Je, ni kweli China inaongoza kuhusu Teknolojia na Uvumbuzi? - Ulaya na Marekani wamekubali?

Je, ni kweli China inaongoza kuhusu Teknolojia na Uvumbuzi? - Ulaya na Marekani wamekubali?

United Imaging Healthcare

Shanghai United Imaging Healthcare Co., Ltd. is dedicated to providing, developing and producing high-performance advanced medical imaging, radiotherapy equipment, life science instruments and offers intelligent digital solutions to customers worldwide. UIH is committed to creating more value for our customers and constantly improving the global accessibility of high-end medical equipment and services through in-depth cooperation with hospitals, universities, research institutions, and industry partners.

1695197439725.png
 
Ni kama wiki 3 tu hivi china waliilalamikia US na kuwaomba iwandolee vikwazo vya ki-techonolgia hii maana yake ni nini?., aljaeera, CCN television zote ulimwenguni zilimkariri kiongozi kutoka china

Wewe umekuja na theory ambayo ina kila interest upande unaotaka kuelekea.
Mkuu sio mbaya uweke link
 
Xingaoyi Medical Equipment

Xingaoyi Medical Equipment Co.,Ltd. is a National High-Tech enterprise, the annual production capacity of the company includes 200 units of Magnetic Resonance Imaging (MRI) systems, 100 units of Digital Radiography (DR) systems and 50 units of Digital Radiology Fluoroscopy (DRF) systems
1695198105897.png

1695198121096.png

1695198152129.png
 
Unaandika umbea. Peleka FB na Insta umbea wako. Hapa tunaongea facts
ukija hapa na thread usije kishabiki lete facts tukisoma tuone hujaweka interest zako upande fulan, otherwise tunaweka kwenye dust bin umbea wako uliokithiri
 
ukija hapa na thread usije kishabiki lete facts tukisoma tuone hujaweka interest zako upande fulan, otherwise tunaweka kwenye dust bin umbea wako uliokithiri
Acha hasira mzee. Wewe weka references kama ninavyofanya. Wewe mwenzetu unaandika maneno tupu tu hapa.
 
Mkuu sio mbaya uweke link
Ivi ninani hasa aliyekwambieni kila habari inakuja na link? Link ni kiunganishi kwenye mtandao wa computer au icho kimeo chako sasa kama habari zipo live kwenye television za kimataifa bado unataka link tu?

Mlisoma wapi habari kwanza chanzo cha habari kinatokana na link tu., em nenden shule kwanza msije hapa mukiwa ovyo namna hii
 
Ivi ninani hasa aliyekwambieni kila habari inakuja na link? Link ni kiunganishi kwenye mtandao wa computer au icho kimeo chako sasa kama habari zipo live kwenye television za kimataifa bado unataka link tu?

Mlisoma wapi habari kwanza chanzo cha habari kinatokana na link tu., em nenden shule kwanza msije hapa mukiwa ovyo namna hii
Upo kwenye siku zako au joto limekupanda ?
 
Ivi ninani hasa aliyekwambieni kila habari inakuja na link? Link ni kiunganishi kwenye mtandao wa computer au icho kimeo chako sasa kama habari zipo live kwenye television za kimataifa bado unataka link tu?

Mlisoma wapi habari kwanza chanzo cha habari kinatokana na link tu., em nenden shule kwanza msije hapa mukiwa ovyo namna hii
Mzee upo nyuma na dunia. Imekuacha. Kwahiyo unataka watu 24/7 waangalie TV? kuna mamilioni ya TV station duniani. Waangalie ipi?
Kama huna References ya kile unachodai wewe ni mbea tu
 
Hivi unaelewa unachokiandika?

Basi wewe ndio utakuwa huelewi unachokiandika.

Kivipi seafood isiwe nyama?

Unasema seafood sio nyama halafu hapo hapo unataja mifano ya samaki, kwa hiyo samaki ni mchicha?

