Je, ni kweli China inaongoza kuhusu Teknolojia na Uvumbuzi? - Ulaya na Marekani wamekubali?

Je, ni kweli China inaongoza kuhusu Teknolojia na Uvumbuzi? - Ulaya na Marekani wamekubali?

Yitu Technology


1695153524733.png
 
Naelewa technique uliyotumia hapo

Ume searcch jibu huja search swali.

Ume search kuhusu report ya seafood

Huja search kuhusu ulaji wa nyama kiujumla

I know well that trick
Ndio maana nikakuambia ni ripot mbili tofauti sasa angalia takwimu per capita.

Then uje uniambie wapi wanatumia sana vyakula vya baharini huwezi kuvihesabu kama nyama.
 
Hapo uliposema wapo nyuma kidog. Hebu tueleze katika kipi?
Wako nyuma kwenye Chip technology ambayo ndio roho ya kila kitu , kuanzia super computer, AI, weapon system etc zote zinategemea chip, kuna kampuni moja tuu duniani inayomilikiwa na wadachi inaitwa ASML ndiyo inazalisha machine za kuzalisha most advanced chip in the World ingawaje sio kampuni ya wamarekani lakini wanailinda kuliko wadachi wenyewe, mdachi kazuiwa na US asimuuzie mchina ndio maana mchina hawezi kutengeneza chip za chini ya 7nm, angalia youtube documentary ya hii kampuni yab ASML ni ya wadachi utajifunza mambo mengi sana na utaelewa kwanini US anaogopa sana mchina akiipata technology kama waliyokuwa nayo ASML, wataalam wanasema ni swala la muda tuu mpaka mchina aipate
 
Wako nyuma kwenye Chip technology ambayo ndio roho ya kila kitu , kuanzia super computer, AI, weapon system etc zote zinategemea chip, kuna kampuni moja tuu duniani inayomilikiwa na wadachi inaitwa ASML ndiyo inazalisha machine za kuzalisha most advanced chip in the World ingawaje sio kampuni ya wamarekani lakini wanailinda kuliko wadachi wenyewe, mdachi kazuiwa na US asimuuzie mchina ndio maana mchina hawezi kutengeneza chip za chini ya 7nm, angalia youtube documentary ya hii kampuni yab ASML ni ya wadachi utajifunza mambo mengi sana na utaelewa kwanini US anaogopa sana mchina akiipata technology kama waliyokuwa nayo ASML, wataalam wanasema ni swala la muda tuu mpaka mchina aipate
Mshine hizo za kuzalisha hizo chip zinaitwaje? Kwanini sasa hao wadachi wasitengeneze chips.

Hebu taja majina ya hizo mashine zinazotumika kutengeneza hizo chips. Na utuwekee hapa references.

Also upo nyuma sana mzee
Soma hapa:-

 
Wako nyuma kwenye Chip technology ambayo ndio roho ya kila kitu , kuanzia super computer, AI, weapon system etc zote zinategemea chip, kuna kampuni moja tuu duniani inayomilikiwa na wadachi inaitwa ASML ndiyo inazalisha machine za kuzalisha most advanced chip in the World ingawaje sio kampuni ya wamarekani lakini wanailinda kuliko wadachi wenyewe, mdachi kazuiwa na US asimuuzie mchina ndio maana mchina hawezi kutengeneza chip za chini ya 7nm, angalia youtube documentary ya hii kampuni yab ASML ni ya wadachi utajifunza mambo mengi sana na utaelewa kwanini US anaogopa sana mchina akiipata technology kama waliyokuwa nayo ASML, wataalam wanasema ni swala la muda tuu mpaka mchina aipate
Halafu hili nilijua tu mtakuja nalo ndio maana niliweka kabisa katika comments za kwanza.

Nenda kasome nimeweka 6nm yenye modem ndani ya 5G

Nimeweka ya Huawei 5nm yenye modem ya 5G
 
Apps mbadala haziwezi kuwa replacement ya hizo app hata siku moja.

Kwa matumizi ya China hilo haliwezi kuwa tatizo, ila Global ndio msala.

China hata Facebook kwao sio mchongo, wana WeChat.

Social Media apps zote za kimagharibi kule hazina deal. Ila Huawei kama ame target soko la kidunia lazima aangalie namna ya kuweza kuwavutia wateja wake ambao matumizi yao yapo kwenye hivyo vitu ambavyo yeye amepigwa marufuku.
Hata USA katika top 5 apps zinazotumika sana, 4 ni Chinese apps, Tik Tok, Temu, CapCut na Shein
 
Halafu hili nilijua tu mtakuja nalo ndio maana niliweka kabisa katika comments za kwanza.

Nenda kasome nimeweka 6nm yenye modem ndani ya 5G

Nimeweka ya Huawei 5nm yenye modem ya 5G
Huawei ananunua hatengenezi chip, ila juzi baada ya ban ndio kaja na 7nm na mpaka sasa hakuna anayejua vizuri kaipataje maana hajasema ila imetengenezwa na chinese company
 
Huawei ananunua hatengenezi chip, ila juzi baada ya ban ndio kaja na 7nm na mpaka sasa hakuna anayejua vizuri kaipataje maana hajasema ila imetengenezwa na chinese company
Nimekupatia mpaka link bado unabisha tu.

Huawei wapo na kampuni tanzu inaitwa Hisilcon. Kazi yake ni kuunda semiconductors.
Mambo yamebadilika mzee

 
Mshine hizo za kuzalisha hizo chip zinaitwaje? Kwanini sasa hao wadachi wasitengeneze chips.

Hebu taja majina ya hizo mashine zinazotumika kutengeneza hizo chips. Na utuwekee hapa references.

