Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
AlipambanishwaNi nini kilimtuma Idd Amini kuivamia Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AlipambanishwaNi nini kilimtuma Idd Amini kuivamia Tanzania?
AlipambanishwaNi nini kilimtuma Idd Amini kuivamia Tanzania?
Ujinga hauachwi, ila unatolewaAcheni ujinga
Iddi amini lipindua inch, yeye akawa raisi,Nyerere alitumiwa na Wazungu kumchafua Iddi?
Mengine yote ungeweza kudanganya kwa nia ya kumpamba. Ila hilo la mgongano wake na Mwalimu ungeacha.
Iddi Amini alikuwa na maneno ya hovyo na vitisho. Mwalimu alijitahidi sana kutomzingatia. Mpaka pale Iddi alipojitoa ufahamu kutaka kung'ang'ania eneo la nchi yetu kuwa eneo la Uganda.
Uvumilivu huo usingeuvumilia hata wewe.
Kama ni Wazungu walimtuma Mwalimu kumchafua Iddi, basi hata wakati wa Vita wangempa msaada wa kivita ili kumchakaza Iddi Amini. Badala yake, Iddi Amini ndiyo alipata msaada kutoka nchi wahisani wa Kiislamu (Libya).
Mbona ameuliza kistaarabu tu?Wenye akili kama yako, wengi wenu ni waarabu wa Zenji au wa bara. Hivi unajua chanzo cha vita, wewe mwehu? Wale wanafunzi wa Tanzania walioathiriwa na chuma, mipaka yetu kuvamiwa, je, Ulaya walitusaidia? Waarabu wenzako walitusaidia kipi zaidi ya kumsapoti Nduli? Unajua kwamba Ghadafi baada ya vita alituomba msamaha tukayamaliza? Kenge maji wewe.
🙁🙁🙁🙁
Pumba, pumba, pumba... Kwanini lazima kuoa muhindi? Kama serikali ilishindwa kusimamia makusanyo ya ushuru ktk biashara za Wahindi, kwn ni kosa lao. Kwahiyo, tuwafukuze Wachina Kariakoo sababu hawataki kuoa dada zetu? Au kwakuwa hawana uraia wa TZ? Biashara tufanye Wachaga tu na Wakinga, alafu.Toka kipindi alipoipindua serikali ya Milton Obote, mwaka 1971, Idd Amin alifanya kazi kubwa kuhakikisha rasilimali za Uganda zinabaki kuwanufaisha waganda na si vinginevyo. Aliingia madarakani na kukuta asilimia kubwa ya uchumi wa Uganda ukishikiliwa na Wahindi ambao walikuwa hawainufaishi uganda kwa lolote zaidi ya kutorosha pesa na kuzipeleka kwao India au uingereza. Idd Amin baada ya kuliona hilo akaamua kuja na sera ya kuwatimua Wahindi ndani ya ardhi ya Uganda ndani ya siku 90 tu aliwataka waondoke nchini humo na kuacha rasilimali zote ziwanufaishe Waganda.
Biashara kubwa zote katika jiji la Kampala zilikuwa zikishikiliwa na Wahindi ambao kiuhalisia ni wabaguzi. Idd Amin aliwahi kuhojiwa kwanini amefikia uamuzi wa kuwatimua wahindi mwaka 1972, alijibu wazi kuwa haoni umuhimu wa uganda kuendelea kuwa na watu ambao hawataki kuwa waganda bali walikuwa wanataka tu kuendelea kuinyonya Uganda . Serikali ya Idd Amin iliwapa chaguo wahindi hao wapewe uraia wa uganda lakini asilimia kubwa walikataa wakitaka wabaki na passport za Uingereza , na pia alisema kuwa wahindi ni watu wabaguzi hawataki kujichanganya na jamii zingine kama katika suala la kuoa/kuolewa ,wao wanataka kuendeleza asili yao tu. Hivyo Idd Amin aliona bora waondoke waelekee kwao india au uingereza waiache Uganda kwa Waganda.
Ujasiri huu ndio ulimfanya Robert Mugabe aige tukio hili na kuwatimua wazungu katika ardhi ya Zimbabwe na kuwamilikisha wananchi wa zimbabwe rasilimali za Zimbabwe.
Wazungu walimchukia Idd Amin kutokana na siasa zake za kutetea maslahi ya waafrika hivyo waliamua kumuundia zengwe na hatimaye walimtoa Idd Amin kupitia jeshi la Tanzania mwaka 1979.
Idd Amin alihojiwa alipokuwa uhamishoni Saudi Arabia, kwanini aliondoa jeshi lisiendelee kupigana.Alimjibu mwandishi kuwa hakuona sababu ya kupigana kuiangamiza Kampala ambayo ilikuwa ndio kitovu cha uchumii wa nchi ya Uganda. Hakutaka raia wake wa Uganda wapate maafa zaidi hivyo aliamua kuondoka uhamishoni na kuiacha uganda salama.
