Je, ni kwanini wachezaji washiriki wa CAF Champions Ligue hawachezi EPL (England Primier Ligue?)

Je, ni kwanini wachezaji washiriki wa CAF Champions Ligue hawachezi EPL (England Primier Ligue?)

Unadhani mashindano ya CAFCL yanaweza hata kufikia quality ya Europa Conference league?

Vipi unaweza kumchukua Al Ahly akapata ushindi dhidi ya Atalanta ( bingwa wa Europa league)?

Waafrika wengi wanaocheza EPL na hata ulaya kwa ujumla hupitia nchi kama France, Belgium, Austria kabla ya kusajiliwa England.

League ngumu Ile!

Kwa level ya Africa wachezaji wa CAFCL na CAFCC wanaweza kucheza league za Belgium, Austria na madaraja ya chini ya France.
Wewe unaichukulia ahly poa kumbe kwa taarifa tu hiyo club inafikaga hadi nusu fainali kombe la vilabu la dunia.
 
Ligi za kati kama Uturuki Sweden Norway Poland etc Mayele, Feisal, Baka, Mudathiri wanacheza vizuri tu..
Tena hawahitaji Majaribio.

Kuna mambo mawili hapo;
Kuwa na uwezo wa kucheza ni jambo moja, Kuweza Kuaminiwa na kocha ni jambo jingine nalo ndio gumu zaidi (refer history ya okocha)

Enock Inonga ndiye mchezaji pekee kutoka ligi za Afrika aliyefanikiwa kuaminiwa na kocha mkuu wa timu ya taifa ya DRC...akiwaweka benchi mabeki wenye profile ya juu wenzie kutoka ulaya.

Ukiwatoa kolo Toure na Amri Zaki Sina kumbukumbu kama kuna mchezaji mwingine aliyewahi kutoka CAF CL kwenda EPL moja kwa moja na kupata namba.
Toure alitoka Asec akasajiriwa Arsenal moja kwa moja na kupata namba.

Amri Zaki yeye alisajiriwa Wigan kutoka Zamaleki na kuaminiwa kuanza kwny first 11.

Ni nadra sana kuondoka Afrika ukiwa na over 23...na ukawa star ulaya..

Andre Onana kaondoka Cameron akiwa na 16...Victor osimhem, Drogba na Etoo wametoka kwny nchi zao wakiwa watoto sana.
 
Ni mimi wako :UWESUTANZANIA 🧠

Kwa tafiti fupi niliyoifanya nimegundua kuwa ni vigumu sana wachezaji washiriki wa CCL (caf champion ligue) kusajiliwa kwenye timu shiriki za EPL (England premier ligue)?

Michuano ya vilabu bingwa vya Afrika vimekuwa vikiibua vipaji vya vijana wengi wa kiafrika mfano (P.tau, p. Zouzoua, G.diara, K.aziz, C.chama nk,. Lakini ni vigumu sana kuwaona wanasajiliwa kwenye vilabu vya EPL,.

Kuna mda timu kama Chelsea unaona kabisa kuwa wanauhitaji na mtu kama G.diara au K.aziz au F.mayere lakini inakuwa ngumu kuja kuwachukua je ,
Wanaichukulia poa Caf champion ligue au ni hawana maskauti wenye umahiri?

Kuna wakati vilabu kama A.ahly, M.sundowns, Y.African, Simba, Pd.ruanda huwaibua vijana wenye skills na taranta ya hali ya juu lakini bado BODA inakuwa ngumu.


Hata ukitaka kumtaja M.samatta bado utakuwa ndani ya maono yangu maana hakutoka Tp mazembe moja kwa moja na kwenda Astonvilla alienda kwanza Rc genk afu wao wamemchukua kutoka genk. Nasio huyo tu kalibia wote.

JE KUNA UKUTA GANI?, UGUMU UPO WAPI?
Mpira wa ulaya unahitaji mambo mengi Sana. Wenzetu wanaamini kwenye umri, saikolojia ya mchezaji, historia ya mchezaji/taiga, malengo ya mchezaji nk.