Hivyo vyote unavyovitaja wewe sijui nyoka, pweza, ngisi. Vyote hivyo vipo kwenye kundi la kitoweo ambacho ndio nyama yenyewe.
View attachment 2755686
Naongela seafood hata kucommand mchezo huo tunaujua ,hawali nguruwe kama unavyojidanganya....Mara useme fish wale pawns nao utasemaje yale majongoo?

Usilazimishe kwa vile ukisema seafood ni pana ..
 
China kwa chip bado wako nyuma kidogo lakini they are coming maana kilichotokea kama week mbili zilizopita na HUAWEI kimewaacha mabeberu na kizunguzungu, wanachotaka solve kikubwa ni machine za kuzalisha hizo chip kama zile za mdachi ASML ambazo kapigwa ban, they working day and night najua watazipata tuu maana nasikia research stage wameshavuka wanamalizia puzzles zilizobaki, Historia haiko upande wa mabeberu walishafnay huu upuuzi ili kumrudisha nyuma China lakini walipigwa na kitu kizito sana, mfano China alipigwa ban na kunyimwa kabisa technology ya GPS waliingia kazini wakaja na BeiDou kitu superior kuliko GPS, vile vile walipigwa ban space station walichofanya wakaja na ya kwao ambayo ni very modern na superior kuliko ya mabeberu, nuclear walifanya the same miaka ya 60 maana walijua bila nuclear wangeteseka tuu na kupewa order, sasa hivi wana hypersonic ambayo beberu hana na inawafanya Pentagon wasipate usingizi maana unaweza kushtukia iko mlangoni , wachina achana nao ni watu wanjua kuweka focus sana kwenye kitu wanachotaka, nimesoma nao na kule nyumbani ni kama wale washikaji wana akili sana na wanasoma usiku kucha bado, faculty zote za vyuo vikuu vya maana US kama Havard, Princeton, Yale etc kwenye masomo ya science, medicine,Engineering etc wamejaa wachina vibaya sana, hawa watu itakuwa ngumu sana kushindana nao, ila ninachoogopa ni ule ukomunisti wao maana naona kuna siku tutalazimishwa kuongea kichina dunia nzima
Wengi hawajui, wachina wana long term thinking, aina hii ya kupanga na kufikiria ni sehemu ya tamaduni yao kwa mda mrefu kiasi kwamba huwa wanafikiria hivyo by default

So hakuna wasichoweza kamilisha wakiamua kuweka jitihada, huwa nawashangaa watu wanaoyoifananisha Marekani na China.

Ukisoma Historia yao, kwa Maelfu na maelfu ya miaka Wachina walikua vinara kwenye biashara, teknolojia na uvumbuzi, ni karne ya 20 tu ndipo China ilipoanguka kwa kushindwa ku industrialized, hii tunachokiona sasa hivi ni China kurudi kwenye nafasi yake...

U.S ina miaka 200 tu na inaelekea ku collapse

China ni underrated sana, miaka ya 60 tu hapo, ilikua haina tofauti na nchi nyingi za Africa.

Kuhusu "hofu" yako, China sio imperial nation kama U.S na nchi nyingi za ulaya Magharibi, in fact ni nchi tu za Ulaya Magharibi na U.S zenye itikadi hii, Uchumi wao na standard of living ime base kwenye hio Mindset

China ina miaka zaidi ya 5000 kama taifa, sidhani kama iliwahi ku invade taifa jingine, mara nyingi huwa ni watu wa kujifungia

Wakati wazungu wapo kwenye dark age, Mchina kashagundua karatasi, gun powder, dira pamoja na meli kubwa

Anasafiri kufanya biashara, wazungu walikuja kutumia hivyo hivyo vitu baadae na vi meli vyao vidogo wakafanya uovu dunia nzima

Pia u communism ni aina ya ku organize working places, kinyume cha capitalism, sio aina ya ukoloni
 
Back
Top Bottom