Idd Amin aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa hajawahi kumiliki akaunti ya benki nchi za nje tofauti na viongozi wengi wa kiafrika wa wakati huo pindi walipopata madaraka walihamisha fedha kupeleka katika nchi za nje.
aneuliza kijinga sio kistaarabuMbona ameuliza kistaarabu tu?
Naona unaendeshwa na hisia, jiandae kuwaharibia wanaokuzunguka jioni yao. Umejawa na mapovuPUMBA PUMBA PUMBA .... kwan lazima kuoa muhindi? kama serikali ilishindwa kusimamia makusanyo ya ushuru ktk biashara za wahindi,kwn ni kosa la nan. kwahiyo tuwafukuze wachina kariakoo sababu hawataki kuoa dada zetu?? au kwakuwa hawana uraia wa TZ? Biashara tufanye wachaga tu na wakinga,, alafuu
Naona unaendeshwa na hisia, jiandae kuwaharibia wanaokuzunguka jioni yao. Umejawa na mapovuPUMBA PUMBA PUMBA .... kwan lazima kuoa muhindi? kama serikali ilishindwa kusimamia makusanyo ya ushuru ktk biashara za wahindi,kwn ni kosa la nan. kwahiyo tuwafukuze wachina kariakoo sababu hawataki kuoa dada zetu?? au kwakuwa hawana uraia wa TZ? Biashara tufanye wachaga tu na wakinga,, alafuu
Kwani nani alieanza kumchokozs mwenzie?..mabeberu walitaka Nyerere apigane vita na Iddi Amin ili asiweze kusaidia vita vya ukombozi wa Kusini mwa Afrika, haswa Zimbabwe.
Nyie ni wachafu tu hata miji ambayo Waislam ni wengi ni michafu balaa.Iddia amini alikuwa mwema..lazima nimsifu muislam mwenzangu.
Nyerere alikuwa kibaraka wa wazungu mkatoliki yule
Habari ya uchafu na usafi imeingiaje hapa.Nyie ni wachafu tu hata miji ambayo Waislam ni wengi ni michafu balaa.
Boss, should we discuss issues of this kind miaka hii kweli? Alikuwa shujaa, hakuwa, alitumika na wazungu hakutumika, inasaidia nini leo hii?! Hata tukipata majibu Leo yatatatua nini?Weekend Kareem wapenzi wa JamiiForums popote mlipo. Naamini mu wazima wa siha muruwa kabisa huku mkifanya tathmini ya kile mlichokifanya kwa juma zima hili.
Leo nimeleta kwenu swali juu ya Idd Amini, sipendi kumwita Nduli ila tumuombe tu Mwenyezi Mungu aendelee kuipumzisha roho yake.
Idd Amini aliitwa majina yote mabaya na nchi za magharibi baada ya utiriri wa matukio ya wadhalilisha Wazungu na kuwatimua Wahindi ili Waganda wenyewe waendeshe shughuli zote za kiuchumi na kukuza uchumi wao.
Miongoni mwa visanga alivyo vifanya Idd Amini ni pamoja na:-
Hivyo ni basi baada ya kuwatoa Wazungu dole la jicho, ndipo walipomuanza kumchonganisha Mwalimu na Amini ili Mwalimu ampige Amini na apotezwe kabisa.
- Kuwaamuru mabalozi wa nchi za Ulaya wambebe juu juu na kiti kisha kumzungusha mitaani huku wananchi wakishangalia. Alifanya hivi kulipa kisasi jinsi babu zetu walivyowabeba wazungù.
- Kuna wakati Amin aliomba msaada wa kifedha kwa Malkia Elizabeth, msaada ukachelewa, baada ya miezi kadhaa ndipo Amin akapewa hiyo pesa, kwa jeuri akamwambia sina shida na pesa yako, akairudisha. Malkia alikasirika sana.
- Idd Amini aliwatimua Waasia wote, Wahindi na Waarabu ili kupisha Waganda wenyewe wafanye biashara.
KUKAWA na maneno kati ya Mwalimu na Amini ambayo hayakuwa mazuri, hatimaye yakapelekea vita ya mataifa mawili haya.
Habari za Idd Amini kula nyama za watu, je ilikuwa uzushi ama propaganda?
Je habari za Amin kuwapasua wanawake wajawazito, ilikuwa ni kweli au uzushi?
Je habari za Amini kuwatupa mto Nile walemavu zina ukweli gani? Je kuna uhusiano gani na ule wimbo wa Mchakamchaka Idd Amini akifa siwezi kulia, nitamtupa Kagera awe chakula cha mamba?
Karibuni waungwana