Je, ni kweli China inaongoza kuhusu Teknolojia na Uvumbuzi? - Ulaya na Marekani wamekubali?

Je, ni kweli China inaongoza kuhusu Teknolojia na Uvumbuzi? - Ulaya na Marekani wamekubali?

Wewe naona hatuelewani, yes alikuwa anatengeneza lakini machine alizokuwa anatumia sio zake,alikuwa ananunua kutoka Japan na Netherlands, sasa kapigwa ban hawezi kununua hizo machine, ni kama wewe unalima lakini unatumia mbegu na tractor za US then kesho wanakuambia hawakuuzii tena mbegu wala tractor za uzalishaji, ndio kilichotokea China ,na HUAWEI ikapoteza billions of money kwa kukosa chip za kuweka kwenye simu zao, sasa wanajaribu kurudi ndio maana juzi walipopata domestic supplier wa 7nm ilikuwa big deal all over the World
Hebu weka reference inayo toa proofs kuhusu hiki unachodai. Hapa tunsongea kwa facts siyo umbea wa vijiweni.
 
CRRC Corporation Limited

1695157768921.png


1695157799747.png
 
Hebu weka reference inayo toa proofs kuhusu hiki unachodai. Hapa tunsongea kwa facts siyo umbea wa vijiweni.
Wewe kama ni mtu wa technology unatakiwa kujua kuhusu US/China trade war kilichotokea HUAWEI, information zipo in details all over the net just google and educate yourself
 
Wewe kama ni mtu wa technology unatakiwa kujua kuhusu US/China trade war kilichotokea HUAWEI, information zipo in details all over the net just google and educate yourself
Hiyo miaka ya kipindi cha Trump mzee. Upo nyuma sana. Zaidi ya miaka 5 imepita sasa hivi.
Leta evidences za kuanzia 2020 mpaka leo
 
China South Locomotive & Rolling Stock Corporation Limited (CSR)
1695158491168.png


1695158545477.png
 
10 Digital Camera Companies


1. DJI Technology Co., Ltd.: DJI is known for its drones, but they also manufacture digital cameras and gimbals for photography and videography.

2. YI Technology: YI Technology produces a range of action cameras, mirrorless cameras, and other camera-related products.

3. Insta360: Insta360 specializes in 360-degree cameras and has gained popularity for its innovative camera designs.

4. SJCAM: SJCAM manufactures action cameras and dash cameras with a focus on affordability and quality.

5. AEE Technology: AEE Technology produces action cameras, drones, and wearable camera accessories.

6. MGCOOL: MGCOOL is known for its action cameras and outdoor photography equipment.

7. GitUp: GitUp manufactures action cameras and dash cameras with a focus on advanced features and image quality.

8. Hawkeye: Hawkeye produces action cameras, drones, and other camera-related products.

9. Fimi Technology: Fimi Technology, a subsidiary of Xiaomi, is involved in the production of drones and action cameras.

10. Seree Digital Camera: Seree manufactures digital cameras, camcorders, and related accessories.
 
Uko sawa kabisa, lakini makampuni ya kichina yanatumia machine na material kutoka kwa mabeberu kutengeneza hizo chip, kilichotokea ni US na mabeberu wenzake wamezuia machine za kutengeneza chip chini ya 14nm zisiuzwe China, Chinese akiwa na machine anaweza hata kutengeneza 3nm lakini hana na hawezi kununua kwa ajiri ya ban, wanachofanya sasa China wanajitahidi kutengeneza machine zao wenyewe ila wasiwategemee mabeberu

Nilichogundua una taarifa za kitambo kidogo ni vyema ukatulia ukapata taarifa mpya za wakati huu mkuu
 
🤣🤣Hajaelewa kwani seafoods ni nyama?

We jamaa una elimu gani? Hiyo ni meat consumption naongelea seafoods.

Kifupi , seafoods ni mjumuiko wa vyakula vya baharini kama samaki ,ukamba ,majongoo ya bahari ,kuna nyoka wa bahari ,wapo mabata na ndege wa baharini ,konokono wa baharini ,kumbwa ,pweza ,ngisi na vipo vyakula aina kibao.
 
Makampuni 10 yanayotengeneza ndege nchini china

1. Commercial Aircraft Corporation of China, Ltd. (COMAC): COMAC is a state-owned enterprise specializing in the development and production of commercial aircraft, including the ARJ21 regional jet and the C919 narrow-body airliner.

2. AVIC Aircraft Corporation (AVIC Aircraft): AVIC Aircraft is a subsidiary of the Aviation Industry Corporation of China (AVIC) and is involved in the development and manufacturing of military and commercial aircraft, including fighter jets and general aviation aircraft.

3. Xi'an Aircraft Industrial Corporation (XAC): XAC is a subsidiary of AVIC and focuses on the production of military aircraft, including transport aircraft and special mission aircraft.

4. Chengdu Aircraft Industry Group (CAC): CAC is known for producing military aircraft, including fighter jets like the J-10 and J-20.

5. Shenyang Aircraft Corporation (SAC): SAC, another AVIC subsidiary, is involved in the production of military aircraft, including the J-11 fighter.

6. Hongdu Aviation Industry Group (HAIG): HAIG manufactures general aviation aircraft, trainers, and unmanned aerial vehicles (UAVs).