Leo hii Samata anaonekana mwamba Tz, kwa kuifunga Liverpool na Man city. Yeye mwenyewe anaweza akawa anataja kama moja ya mafanikio yake. Wazungu wanahitaji watu wanaowaza vikombe vikubwa kwaajil ya timu. (Sio mchezaji na taifa lake)
 
Simba aliwai kucheza na sevilla wakaenyeka kweli kweli. Golmahia waliwai kucheza na Everton wakaenyeka. ile timu ya ujerumani imecheza na yanga kule south kama wangeongeza dakika mambo yangekuwa mengine. Hv skills za azizi pacome, Max, Diarra, au backa sikuna wachezaji Manchester au Monaco wangetakiwa kula bench.
Ila sii uliona jinsi game lilivyobadilika second half sevilla wakafanya yao.
Wee bwana levels tofauti hizo wale na huwezi kupima nguvu na timu kwenye friendly wachezaji wanajua jinsi ya kujipace kwenye mechi za kirafiki
 
Ligi za kati kama Uturuki Sweden Norway Poland etc Mayele, Feisal, Baka, Mudathiri wanacheza vizuri tu..
Tena hawahitaji Majaribio.

Kuna mambo mawili hapo;
Kuwa na uwezo wa kucheza ni jambo moja, Kuweza Kuaminiwa na kocha ni jambo jingine nalo ndio gumu zaidi (refer history ya okocha)

Enock Inonga ndiye mchezaji pekee kutoka ligi za Afrika aliyefanikiwa kuaminiwa na kocha mkuu wa timu ya taifa ya DRC...akiwaweka benchi mabeki wenye profile ya juu wenzie kutoka ulaya.

Ukiwatoa kolo Toure na Amri Zaki Sina kumbukumbu kama kuna mchezaji mwingine aliyewahi kutoka CAF CL kwenda EPL moja kwa moja na kupata namba.
Toure alitoka Asec akasajiriwa Arsenal moja kwa moja na kupata namba.

Amri Zaki yeye alisajiriwa Wigan kutoka Zamaleki na kuaminiwa kuanza kwny first 11.

Ni nadra sana kuondoka Afrika ukiwa na over 23...na ukawa star ulaya..

Andre Onana kaondoka Cameron akiwa na 16...Victor osimhem, Drogba na Etoo wametoka kwny nchi zao wakiwa watoto sana.
Noted,. Nimepata cha kwenda kupigia kelele kijiweni leo
 
Dakika 90 za mechi ya EPL ni sawa na dakika 270 za CAFCL huyo kibabage sijui Aziz K akicheza EPL ile GPS itamcount kama mzururaji tu uwanjani
Samatra kuna siku alitapika maji kabisamaana kilometer alizokimbia mle ywanjani ni sawa na ktoka ubungo mpaka chalinze kwenda na kurudi.
Breakfast mtihaniwa kwanza ni kumaliza mkatemmoja na kuku mzima unashushia ndizi saba na maji ya kunywa lita tatu,nani anaweza
 
Huku wachezaji wanadanganya sana umri, wachezaji wengi mpaka wanaonekana wanakuwa washamaliza 75% ya maisha yao ya soka hakuna jipya wanaloweza kufanya kwenye ligi ngumu kama ile.

Kingine wenzetu wanaamini katika profile ya mchezaji na takwimu zake, huku mchezaji alikuwa bodaboda kaingia kwenye professional soccer hana hata misimu mitatu, kwao hii ni big no ndio maana timu nyingi zinachukua wachezaji wanaotokea kwenye academy.

Mchezaji akishavuka miaka 25 na hajapata nafasi ya kutwaliwa na vilabu kutoka Ligi hiyo ndio asahau labda iwe ngekewa.
 
Dakika 90 za mechi ya EPL ni sawa na dakika 270 za CAFCL huyo kibabage sijui Aziz K akicheza EPL ile GPS itamcount kama mzururaji tu uwanjani
Samatra kuna siku alitapika maji kabisamaana kilometer alizokimbia mle ywanjani ni sawa na ktoka ubungo mpaka chalinze kwenda na kurudi.
Breakfast mtihaniwa kwanza ni kumaliza mkatemmoja na kuku mzima unashushia ndizi saba na maji ya kunywa lita tatu,nani anaweza
Kuna jamaa anachezea E.tunis anaweza kabisa
 
Back
Top Bottom