze kujiepusha tafadhali.
Kwa kanda ya ziwa kuna uwezekano chanzo cha cancer kuwa kubwa ikawa sio dona, ila ni sumu zilizopo ziwa victoria, na watu wanapata cancer kupitia samakiUnga wa kukobolewa Haujafanya uchunguzi vizuri.
Kati ya dona na Sembe Basi Dona ndo mbaya ... Ndo maana mikoa inayoongoza kwa Kansa ni Mikoa kanda ya ziwa
HujitambuiUnga wa kukobolewa Haujafanya uchunguzi vizuri.
Kati ya dona na Sembe Basi Dona ndo mbaya ... Ndo maana mikoa inayoongoza kwa Kansa ni Mikoa kanda ya ziwa