Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
-
- #41
Kwahiyo wanalichukulia/unalichukulia bara letu kisoka lipo chini sana eee?Kama Mpanzu tu huko Genk ya ubelgiji Mpaka alifanyiwa majaribio,itakuwaje Epl,,Sisi huku tunamuona bonge la talent
Kuna patern lazima upitie ili kucheza Epl,hawaokoti okoti tu.Kwahiyo wanalichukulia/unalichukulia bara letu kisoka lipo chini sana eee?
Ndio maana man U wanafeli, waje Caf champion ligue wachukue watu watakuja kunishukuru baadae. Kwanza hawatatumua gharama kubwaKuna patern lazima upitie ili kucheza Epl,hawaokoti okoti tu.
Epl ni kama jeshi lazima upitie mafunzo ya JKT namaanisha academy zinazoeleweka
Hebu mwaka mmoja wafanye kama bonusNdio maana man U wanafeli, waje Caf champion ligue wachukue watu watakuja kunishukuru baadae. Kwanza hawatatumua gharama kubwa
Tumpandishe hata mamelodyHebu mwaka mmoja wafanye kama bonus
Tukusanye timu Africa tuzamie Epl wafanye kama Al hilal tukajipime uzito tumechoka dharau
Ila EPL washenzi wale.Ile kasi ya pale Epl sio mchezo muulize Samatha alikuwa anakimbia pasi π
Kwanini?Ila EPL washenzi wale.
Unataka wacgezaji wafie uwanjani,dakika 15 za Epl unatumia energy ya dakika 90 za CafCLNdio maana man U wanafeli, waje Caf champion ligue wachukue watu watakuja kunishukuru baadae. Kwanza hawatatumua gharama kubwa
Kwahiyo huku ni himaya za vipofu mfalme chongo (p.zouzoua na wenzake akina tau au sio?Unataka wacgezaji wafie uwanjani,dakika 15 za Epl unatumia energy ya dakika 90 za CafCL
Nakupa home work jumamosi angalia EPL alafu switch kwenye ligi yetu,utagundua ni michezo miwili tofauti,ile ni sokalajini letu ni kabumbuKwahiyo huku ni himaya za vipofu mfalme chongo (p.zouzoua na wenzake akina tau au sio?
Sawa mkuuNakupa home work jumamosi angalia EPL alafu switch kwenye ligi yetu,utagundua ni michezo miwili tofauti,ile ni sokalajini letu ni kabumbu
Hatujikubali tu ila kwa sasa Africa tume piga hatua timu kama Mamelodi Sundown, Raja, Al Ahil zina wachezaji wana kipiga EPL bila shidaHuku Afrika ukiwa na uwezo wa kupiga mpira mbele eti unaambiwa unajua boli.
Inafikirisha sana!
Kumbe shida ipo wapiHatujikubali tu ila kwa sasa Africa tume piga hatua timu kama Mamelodi Sundown, Raja, Al Ahil zina wachezaji wana kipiga EPL bila shida
We fikiria Gabriel wa Arsenal anavyokaba kiroho mbaya.Kwanini?
Wanaweza kucheza vizuri tu.Unadhani mashindano ya CAFCL yanaweza hata kufikia quality ya Europa Conference league?
Vipi unaweza kumchukua Al Ahly akapata ushindi dhidi ya Atalanta ( bingwa wa Europa league)?
Waafrika wengi wanaocheza EPL na hata ulaya kwa ujumla hupitia nchi kama France, Belgium, Austria kabla ya kusajiliwa England.
League ngumu Ile!
Kwa level ya Africa wachezaji wa CAFCL na CAFCC wanaweza kucheza league za Belgium, Austria na madaraja ya chini ya France.
VIpaji vipo mkuu kuna jamaa anaitwa aboutrika alikua anacheza al ahly, timu kubwa za ulaya zilimtaka akachomoa. Kuna kipindi mzee wenga alimtaka Sunzu wakati huo yupo tp mazembe wakashindwana bei. Sema ndio kama ulivyosema ni adimu sana kwa sababu ya utofauti mkubwa wa viwango vya ushindani uliopo kwenye ligi husika.Unadhani mashindano ya CAFCL yanaweza hata kufikia quality ya Europa Conference league?
Vipi unaweza kumchukua Al Ahly akapata ushindi dhidi ya Atalanta ( bingwa wa Europa league)?
Waafrika wengi wanaocheza EPL na hata ulaya kwa ujumla hupitia nchi kama France, Belgium, Austria kabla ya kusajiliwa England.
League ngumu Ile!
Kwa level ya Africa wachezaji wa CAFCL na CAFCC wanaweza kucheza league za Belgium, Austria na madaraja ya chini ya France.
Wapo wa hezaji ambao wanapata ofa kutoka uingereza sema pale al ahly wanalipwa kulingana na scale za malipo wanayoyapata timu ndogo ndogo mfano lesta, nottingham forest kwaiyo kumtoa mchezaji pale labda ije timu kubwa mfano man u, chelsea, liverpool n.k ambayo itaweza kumpa malipo makubwaSema wewe kaka.
Na bado wachezaji wake hawawachukui
Kufeli majaribio sio ishu, sio kila mchezaji anaweza kucheza kwa kiwango cha juu kwenye mazingira ambayo ni mageni kwake, mbappe alishawahi kufeli majaribio chelseaKama Mpanzu tu huko Genk ya ubelgiji Mpaka alifanyiwa majaribio,itakuwaje Epl,,Sisi huku tunamuona bonge la talent
πππ leo hii umpeleke waziri junior akakabwe na jitu la miraba minne kama virjil, tackling moja tu watu wa huduma ya kwanza wanakuja kuokota maiti uwanjaniWe fikiria Gabriel wa Arsenal anavyokaba kiroho mbaya.
DaaππIle kasi ya pale Epl sio mchezo muulize Samatha alikuwa anakimbia pasi π