Also upo nyuma sana mzee
Soma hapa:-

Nimekupatia mpaka link bado unabisha tu.

Huawei wapo na kampuni tanzu inaitwa Hisilcon. Kazi yake ni kuunda semiconductors.
Mambo yamebadilika mzee

Hisilcon wana design tuu lakini hawana fab ya kufanya production
 
Hisilcon wana design tuu lakini hawana fab ya kufanya production
Mzee china yamejaa makampuni ya kutengeneza hizo machine.


1. AMEC (Advanced Micro-Fabrication Equipment Inc.): AMEC is a leading Chinese manufacturer of semiconductor equipment, specializing in etch and deposition equipment.

2. NAURA Technology Group Co., Ltd.: NAURA is a prominent Chinese semiconductor equipment manufacturer that produces tools for various semiconductor manufacturing processes.

3. XMC (Xiamen XGMA Machinery Co., Ltd.): XMC manufactures equipment for the semiconductor industry, including photolithography machines and ion implanters.

4. CETC (China Electronics Technology Group Corporation): CETC is a state-owned enterprise in China involved in various technology-related sectors, including semiconductor equipment manufacturing.

5. Huajing Electronics Group Corporation: Huajing is known for its semiconductor equipment products, including sputtering equipment and etching systems.

Fanya research yako mzee.
 
Mzee china yamejaa makampuni ya kutengeneza hizo machine.


1. AMEC (Advanced Micro-Fabrication Equipment Inc.): AMEC is a leading Chinese manufacturer of semiconductor equipment, specializing in etch and deposition equipment.

2. NAURA Technology Group Co., Ltd.: NAURA is a prominent Chinese semiconductor equipment manufacturer that produces tools for various semiconductor manufacturing processes.

3. XMC (Xiamen XGMA Machinery Co., Ltd.): XMC manufactures equipment for the semiconductor industry, including photolithography machines and ion implanters.

4. CETC (China Electronics Technology Group Corporation): CETC is a state-owned enterprise in China involved in various technology-related sectors, including semiconductor equipment manufacturing.

5. Huajing Electronics Group Corporation: Huajing is known for its semiconductor equipment products, including sputtering equipment and etching systems.

Fanya research yako mzee.
Uko sawa kabisa, lakini makampuni ya kichina yanatumia machine na material kutoka kwa mabeberu kutengeneza hizo chip, kilichotokea ni US na mabeberu wenzake wamezuia machine za kutengeneza chip chini ya 14nm zisiuzwe China, Chinese akiwa na machine anaweza hata kutengeneza 3nm lakini hana na hawezi kununua kwa ajiri ya ban, wanachofanya sasa China wanajitahidi kutengeneza machine zao wenyewe ila wasiwategemee mabeberu
 
Uko sawa kabisa, lakini makampuni ya kichina yanatumia machine na material kutoka kwa mabeberu kutengeneza hizo chip, kilichotokea ni US na mabeberu wenzake wamezuia machine za kutengeneza chip chini ya 14nm zisiuzwe China, Chinese akiwa na machine anaweza hata kutengeneza 3nm lakini hana na hawezi kununua kwa ajiri ya ban, wanachofanya sasa China wanajitahidi kutengeneza machine zao wenyewe ila wasiwategemee mabeberu
Mzee hizi taarifa zipo kwenye kichwa chako tu.
But mchina anatengeneza 5nm.
Hizo ni wishes zako tu
1695156885603.png



 
Mzee hizi taarifa zipo kwenye kichwa chako tu.
But mchina anatengeneza 5nm.
Hizo ni wishes zako tu
View attachment 2755239


Wewe naona hatuelewani, yes alikuwa anatengeneza lakini machine alizokuwa anatumia sio zake,alikuwa ananunua kutoka Japan na Netherlands, sasa kapigwa ban hawezi kununua hizo machine, ni kama wewe unalima lakini unatumia mbegu na tractor za US then kesho wanakuambia hawakuuzii tena mbegu wala tractor za uzalishaji, ndio kilichotokea China ,na HUAWEI ikapoteza billions of money kwa kukosa chip za kuweka kwenye simu zao, sasa wanajaribu kurudi ndio maana juzi walipopata domestic supplier wa 7nm ilikuwa big deal all over the World
 
Locomotive manufacturers in China


1. CRRC Corporation Limited: CRRC is one of the world's largest rolling stock manufacturers, specializing in the production of locomotives, high-speed trains, and various railway equipment. It is a key player in the global railway industry.

2. China Railway Group Limited: This state-owned enterprise is involved in a wide range of railway-related activities, including the construction of railway infrastructure, bridges, tunnels, and the manufacturing of locomotives and rolling stock.

3. Zhuzhou CRRC Times Electric Co., Ltd.: Zhuzhou CRRC Times Electric focuses on electric locomotives and traction systems. They play a significant role in advancing the electrification of railways.

4. Datong Electric Locomotive Co., Ltd.: This company specializes in the manufacturing of both electric and diesel locomotives, contributing to China's diverse locomotive fleet.

5. CSR Zhuzhou Electric Locomotive Co., Ltd.: A subsidiary of CRRC, CSR Zhuzhou Electric Locomotive is known for its electric locomotives, including those used in high-speed rail networks.

6. China South Locomotive & Rolling Stock Corporation Limited (CSR): CSR is a major player in the locomotive and rolling stock manufacturing industry in China. They produce a wide range of rail vehicles, including locomotives, passenger trains, and freight cars.

7. XEMC Windpower Co., Ltd.: While primarily recognized for its wind turbines, XEMC also manufactures locomotives and electric traction equipment, contributing to sustainable transportation solutions.
 
Back
Top Bottom