Je, ni kweli flyovers na ndege zetu hazina msaada wowote kwa mwananchi anayeishi Nanyamba au Kyabakari?

mkuu umeandika vizuri tu mfano ujenzi wa bwawa mwl nyerere sawa , hata miradi mingine ulio itaja ni sawa ila elewa kama nchi maskin ipo miradi kati ya miradi ulioitaja haikutakiwa kwenda kwa kasi na kufanya watu kuishi kama watumwa kwa kusosa mzunguko wa fedha katika jamii , kupanga ni kuchagua, lazima ilitupasa kufanya miradi ambayo ikiendelea pasiwepo wananchi kufunga mikanda ,na hii ndo hoja kuu ya watanzania na sio kila kitu lazima kimalizike kwa miaka mitano, taifa hili lipo na lilikuepo na litaendelea kuwepo, so watu wanazungumzia sana ndege sio kwamaba sio muhim lakini wanalinganisha tu kwamba mfano tangu ndege zimenunuliwa na chango wake katika uchumi linganisha may be na utalii kipi kimeongeza sana katika pato la taifa?
Na je kweli kama nikuinua shirika letu la ndege ambalo ni jambo zuri why hatukuanaza nunua ha ndege hata tatu kwanza huku tukiendelea jipanga ?
kuhusu bwawa sina shida kabisa
kuhusu barabara sina shida sana hapo maana kila awamu imekua ikijitahidi but jk aliyajenga sana tunashukuru sana kwa hili maana pia zachangia sana kwenye uchumi wa serikali.
mwisho
mada yako nzuri but yaitaji mjadala mpana sana mkuu
 
Mshara uliongezwa kwa 2000 ukaja kwa 17,000/= kwa TGS C2

Ila kikwete 2014 aliongeza kwa 80,000/= kwenye TGS C1.

Hivi kweli Magu ameongez mshahara?

#YNWA
Kaka huwezi kufanya yote kwa wakati mmoja. Ili tufikie mafanikio ni lazima tukubali kutoa sadaka.

Kikwete mwenyewe pamoja na kuongeza watu walikuwa wanamzingua. Nakumbuka Kuna kipindi alikuwa mkali kidogo kuhusu nyongeza ya mshahara
 
Barabara, Flyovers, Shule,Zahanati, Viwanja vya michezo Viko wapi hapa kwetu kijiji sijaona hata komoja

Sasa Ulitaka Uwanja Wa Mkapa,unaochukua watazamaji 60K waujenge hapo KIJIJINI KIBINDA ambako hamzidi wanakijiji 2000...

Na Ukija Dar KULETA Ng'ombe vingunguti,hayo malori YATAPAA angani eee?!!
 
Shukrani Sana. Ni kweli yahitaji mjadala mpana
 
Yani unajua mimi mwenyewe nashangaa sana hivi huduma muhimu ambazo ni za lazima kama Afya, barabara n.k unazifanyaje kuwa za kisiasa?

Malaysia ni kosa mwanasiasa kufanya hizi siasa sijui nitajenga barabara au kituo cha afya
 
Sasa Ulitaka Uwanja Wa Mkapa,unaochukua watazamaji 60K waujenge hapo KIJIJINI KIBINDA ambako hamzidi wanakijiji 2000...

Na Ukija Dar KULETA Ng'ombe vingunguti,hayo malori YATAPAA angani eee?!!
Dar ni myama gani Serengeti umeambiwa Tanzania ni Dar Watanzania wote tukaishi dar umesikia wapi kama akili zenu ndio hizo ccm kura yangu msinipangie inamuhu Lissu
 
Kwa hayo aliongea anaweza kupata ukuu wa wilaya
Sio rahisi kihivyo. Halafu uteuzi hautegemei mtu kuweka namba ya simu. Ni lazima upimwe na uonekane unafaa. Hapa ni uwanja wa sisi kujadiliana kuhusu nchi yetu na vile tunavyoviamini
 
Sio rahisi kihivyo. Halafu uteuzi hautegemei mtu kuweka namba ya simu. Ni lazima upimwe na uonekane unafaa. Hapa ni uwanja wa sisi kujadiliana kuhusu nchi yetu na vile tunavyoviamini

Aisee ni rahisi Sana hasa kwa kuandika mambo ya kujifanya ww ni mzalendo zaid na unajua kujitolea
 
Dar ni myama gani Serengeti umeambiwa Tanzania ni Dar Watanzania wote tukaishi dar umesikia wapi kama akili zenu ndio hizo ccm kura yangu msinipangi inamuhu Lissu
Kura ni maamuzi yako ila kusaidiwa kuujua ukweli ili ufanye maamuzi sahihi ni wajibu wetu
 
Aisee ni rahisi Sana hasa kwa kuandika mambo ya kujifanya ww ni mzalendo zaid na unajua kujitolea
Sasa ni kosa kuandika unachokiamini? Kuandika mema ya nchi yako na kutetea viongozi wazalendo nao pia ni Uzalendo na sio kujifanya mzalendo. Kama ni kuandika wangapi wanaandika? Unaweza kumsoma mtu ni wa mtindo gani kwa maandishi yake
 
Dar ni myama gani Serengeti umeambiwa Tanzania ni Dar Watanzania wote tukaishi dar umesikia wapi kama akili zenu ndio hizo ccm kura yangu msinipangie inamuhu Lissu
Sawa.....ila Jua Ya Kwamba Dar es salaam pekee inachangia 80% ya Uchumi wote wa nchi.....
 
Kura ni maamuzi yako ila kusaidiwa kuujua ukweli ili ufanye maamuzi sahihi ni wajibu wetu
Hata ndege kupanda unasimuliwa tofauti ya madaraja na Flyovers hujui unataka unifundishe nani waku mpigia kura
 
Maendeleo ni watu si vitu,vitu ni matokeo ya maendeleo.Ushamba wa mtu wenu kupeleka taa za barabarani chattle akidhani chatlke ndo itaonekana ni mji haujawahi kumuisha
Watu waliozoea kishu ujima wa kuishi kwenye mapango utawajua tu.
Mtatoka lini huko?
 
Sasa ni kosa kuandika unachokiamini? Kuandika mema ya nchi yako na kutetea viongozi wazalendo nao pia ni Uzalendo na sio kujifanya mzalendo. Kama ni kuandika wangapi wanaandika? Unaweza kumsoma mtu ni wa mtindo gani kwa maandishi yake

Ndio maana nikasema Namba ya simu ni muhimu
 
Thread nyingine ya udaku unaandika lini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…