bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Alipokea kwa mkono wa nyuma msaada,hata walipotaka kumpindua ni hao hao wazungu ndio walimrudisha madarakani,bila wazungu angekuwa analima kijijini kwaoNYERERE HAKUWA RAFIK WA ULAYA JINGA WW😡
Mjinga mpe ukubwa mambo yako yaendeBinafsi hii Picha naiubali sana na huwezi kuiona kwenye vitabu vingi vya historia 😀😀View attachment 2660574
Ila ukweli ni upi?Hakuivamia. Sio kweli
Shujaa wa kufanya nini?100% kweli idi alikuwa shujaa na bado ni shujaa
Dah mwisho wa siku Kenya akatupiga bao....bila ile vita sisi ndo tungeongoza East afrika kiuchumi
Lakin mkuu kama Urusi ingeshinda vita baridi na Ujamaa kutawala dunia,tungetoboa..Ni kweli uchumi wetu uliyumba kwasababu ya vita vya Kagera.
..lakini vita sio sababu pekee iliyosababisha uchumi wetu uyumbe.
..naamini Mwalimu Nyerere alichelewa kufuata ushauri wa kurekebisha uchumi na matokeo yake nchi ikaenda mrama.
..makada wa Ccm waliokuwa wanatoa hoja za kurekebisha uchumi kwa wakati huo waliitwa WASALITI na " chawa " waliokuwa wakisisitiza tukomae na Ujamaa na uchumi dola.
Lakin mkuu kama Urusi ingeshinda vita baridi na Ujamaa kutawala dunia,tungetoboa
Wa kufkuza mabepari mchana kweupe,Shujaa wa kufanya nini?
hao ndio adui wa mwafrika? baada ya kuwaondoa Uganda ilinufaika nini?Wa kufkuza mabepari mchana kweupe,
Wazungu, waarabu na wahindi wote kwaooo
Sasa hii nadhani iliwaumiza wazungu wakamtumia nyerere kumuangusha mwafrika mwenzake, kisa wazungu?
Uganda ilirudi kutawaliwa na mzungu na tanganyika ikapata njaa ya ajabu mpaka pale Mungu alipomleta mkombozi mzee mwinyihao ndio adui wa mwafrika? baada ya kuwaondoa Uganda ilinufaika nini?
Mama yko ile mimba yangu ameitoa?Shetani namba moja ni Mohammad
Nyerere alikuwa anamrudisha madarakani mshkaji wake oboteObviously Nyerere alitumika Vibaya. Sijui Kwa kujua au Bahati Mbaya, ila baada ya hapoo ndipo Tanzania ilipoparaganyika
Nia ya kumpiga tunayo sababu ya kumpiga tunayo na uwezo wa kumpiga tunao kumbe nyerere alikuwa na nia ya kumpiga iddi amin toka muda mrefu na vita ile imetutia umasikini haswa kisa tu kumuweka madarakani mkatoliki mwenzie oboteNyerere alitumiwa na Wazungu kumchafua Iddi?
Mengine yote ungeweza kudanganya kwa nia ya kumpamba. Ila hilo la mgongano wake na Mwalimu ungeacha.
Iddi Amini alikuwa na maneno ya hovyo na vitisho. Mwalimu alijitahidi sana kutomzingatia. Mpaka pale Iddi alipojitoa ufahamu kutaka kung'ang'ania eneo la nchi yetu kuwa eneo la Uganda.
Uvumilivu huo usingeuvumilia hata wewe.
Kama ni Wazungu walimtuma Mwalimu kumchafua Iddi, basi hata wakati wa Vita wangempa msaada wa kivita ili kumchakaza Iddi Amini. Badala yake, Iddi Amini ndiyo alipata msaada kutoka nchi wahisani wa Kiislamu (Libya).
Du alie shika mwamvuli sijui ana zuia niniAfrika bara zito sana, namtafakari aliyeshika mwavuli, aisee[emoji38][emoji28][emoji1787][emoji23]View attachment 2660493
Nyerere alitumiwa na Wazungu kumchafua Iddi?
Mengine yote ungeweza kudanganya kwa nia ya kumpamba. Ila hilo la mgongano wake na Mwalimu ungeacha.
Iddi Amini alikuwa na maneno ya hovyo na vitisho. Mwalimu alijitahidi sana kutomzingatia. Mpaka pale Iddi alipojitoa ufahamu kutaka kung'ang'ania eneo la nchi yetu kuwa eneo la Uganda.
Uvumilivu huo usingeuvumilia hata wewe.
Kama ni Wazungu walimtuma Mwalimu kumchafua Iddi, basi hata wakati wa Vita wangempa msaada wa kivita ili kumchakaza Iddi Amini. Badala yake, Iddi Amini ndiyo alipata msaada kutoka nchi wahisani wa Kiislamu (Libya).