Hawali nguruwe wakati nimekuwekea na data hapo inayoonesha ulaji wa nyama huku kitimoto kikiwa namba moja?Naongela seafood hata kucommand mchezo huo tunaujua ,hawali nguruwe kama unavyojidanganya....Mara useme fish wale pawns nao utasemaje yale majongoo?
Usilazimishe kwa vile ukisema seafood ni pana ..
🤣🤣Nacheka sana sio chakula pendwa kaangalie takwinu ...Naona unabisha sana.Hawali nguruwe wakati nimekuwekea na data hapo inayoonesha ulaji wa nyama huku kitimoto kikiwa namba moja?
Technically vyakula vyote ambavyo vinakuwa considered kama seafood vyote ni nyama.
Kuanzia hizo pawns, shrimps nk zote hizo zipo kwenye seafood ambayo ni nyama.
Kwa hiyo inapotolewa orodha ya matumizi ya nyama halafu ukaona Kitimoto kipo on top ujue kabisa hao seafood sio kitu mbele ya Kitimoto.
Huyo unaejaribu kumuelewesha ni ustaadhNimeipata
View attachment 2755596
China ana export the most high tech companies ila patents nyingi zipo registered USA. Know the difference.
Muulize mtu yeyote haraka haraka ni nini kilibuniwa China kama hata ana idea.
Basi utakuwa una matatizo tu ya kucheka🤣🤣Nacheka sana sio chakula pendwa kaangalie takwinu ...Naona unabisha sana.
Wachina wanakula kitu chochot kila nila ya doubts ,sijui mbwa wanakula tena wanakuwa na matamasha kabisa..
Seafoods ni kubwa nahisi kwa vile mtu wa bara tutabishana sidhani kama unajua seafoods 🤣
sasa baada ya kushindwa hoja ndio unaleta matus piriadUpo kwenye siku zako au joto limekupanda ?
Umesema vyemaChina kwa chip bado wako nyuma kidogo lakini they are coming maana kilichotokea kama week mbili zilizopita na HUAWEI kimewaacha mabeberu na kizunguzungu, wanachotaka solve kikubwa ni machine za kuzalisha hizo chip kama zile za mdachi ASML ambazo kapigwa ban, they working day and night najua watazipata tuu maana nasikia research stage wameshavuka wanamalizia puzzles zilizobaki, Historia haiko upande wa mabeberu walishafnay huu upuuzi ili kumrudisha nyuma China lakini walipigwa na kitu kizito sana, mfano China alipigwa ban na kunyimwa kabisa technology ya GPS waliingia kazini wakaja na BeiDou kitu superior kuliko GPS, vile vile walipigwa ban space station walichofanya wakaja na ya kwao ambayo ni very modern na superior kuliko ya mabeberu, nuclear walifanya the same miaka ya 60 maana walijua bila nuclear wangeteseka tuu na kupewa order, sasa hivi wana hypersonic ambayo beberu hana na inawafanya Pentagon wasipate usingizi maana unaweza kushtukia iko mlangoni , wachina achana nao ni watu wanjua kuweka focus sana kwenye kitu wanachotaka, nimesoma nao na kule nyumbani ni kama wale washikaji wana akili sana na wanasoma usiku kucha bado, faculty zote za vyuo vikuu vya maana US kama Havard, Princeton, Yale etc kwenye masomo ya science, medicine,Engineering etc wamejaa wachina vibaya sana, hawa watu itakuwa ngumu sana kushindana nao, ila ninachoogopa ni ule ukomunisti wao maana naona kuna siku tutalazimishwa kuongea kichina dunia nzima
Sasa akiwa ustaadh ina maana ndio apinge ukweli?Huyo unaejaribu kumuelewesha ni ustaadh
Hawa jamaa wenye kujidai kama dunia ni mali yao wamarekani na waingereza mungu bariki wametupwa huko nyuma. Ulaya na ukoloni wso mkongwe huenda watabadili njia zao za kibabe na ukoloni dhidi ya afrika.KWA JINA LA BABA, LA MWANA NA ROHO MTAKATIFU - AMEN.
NImekuwa nikifanya utafiti wangu binafsi kuhusu masuala ya Technolojia hapa Duniani, nimegundua kuwa dunia yote sasa imetupia macho yake huko china.
Kwa mujibu wa takwimu zilizotoliewa na theglobaleconomy.com za mwaka 2021 zinaeleza kuwa China inaongoza kwa mbali sana katika export ya high-tech.
View attachment 2755027
Katika uzi huu nitaleta taarifa zinazohusu makampuni ya technolojia na uvumbuzi yaliyopo china. Nitaweka ulinganisho wa Technolojia hizo na nchi zingine hususani za ulaya na marekani. Na baadae tutakuja kuleta jibu la pamoja kuhusu maswali hayo mawili niliyoyauliza.
Kuna watu wanaweza kusema kuwa China hawatengenezi Semiconductor, nitaanza kuongelea hayo makampuni yanayotengeneza hizo semiconductor na kisha tutaendelea mbele zaidi.
Wengine watasema kuwa hakuna yale yanayotengeneza nanometer semiconductor, kulingana na utafiti wangu wa kina nimegundua kuwa china inatengeneza kila aina ya electronic equipment.
Sasa basi katika uzi huu nitaweka makampuni mbalimbali yanayojihusisha na technolojia:-
1. Consumer goods
2. Industrial Technologies
3. Security Technologie
4. Space Technologies
5. Transportation Technologies
Etc.....
VIJANA WAPENDA ULAYA NA MAREKANI KARIBU TUJIFUNZE WOTE. MJE NA FACTS
Sasa ni muda wako wa kuweka hicho unachokisema.Hizo ni patents za 2021 tu. Overall je?
Kwa kukurahisishia pitia hapa:Hizo ni patents za 2021 tu. Overall je?
Pork ana deep hatred na ostaz ndo mana ostaz anapingana na takwimu ambazo ziko wazi kabisaSasa akiwa ustaadh ina maana ndio apinge ukweli?
Au Ustaadh ni ruksa kuongea uongo kwenye vitu ambavyo ni haram kwenye uislamu?
View attachment 2755854View attachment 2755855
Bado naendelea kukudai zaidi teknolojia za kuonesha endelea kumwaga tujifunze hizi bado hazitoshi
🚮🚮🚮Weye unaishi dunia ipi China juzi wamepiga maruku matumizi ya iPhones na product nyengine za kampuni ya Apple maofisini mwao wakidhani wanafuatiliwa na kwamba mabosi wao hawaoni hawasikii kwa products za marekani mpaka wametishia kuandamana kuipinga serikali, ingekuwa China inajiweza kitechnologia si wangezalisha hizo products za maana kuipiku iPhone ama bidhaa za Apple ya kampuni ya Marekani ili kuwaridhisha watu wao?
Kumbuka China imepewa wataalamu wa technologia kutoka US, makampuni na viwanda vyote watalaam ni kutoka US lakini hata silaha taaluma ni US, na for your information hata walimu wa vyuo vikuu China ukiingia darasani unamkuta mzungu macho ya paka kutoka marekani mtu wangu alienda kufanya Masters na Phd.
Ndio maana kila China anavyotaka kujitenga na US ndivyo anavyoona haiweze maana technologia yake ipo mikononi mwa US.
Ni kama wiki 3 hivi tu zilizopita China walilalamika na kuiomba US iwaondolee vikwazo vya ki-techonologia, hii maana yake ni nini?
China ubora wao ni kwenye bidhaa za kawaida tu kutengeneza baiskeli, vyarahani labda na hayo mapikipiki feki