Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
-
- #61
OkeyWapo wa hezaji ambao wanapata ofa kutoka uingereza sema pale al ahly wanalipwa kulingana na scale za malipo wanayoyapata timu ndogo ndogo mfano lesta, nottingham forest kwaiyo kumtoa mchezaji pale labda ije timu kubwa mfano man u, chelsea, liverpool n.k ambayo itaweza kumpa malipo makubwa
Waziri jr sio wa CAF😀😀😀 leo hii umpeleke waziri junior akakabwe na jitu la miraba minne kama virjil, tackling moja tu watu wa huduma ya kwanza wanakuja kuokota maiti uwanjani
Ni kweli kabisa afu kuna siku mchezaji anakuwa haamiki vizuriKufeli majaribio sio ishu, sio kila mchezaji anaweza kucheza kwa kiwango cha juu kwenye mazingira ambayo ni mageni kwake, mbappe alishawahi kufeli majaribio chelsea
Hatuzungumzii nation team kaka.Ile ni top top level kabisa
Mchezaji anayecheza non league uingereza huku national anaanza kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mlijionea wenyewe Samatta alivyoenda Aston Villa 😄
🤣🤣🤣 oyaa nimechek vibaya mnooDakika 90 za mechi ya EPL ni sawa na dakika 270 za CAFCL huyo kibabage sijui Aziz K akicheza EPL ile GPS itamcount kama mzururaji tu uwanjani
Samatra kuna siku alitapika maji kabisamaana kilometer alizokimbia mle ywanjani ni sawa na ktoka ubungo mpaka chalinze kwenda na kurudi.
Breakfast mtihaniwa kwanza ni kumaliza mkatemmoja na kuku mzima unashushia ndizi saba na maji ya kunywa lita tatu,nani anaweza
Bila shaka kipindi hicho mbappe alikuwa under 16Kufeli majaribio sio ishu, sio kila mchezaji anaweza kucheza kwa kiwango cha juu kwenye mazingira ambayo ni mageni kwake, mbappe alishawahi kufeli majaribio chelsea
Acha kabisa, acha.😀😀😀 leo hii umpeleke waziri junior akakabwe na jitu la miraba minne kama virjil, tackling moja tu watu wa huduma ya kwanza wanakuja kuokota maiti uwanjani
Kwa hiyo Al Ahly ni Bora kuliko Tottenham Hotspur au Aston villa?Wewe unaichukulia ahly poa kumbe kwa taarifa tu hiyo club inafikaga hadi nusu fainali kombe la vilabu la dunia.
Sahihi mkuu EPL ni habari ya moto, champions league ya Africa Ina team chache sana zenye world standard.🤣🤣🤣 oyaa nimechek vibaya mnoo
Kabisa kabisa ni bora.Kwa hiyo Al Ahly ni Bora kuliko Tottenham Hotspur au Aston villa?
Soma vizuriHatuzungumzii nation team kaka.
Al ahly ata ligi daraja la kwanza hawezi kucheza acha habari zako wewe uingereza mpira wao ni hatari ndio uwapeleke hao waarabu Mchele mcheleKabisa kabisa ni bora.
Nusu fainali anafika anazitoa timu za america na asia hajawai kutoa hata timu Moja ya ulaya kama unabisha taja timu hata Moja tu aliyoitoa ya ulaya huyo Al ahlyWewe unaichukulia ahly poa kumbe kwa taarifa tu hiyo club inafikaga hadi nusu fainali kombe la vilabu la dunia.
Uzi unanukia harufu ya yanga yangaNi mimi wako :UWESUTANZANIA 🧠
Kwa tafiti fupi niliyoifanya nimegundua kuwa ni vigumu sana wachezaji washiriki wa CCL (caf champion ligue) kusajiliwa kwenye timu shiriki za EPL (England premier ligue)?
Michuano ya vilabu bingwa vya Afrika vimekuwa vikiibua vipaji vya vijana wengi wa kiafrika mfano (P.tau, p. Zouzoua, G.diara, K.aziz, C.chama nk,. Lakini ni vigumu sana kuwaona wanasajiliwa kwenye vilabu vya EPL,.
Kuna mda timu kama Chelsea unaona kabisa kuwa wanauhitaji na mtu kama G.diara au K.aziz au F.mayere lakini inakuwa ngumu kuja kuwachukua je ,
Wanaichukulia poa Caf champion ligue au ni hawana maskauti wenye umahiri?
Kuna wakati vilabu kama A.ahly, M.sundowns, Y.African, Simba, Pd.ruanda huwaibua vijana wenye skills na taranta ya hali ya juu lakini bado BODA inakuwa ngumu.
Hata ukitaka kumtaja M.samatta bado utakuwa ndani ya maono yangu maana hakutoka Tp mazembe moja kwa moja na kwenda Astonvilla alienda kwanza Rc genk afu wao wamemchukua kutoka genk. Nasio huyo tu kalibia wote.
JE KUNA UKUTA GANI?, UGUMU UPO WAPI?