Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Ila Majini kuwa ni ndugu zenu mnakubali.Madini ni viumbe ,kuna wema na waovu kama ilivyokuwa binadamu .
Kinachokatazwa katika uislamu.
*Kuabudu majini .
*Kuwatumikia
*Kuwatumia katika uovu na kushirikiana nao.
*Nk
Mnakubali kuwa ni Kaka wa Majini.
Huwa mnakutanaga wapi na kuongea lugha za kijini na kuelewanna?