Je, ni kweli China inaongoza kuhusu Teknolojia na Uvumbuzi? - Ulaya na Marekani wamekubali?

Je, ni kweli China inaongoza kuhusu Teknolojia na Uvumbuzi? - Ulaya na Marekani wamekubali?

Naongela seafood hata kucommand mchezo huo tunaujua ,hawali nguruwe kama unavyojidanganya....Mara useme fish wale pawns nao utasemaje yale majongoo?

Usilazimishe kwa vile ukisema seafood ni pana ..
Hawali nguruwe wakati nimekuwekea na data hapo inayoonesha ulaji wa nyama huku kitimoto kikiwa namba moja?

Technically vyakula vyote ambavyo vinakuwa considered kama seafood vyote ni nyama.

Kuanzia hizo pawns, shrimps nk zote hizo zipo kwenye seafood ambayo ni nyama.

Kwa hiyo inapotolewa orodha ya matumizi ya nyama halafu ukaona Kitimoto kipo on top ujue kabisa hao seafood sio kitu mbele ya Kitimoto.
 
Hawali nguruwe wakati nimekuwekea na data hapo inayoonesha ulaji wa nyama huku kitimoto kikiwa namba moja?

Technically vyakula vyote ambavyo vinakuwa considered kama seafood vyote ni nyama.

Kuanzia hizo pawns, shrimps nk zote hizo zipo kwenye seafood ambayo ni nyama.

Kwa hiyo inapotolewa orodha ya matumizi ya nyama halafu ukaona Kitimoto kipo on top ujue kabisa hao seafood sio kitu mbele ya Kitimoto.
🤣🤣Nacheka sana sio chakula pendwa kaangalie takwinu ...Naona unabisha sana.

Wachina wanakula kitu chochot kila nila ya doubts ,sijui mbwa wanakula tena wanakuwa na matamasha kabisa..

Seafoods ni kubwa nahisi kwa vile mtu wa bara tutabishana sidhani kama unajua seafoods 🤣
 
Baada ya kuonesha taarifa mbalimbali sasa naanza kuonesha Statistical Data

1695204470832.png
 
Computer CPU produced by Chinese Companies
Loongson


In response to the demands for information development, Loongson Technology always stays abreast of international IT trends and focuses on industry development and system construction based on independent innovation. Until now, we have mastered core computing technologies on CPU instruction set architecture (ISA) design (LoongArch®), processor IP core, and operating system. On this basis, we strive to create an independent and open software and hardware ecosystem and information industry system so as to provide self-developed, safe, and reliable processors to meet national strategic needs as well as high-performance, low-cost processors and basic software and hardware solutions to boost the innovative development of the information industry.

1695205552959.png



LoongOS is an industrial control operating system with streamlined, efficient, and real-time characteristics.

Loongson Browser
 
Cambricon Technologies

Founded in 2016, Cambrian focuses on the research and development and technological innovation of artificial intelligence chip products.
Committed to building core processor chips in the field of artificial intelligence, allowing machines to better understand and serve humans.


1695206047621.png


Based on the 7nm process technology, Siyuan 370 is Cambrian's first AI chip using chiplet technology. It integrates 39 billion transistors and has a maximum computing power of up to 256TOPS (INT8).
 
China ana export the most high tech companies ila patents nyingi zipo registered USA. Know the difference.

Muulize mtu yeyote haraka haraka ni nini kilibuniwa China kama hata ana idea.
 
🤣🤣Nacheka sana sio chakula pendwa kaangalie takwinu ...Naona unabisha sana.

Wachina wanakula kitu chochot kila nila ya doubts ,sijui mbwa wanakula tena wanakuwa na matamasha kabisa..

Seafoods ni kubwa nahisi kwa vile mtu wa bara tutabishana sidhani kama unajua seafoods 🤣
Basi utakuwa una matatizo tu ya kucheka

