China kwa chip bado wako nyuma kidogo lakini they are coming maana kilichotokea kama week mbili zilizopita na HUAWEI kimewaacha mabeberu na kizunguzungu, wanachotaka solve kikubwa ni machine za kuzalisha hizo chip kama zile za mdachi ASML ambazo kapigwa ban, they working day and night najua watazipata tuu maana nasikia research stage wameshavuka wanamalizia puzzles zilizobaki, Historia haiko upande wa mabeberu walishafnay huu upuuzi ili kumrudisha nyuma China lakini walipigwa na kitu kizito sana, mfano China alipigwa ban na kunyimwa kabisa technology ya GPS waliingia kazini wakaja na BeiDou kitu superior kuliko GPS, vile vile walipigwa ban space station walichofanya wakaja na ya kwao ambayo ni very modern na superior kuliko ya mabeberu, nuclear walifanya the same miaka ya 60 maana walijua bila nuclear wangeteseka tuu na kupewa order, sasa hivi wana hypersonic ambayo beberu hana na inawafanya Pentagon wasipate usingizi maana unaweza kushtukia iko mlangoni , wachina achana nao ni watu wanjua kuweka focus sana kwenye kitu wanachotaka, nimesoma nao na kule nyumbani ni kama wale washikaji wana akili sana na wanasoma usiku kucha bado, faculty zote za vyuo vikuu vya maana US kama Havard, Princeton, Yale etc kwenye masomo ya science, medicine,Engineering etc wamejaa wachina vibaya sana, hawa watu itakuwa ngumu sana kushindana nao, ila ninachoogopa ni ule ukomunisti wao maana naona kuna siku tutalazimishwa kuongea kichina dunia nzima