Je, ni kweli kuna majini?

Mkuu umetisha.

Nina uhakika hawezi kufanya Wala kujaribu hii.

Humu watoto wengi na immatured fellas.
 
Kwani kwenye Suratul Jinn original, Majini yaliongea lugha gani ?
waliosoma ilm ya majini wanazijua lugha za majini na ziko nyingi tu,sasa kama hawa waliosoma hii ilm al ghayb wanauwezo wa kuzijua inawezekana wakawasiliana na hao majini kwa lugha za majini Qu'ran haituambii yale majini yaliyoisikia Qu'ran na kuiamini walizungumza Lugha al arabiyya au lughatul jinniya pengine moja kati ya hizi lugha zilitumika nina imani Muhammad alikuwa na ilm kuhusu hivi viumbe pengine hata lugha yao inawezekana alikuwa anaijua
 
M Mwamba uko vizuri.
Unaonekana umesilimua.
 
Unafanya utafiti ila hauna nyenzo za hypothesis.
 
Eeeh jini la kiume ukawe mlinzi kwenye Mali zangu zote, nilindie asiwepo wa kuzichukua, Linda Mali zangu

Jini la kike kalete muonekano, kavutie wateja, waipende biashara yangu, wakiitizama hakuna kujiuliza, ewe jini ke lete muonekano wako!

Haya rusha sadaka hizi kwenye lango la bahari! MARUFUKU kugeuka nyuma
 
Tupe kisa kilivyokuwa kisha tukupe ilm
Ni kwamba walikua watatu walihitaji ku summon majini kwaajili ya kusimamia mali zao, walienda chumbe huko zenji majini wabaya walikuja wakawadhuru wawili kasoro jamaa mmoja tu sijaelewaga mpaka leo
 
Sasa wazungu wana hadi dhana ya kuwasiliana na watu waliyokufa kitu ambacho hata hao waarabu hawana, google kuhusu Mediumship uone jinsi wazungu wanavyozungumzia kuwasiliana na majini na watu waliyokufa.
 
Nishaskia watu kadhaa wakihojiwa na efm kwa visa vya kuiutana na majini,mmoja alikua akihojiwa na mkoi ghafla vifaa vikaungua vyote mpaka simu kwa kujaribu tu kueleza yaliyomkuta kwa huyo jini,
Ila kama wewe unakula mdudu kama mimi ni ngumu sana kukusogelea,
Nenda magomeni pale ulizia kuna nyumba moja ukikaa siku mbili utafiti unakamilika
 
Wewe sema huamini dini pamoja na Allah, hawa viumbe hapo na wameumbwa kumwabudu Allah, pamoja na binadamu.
 
Unataka kusema wale tunaoona wanaotolewa mapepo huwa hawapendi kitimoto?
Hii mada ni majini, kwani majini ni mapepo?
Hao wanaotolewa mapepo wanapenda kitimoto, wanaotolewa mapepo ili wakale kitimoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…