Screenshot_20230920-134444.png
Screenshot_20230920-134454.png


 
China kwa chip bado wako nyuma kidogo lakini they are coming maana kilichotokea kama week mbili zilizopita na HUAWEI kimewaacha mabeberu na kizunguzungu, wanachotaka solve kikubwa ni machine za kuzalisha hizo chip kama zile za mdachi ASML ambazo kapigwa ban, they working day and night najua watazipata tuu maana nasikia research stage wameshavuka wanamalizia puzzles zilizobaki, Historia haiko upande wa mabeberu walishafnay huu upuuzi ili kumrudisha nyuma China lakini walipigwa na kitu kizito sana, mfano China alipigwa ban na kunyimwa kabisa technology ya GPS waliingia kazini wakaja na BeiDou kitu superior kuliko GPS, vile vile walipigwa ban space station walichofanya wakaja na ya kwao ambayo ni very modern na superior kuliko ya mabeberu, nuclear walifanya the same miaka ya 60 maana walijua bila nuclear wangeteseka tuu na kupewa order, sasa hivi wana hypersonic ambayo beberu hana na inawafanya Pentagon wasipate usingizi maana unaweza kushtukia iko mlangoni , wachina achana nao ni watu wanjua kuweka focus sana kwenye kitu wanachotaka, nimesoma nao na kule nyumbani ni kama wale washikaji wana akili sana na wanasoma usiku kucha bado, faculty zote za vyuo vikuu vya maana US kama Havard, Princeton, Yale etc kwenye masomo ya science, medicine,Engineering etc wamejaa wachina vibaya sana, hawa watu itakuwa ngumu sana kushindana nao, ila ninachoogopa ni ule ukomunisti wao maana naona kuna siku tutalazimishwa kuongea kichina dunia nzima
Umesema vyema
Wewe unawajua Wachina
Sio kama wale jamaa
 
KWA JINA LA BABA, LA MWANA NA ROHO MTAKATIFU - AMEN.
NImekuwa nikifanya utafiti wangu binafsi kuhusu masuala ya Technolojia hapa Duniani, nimegundua kuwa dunia yote sasa imetupia macho yake huko china.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotoliewa na theglobaleconomy.com za mwaka 2021 zinaeleza kuwa China inaongoza kwa mbali sana katika export ya high-tech.

View attachment 2755027

Katika uzi huu nitaleta taarifa zinazohusu makampuni ya technolojia na uvumbuzi yaliyopo china. Nitaweka ulinganisho wa Technolojia hizo na nchi zingine hususani za ulaya na marekani. Na baadae tutakuja kuleta jibu la pamoja kuhusu maswali hayo mawili niliyoyauliza.

Kuna watu wanaweza kusema kuwa China hawatengenezi Semiconductor, nitaanza kuongelea hayo makampuni yanayotengeneza hizo semiconductor na kisha tutaendelea mbele zaidi.

Wengine watasema kuwa hakuna yale yanayotengeneza nanometer semiconductor, kulingana na utafiti wangu wa kina nimegundua kuwa china inatengeneza kila aina ya electronic equipment.

Sasa basi katika uzi huu nitaweka makampuni mbalimbali yanayojihusisha na technolojia:-
1. Consumer goods
2. Industrial Technologies
3. Security Technologie
4. Space Technologies
5. Transportation Technologies

Etc.....

VIJANA WAPENDA ULAYA NA MAREKANI KARIBU TUJIFUNZE WOTE. MJE NA FACTS
Hawa jamaa wenye kujidai kama dunia ni mali yao wamarekani na waingereza mungu bariki wametupwa huko nyuma. Ulaya na ukoloni wso mkongwe huenda watabadili njia zao za kibabe na ukoloni dhidi ya afrika.
 
Weye unaishi dunia ipi China juzi wamepiga maruku matumizi ya iPhones na product nyengine za kampuni ya Apple maofisini mwao wakidhani wanafuatiliwa na kwamba mabosi wao hawaoni hawasikii kwa products za marekani mpaka wametishia kuandamana kuipinga serikali, ingekuwa China inajiweza kitechnologia si wangezalisha hizo products za maana kuipiku iPhone ama bidhaa za Apple ya kampuni ya Marekani ili kuwaridhisha watu wao?

Kumbuka China imepewa wataalamu wa technologia kutoka US, makampuni na viwanda vyote watalaam ni kutoka US lakini hata silaha taaluma ni US, na for your information hata walimu wa vyuo vikuu China ukiingia darasani unamkuta mzungu macho ya paka kutoka marekani mtu wangu alienda kufanya Masters na Phd.

Ndio maana kila China anavyotaka kujitenga na US ndivyo anavyoona haiweze maana technologia yake ipo mikononi mwa US.

Ni kama wiki 3 hivi tu zilizopita China walilalamika na kuiomba US iwaondolee vikwazo vya ki-techonologia, hii maana yake ni nini?

China ubora wao ni kwenye bidhaa za kawaida tu kutengeneza baiskeli, vyarahani labda na hayo mapikipiki feki
🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom