beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
1. Dunia sio duara bali ni bapa isipokuwa ni bapa yenye milima na mabonde.
2. Dunia hsizunguki jua. Tumia akili ya kawaida, chukua mpira au chubgwa kisha igundike zile toothpick kueneza pande zote alafu zungusha. Utaona kuna point fulani ukifika toothpick zinadondoka.
Kama dunia duara why sisi hatudondoki? Nilikubali dunia duara ili nifaulu mitihani lakini moyoni nasema NO.
Duh! Mmasai kaingia Disco na sime.
Ahaa!! Kwa hiyo unataka kuniambia mjadala hapa ni kuhusu foundation (msingi) ni nani kati ya jua na dunia (Geocentrism vs Heliocentrism) na si habari ya dunia kuzunguka jua? Maana title ya thread naona inasema "Je ni kweli dunia inazunguka jua?" Kwa hiyo hizo nukuu za Biblia ulizoweka ni kusisitiza hoja ya Geocentrism na si kuwa Biblia inasema dunia haimove?
Kama nilivyosema Misahafu haijakusudiwa kuwa marejeo/reference ya hoja za kisayansi. Huwa naona Waislam fulani wanavyohangaika "kuipa nguvu" Qur'an kwa kuonesha wapi hoja zake zinathibitishwa na sayansi! Hili ni tatizo.
Kuhusu Biblia ama Qur'an hasa Bible kwa nukuu ulizoweka hapo juu kusudio lake ni kuzungumzia juu ya uumbaji na ukuu wa Mungu na kwamba ndiye aliyeanzisha yote.
Usahihi wa kisayansi hauna maana kama hoja ya nani kaanzisha existence.. kuna mambo kibao si Biblia wala Qur'an zinazoweza kuyaeleza kwa mantiki (na hakuna haja) kama kwanini Mungu aliumba Shetani!!
Si kazi ya hivi vitabu kujibu hayo na wala havijajibu ila watu wanalazimisha kuwa vimejibu!!! Hivyo idea hapo ya Biblia si Geocentrism bali "Eeeh nyie Binadamu Mungu ndiyo kaanzisha haya yote."
Poteza muda na Geocentrism ya Biblia usahau kutenda mema kisha uende motoni!! Hivyo Qur'an ama Biblia ikitofautiana na sayansi juu ya facts fulani binafsi huwa naangalia muktadha na makusudio ya vitabu hivyo kueleza hayo kwa namna hiyo na si kuishambulia sayansi ama kulazimisha eti Biblia iko sahihi!!
Hivi ndivyo jf inatakiwa itumike hata sisi wanafunzi tunafaidika kwa ufahamu wenu mlioupata kabla yetu na tukienda darasani tunatoa changamoto hizi
Ukiwa ndani ya bus linaloenda, halafu ukaruka juu unadhani utatua wapi? You will land at same spot you launched from as long as the bus is moving with un accelerated velocity, its Newton's first law of motion or inertia
Usitumie bas mkuu tumia kichanja scania maana kwa mujibu wa dunia tupo nje sio ndani.
1. Dunia sio duara bali ni bapa isipokuwa ni bapa yenye milima na mabonde.
2. Dunia hsizunguki jua. Tumia akili ya kawaida, chukua mpira au chubgwa kisha igundike zile toothpick kueneza pande zote alafu zungusha. Utaona kuna point fulani ukifika toothpick zinadondoka.
Kama dunia duara why sisi hatudondoki? Nilikubali dunia duara ili nifaulu mitihani lakini moyoni nasema NO.
Dunia inazunguka ikiwa pamoja na anga lake, ikiwa ina maana inaenda na kila kitu chake hivyo hakuwezi kuwa na ukinzani kati ya dunia na upepo kwakuwa inazunguka nao.
Gari linapokimbia haliendi sawa na huo upepo.
Mazee unafahamu tofauti ya elimu ya madarasa?
Tatizo unachanganya elimu na madarasa, nikikuuliza elimu yako imeishia wapi kwenye mada hii naweza kumaanisha kuna kitabu gani kizuri umesoma, wewe unaona nakuuliza una degree ngapi.
Mpaka hapo ushajionyesha si critical thinker, na siwezi kushangaa unavyopinga kwamba dunia inazunguka jua, kwa sababu unafikiri very shallow.
Unfahamu theory ni nini na fact ni nini?
Ukitaka ku discredit kitu kwa sababu kinaitwa "theory", unafahamu kwamba hizo namba unazohesabia kila kitu, mpaka jedwali ulilotupa lilizotumia, nazo bado ni theory na si fact strictly speaking?
Unaposikia "anti-west" unaelewa nini? A geographical location?
Akili yako finyu inarudi mulemule, kufikiri elimu ni madarasa na "anti-west" ni some geographical location.
Kaka Chief-Mkwawa Juatumesoma kwenye jografia kua dunia inazunguka jua hivyo tunapata majira ya mwaka kama kiangazi na masika je ni kweli? galileo alikuwa sahihi?
Fikra ya kawaida
chukulia umepanda ndege au hellcopter halafu unaenda marekani then ile hellcopter ikasimama juu angani kwa muda mrefu lets say mwezi mmoja, je dunia itakuacha? kama haikuachi hio dunia inazungukaje kwenye orbit? na zile satelite ambazo zipo angani kama dunia inazunguka kwenye orbit mbona hatuzigongi? tunaambiwa dunia inazunguka kwa speed kubwa sana ina maana satelite zinamatch speed ya dunia?
Theory ya taycho brahe
Jamaa huyu mdanish (denmark) alitoa theory yake ambayo inamashiko tu
-sayari nyengine kama mercury na venus zinazunguka jua
-then jua na mwezi vinazunguka dunia
Kama theory ya juu ipo sahihi inamaana hata dunia haizunguki bali jua ndio linatuzunguka.
Mnaonaje hii ipoje? kuna mtu ana point za kuprove kuwa galileo yupo sahihi?
limetumbuka,
Mfano nipo juu ya gari then nikaruka juu basi gari litaniacha na mimi nitadondoka chini, iweje ndege imeruka ipo juu uniambie ipo duniani bado?
halafu na satelite (man made sio sayari) si zipo juu ya dunia why hatuzigongi?
Axis...