7. Guizhou Aircraft Industry Corporation (GAIC): GAIC is involved in producing aircraft, including transport aircraft and UAVs.

8. Harbin Aircraft Industry Group (HAIG): HAIG is known for producing transport aircraft, helicopters, and seaplanes.

9. Beihang Unmanned Aircraft System Co., Ltd. (BUAA): BUAA specializes in the development and production of unmanned aerial systems (UAS) and drones.

10. Shanghai Aircraft Design and Research Institute (SADRI): SADRI is a research institute involved in aircraft design and development.
 
Commercial Aircraft Corporation of China, Ltd.
The Commercial Aircraft Corporation of China, Ltd. is a Chinese state-owned aerospace manufacturer established on 11 May 2008 in Shanghai. The headquarters are in Pudong, Shanghai. The company has a registered capital of RMB 19 billion.

1695183858251.png

1695183903231.png
 
AVIC Aircraft Corporation
AVIC Aircraft Corporation Ltd. is a state-owned enterprise in Xi'an, Shaanxi, China, which manufactures and markets structural parts and components for aircraft and automobiles. It was founded in 1997 by Xi'an Aircraft Industrial Corporation. It was listed on the Shenzhen Stock Exchange the same year.

1695184180323.png


1695184146222.png
 
Xi'an Aircraft Industrial Corporation
Xi'an Aircraft Industrial Corporation, also known as Xi'an Aircraft Company Limited, is a Chinese aircraft manufacturer and developer of large and medium-sized airplanes. It is based in Yanliang District, Xi'an, Shaanxi Province, adjacent to Xi'an Yanliang Airport.
1695184336090.png


1695184396598.png
 
Chengdu Aircraft Industry Group
The Chengdu Aircraft Industry Group or Chengdu Aerospace Corporation, a subsidiary of AVIC, is a Chinese aerospace conglomerate that designs and manufactures combat aircraft and is also a manufacturer of aircraft parts.

1695184533820.png


1695184589433.png
 
Shenyang Aircraft Corporation

Shenyang Aircraft Corporation or Shenyang Aerospace Corporation is a Chinese civilian and military aircraft manufacturer located in Shenyang, Liaoning, a subsidiary of the state-owned aircraft manufacturer AVIC.

1695184803543.png


1695184830907.png
 
Venus Star nadhani umesoma au unasoma China, ndio maana unawafagilia zaidi ya uhalisia. Thread umeweka kama swali, lakini ndani umejaza mambo yako yote. China imeendelea sana, hilo halina ubishi. Kwenye teknolojia China soon atakuwa giant, ila hadi sasa si kiongozi. Mimi natoa maoni kama layperson.

Kwa wafanyabiashara, kama unataka mashine ya uzalisha fulani, ukitafuta nzuri China basi itakuwa na components ambazo ziko outsourced nje ya China au kampuni ya nje iliyopo China. Ukitaka mashine ya uhakika, basi utapata nje ya China, shida huwa bei kuwa juu ukilinganisha na China.

Katika ulimwengu teknolojia nyingi ziko wazi (vilishawahi kuwa discovered na watu) ila shida ni kufanya kifanye matumizi unayotaka kwa ufanisi zaidi (invention).

Hadi sasa China yupo vizuri kwenye mass production either ikawa ni kwa high quality items ambazo ni nadra kuwa superior kwa wapinzani wenzake globally au ni zile low-quality products.

Pia China ananufaika sana na contract manufacturing, kwa sababu ya gharama ndogo za nishati, mishahara na kodi. Kuna kiwanda fulani cha matairi kilichopo Taiwan, bei za Tairi kiwanda kikuu ni ndogo, ila ukiwaambia wachukua kiwanda chao cha China rate kwa kila tairi inapungua zaidi ya dolla 15 na kwa ubora uleule.

China ananufaika sana na soko lake kubwa la ndani ambalo lina sheria ngumu katika kulilisha products zitengenezwazo nje.

Tuna matukio mengi ya serikali ya China kutuma vijana wake sehemu nyeti mataifa ya magharibi kama kwenye taasisi za elimu, utafiti, kijeshi n.k ili kunufaika kwa vyovyote vile kwa kuchukua teknolojia ya wenzao. Hii inaonesha China ina struggle bado sehemu nyingi za teknolojia.

Ila uvumbuzi na ubunifu wa vitu huwa nadra sana kufanywa na mtu wa taifa moja. Mtengano wa China na mataifa mengine ya Ulaya unalifanya China isikue haraka katika teknolojia. Adui zake wengi ni giants kwenye teknolojia, hivyo ku share taarifa inakuwa ngumu. Ingewatymia muda mfupi China kukua kana wasingekuwa na strained relationship na US, Japan, Taiwan, Germany, UK, Australia, n.k

Sidhani kama matokeo ya China kuwa banned na Trump kwenye vitu vingi yataonekana ndani ya muda mfupi. Labda miaka 10 ijayo. Huawei pamoja na oS yao bado haifanyi vizuri nje ya China. Unahitaji vichwa vingi kufanikisha hayo mambo. Pia China iendelee kuajiri vichwa vya watu makini vilivyotapakaa globally kama US ilivyokuwa ikifanya kwa muda mrefu.

Ila naamini ndani ya miaka 20 ijayo, China atakuwa giant kwenye teknolojia, na yamkini goods zake zitaanza kuwa ghali pia.
 
Back
Top Bottom