[emoji23][emoji23] kwa hiyo hizo taasisi 120 zikiwa zinajenga maghorofa inamaana mwanza ujenzi wa maghorofa utakuwa hauendelei auNinyooshe Kwa blaa blaa au Kwa kuonesha vitu vivid? Dom is next level kama mnalia lia mkidhani eti mtapunua aisee sahauni Kuna km 200 za dual carriage 50 km Kila upande hazijaanza hapo Dom [emoji2957][emoji2957]
Zaidi ya taasisi 120 Bado hazijaanza kujenga HQ zao hapo na zote ni magorofa.
Uwanja na arena loading , kiufupi hakuna siku Dom itawapa nafasi ya kupumua.
Ndio maana nakushauri utembee we mfipa wa kampi katoto ,,,jiji ulilofika ni mbeya tu ,miji mingine unaijua Kwa picha tu ,,,Fala la kwanza ni wewe ,eti Kwa vile kasapoti ego Yako unajua ndio kazi imeisha [emoji16][emoji16]
Kwanza banks alizotaja Sina hakika kama hazipo ila mwaka huu KCB wanafungua matawi 6 Tanzania possibly Dom,Tanga,Mbeya na kuongeza mengine Dar,Mwanza na Arusha..
Kuhusu viwanda mwambie akutafutie kiwanda Cha Mbolea pekee Tanzania hapo Mwanza.
Twende mdogo mdogo vyanzo gani vikubwa vya private sectors hapo Dodoma ambavyo halmashauri ya Dodoma inakusanya?Kwanza Hakuna Public sector ambako Halmashauri wanakusanya mapato haipo,mapato yote ni from private sector sector..
So Kwa kuwa Dom inakusanya mapato mengi kuliko Mwanza jibu ni kwamba private sector ya Dom is well developed kuliko Mwanza..
Dom ipo kwenye list hii hapa πNdio maana nakushauri utembee we mfipa wa kampi katoto ,,,jiji ulilofika ni mbeya tu ,miji mingine unaijua Kwa picha tu ,,,
Dodoma benki zao ni hizi Nakutajia na location
NMB -udom,psssf,kambarage tower,na barabara ya sita,na bunge
CRDB-nyerere square,udom,bunge, psssf na chamwino
TCB ,-soko kuu, psssf
AZANIA-pssf
EQUITY -uhindini
EXIM-paradise
NBC -paradise
DCB-pssf
ABSA -psssf
UBA -uhindini
MWANGA HAKIKA-chako ni chacko...
MKOMBOZI -nyerere square
Kuna benk hazifiki hata 15 ,jiji Zima ..hamna Cha KCB Wala nini wanazidiwa na kahama[emoji28][emoji28]
Volume of investments ndio itaamua wapi Mzunguko wa pesa itategemea..[emoji23][emoji23] kwa hiyo hizo taasisi 120 zikiwa zinajenga maghorofa inamaana mwanza ujenzi wa maghorofa utakuwa hauendelei au
Wewe unaona service industry ya Dom ni sawa na Mwanza?Twende mdogo mdogo vyanzo gani vikubwa vya private sectors hapo Dodoma ambavyo halmashauri ya Dodoma inakusanya?
Dodoma kuna viwanda gani kushinda Mwanza? Mbona unakuwa mpumbavu sana.Wewe unaona service industry ya Dom ni sawa na Mwanza?
Dodoma kuna viwanda gani kushinda Mwanza? Mbona unakuwa mpumbavu sana.
Taja viwanda vikubwa vitatu vya dodoma ukiacha cha mbolea kinachojengwa.Wewe unaona service industry ya Dom ni sawa na Mwanza?
Wapi nimetaja viwanda? πππDodoma kuna viwanda gani kushinda Mwanza? Mbona unakuwa mpumbavu sana.
π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺ Kinajengwa au kimemalizika kimeanza uzalishaji Toka July na sisi wa Sumbawanga tunatumia Hadi Mbolea za Intracom fertilizers.Taja viwanda vikubwa vitatu vya dodoma ukiacha cha mbolea kinachojengwa.
Taja viwanda acha mbamba mbamba.π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺ Kinajengwa au kimemalizika kimeanza uzalishaji Toka July na sisi wa Sumbawanga tunatumia Hadi Mbolea za Intracom fertilizers.
Kwa taarifa Yako sio tuu wanazalisha mbolea Bali na bidhaa za ujenzi kama lime,vigae nk
Umewahi sikia magodoro Dodoma? Kipo Mwanza?Taja viwanda acha mbamba mbamba.
Pia ulisema halmashauri wanakusanya kodi kupitia private sector ndio maana Mwanza tumeziwa, nikakubali, nikauliza private sector gani hizo, ukasema viwanda, nikauliza dodoma kuna viwanda kuzidi Mwanza, ukaruka tena ukasema hujasema chochote kuhusu viwanda....Lakini wewe utakuwa na shida kichwani sio bure, kama watu wa njombe mna akili kama panzi ni haki yenu kuendelea kuwa na hudumavu wa akili na mwili.Wapi nimetaja viwanda? πππ
Dom
Milling machine kubwa Tanzania ipo mkuyuni, na makao makuu ya CPB yapo Mwanza sasa nini unachojivunia?Umewahi sikia magodoro Dodoma? Kipo Mwanza?
Unafahamu kwamba Bodi ya Mazao Mchanganyiko CPB Ina milling machines kubwa inavyofanya packaging ya bidhaa za nafaka?
Kiwanda Cha magodoro kipo dar ..Hilo ni jina tuUmewahi sikia magodoro Dodoma? Kipo Mwanza?
Unafahamu kwamba Bodi ya Mazao Mchanganyiko CPB Ina milling machines kubwa inavyofanya packaging ya bidhaa za nafaka?
Sasa mbona mna njaa?Milling machine kubwa Tanzania ipo mkuyuni, na makao makuu ya CPB yapo Mwanza sasa nini unachojivunia?
Hajui chochote nilikuwa namzoom tuKiwanda Cha magodoro kipo dar ..Hilo ni jina tu
Njaa mnayo nyie wenye udumavuSasa mbona mna njaa?
[emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji1787]Hivi huwa unahumia na Mwanza ukiwa wapi? Kila mada zako lazima uitaje Mwanza.
Kiwanda cha Magodoro Dodoma kipo Kizota,Dodoma ....brand name ni Magodoro Dodoma Asili hicho kilichopo Dar kilihamishwa kutoka Dodoma miaka ya 1990 na brand name ni Magodoro DodomaKiwanda Cha magodoro kipo dar ..Hilo ni jina tu