Je, ni kwanini wachezaji washiriki wa CAF Champions Ligue hawachezi EPL (England Primier Ligue?)

Je, ni kwanini wachezaji washiriki wa CAF Champions Ligue hawachezi EPL (England Primier Ligue?)

Wapo wa hezaji ambao wanapata ofa kutoka uingereza sema pale al ahly wanalipwa kulingana na scale za malipo wanayoyapata timu ndogo ndogo mfano lesta, nottingham forest kwaiyo kumtoa mchezaji pale labda ije timu kubwa mfano man u, chelsea, liverpool n.k ambayo itaweza kumpa malipo makubwa
Okey
 
Dakika 90 za mechi ya EPL ni sawa na dakika 270 za CAFCL huyo kibabage sijui Aziz K akicheza EPL ile GPS itamcount kama mzururaji tu uwanjani
Samatra kuna siku alitapika maji kabisamaana kilometer alizokimbia mle ywanjani ni sawa na ktoka ubungo mpaka chalinze kwenda na kurudi.
Breakfast mtihaniwa kwanza ni kumaliza mkatemmoja na kuku mzima unashushia ndizi saba na maji ya kunywa lita tatu,nani anaweza
🤣🤣🤣 oyaa nimechek vibaya mnoo
 
EPL sio ligi ya mchezo ,,, kucheza Epl sio lelemama uliza kina Wanyama wakuambie ,, kwanza huwezi kutoka Tanzania ukaingia Epl moja kwa moja Wana masharti Yao lazima utoke nchi 70 Bora duniani au ucheze huko
 
🤣🤣🤣 oyaa nimechek vibaya mnoo
Sahihi mkuu EPL ni habari ya moto, champions league ya Africa Ina team chache sana zenye world standard.

Al Ahly, mamelodi sundowns ( at it's peak) Esperance De Tunis ndiyo team pekee zinazoweza kufikiriwa kushindana na vilabu vilivyo championship England na siyo EPL material teams!
 
Ni mimi wako :UWESUTANZANIA 🧠

Kwa tafiti fupi niliyoifanya nimegundua kuwa ni vigumu sana wachezaji washiriki wa CCL (caf champion ligue) kusajiliwa kwenye timu shiriki za EPL (England premier ligue)?

Michuano ya vilabu bingwa vya Afrika vimekuwa vikiibua vipaji vya vijana wengi wa kiafrika mfano (P.tau, p. Zouzoua, G.diara, K.aziz, C.chama nk,. Lakini ni vigumu sana kuwaona wanasajiliwa kwenye vilabu vya EPL,.

Kuna mda timu kama Chelsea unaona kabisa kuwa wanauhitaji na mtu kama G.diara au K.aziz au F.mayere lakini inakuwa ngumu kuja kuwachukua je ,
Wanaichukulia poa Caf champion ligue au ni hawana maskauti wenye umahiri?

Kuna wakati vilabu kama A.ahly, M.sundowns, Y.African, Simba, Pd.ruanda huwaibua vijana wenye skills na taranta ya hali ya juu lakini bado BODA inakuwa ngumu.


Hata ukitaka kumtaja M.samatta bado utakuwa ndani ya maono yangu maana hakutoka Tp mazembe moja kwa moja na kwenda Astonvilla alienda kwanza Rc genk afu wao wamemchukua kutoka genk. Nasio huyo tu kalibia wote.

JE KUNA UKUTA GANI?, UGUMU UPO WAPI?
Uzi unanukia harufu ya yanga yanga
 
Back
Top Bottom