Ndio maana nakushauri utembee we mfipa wa kampi katoto ,,,jiji ulilofika ni mbeya tu ,miji mingine unaijua Kwa picha tu ,,,
Dodoma benki zao ni hizi Nakutajia na location
NMB -udom,psssf,kambarage tower,na barabara ya sita,na bunge
CRDB-nyerere square,udom,bunge, psssf na chamwino
TCB ,-soko kuu, psssf
AZANIA-pssf
EQUITY -uhindini
EXIM-paradise
NBC -paradise
DCB-pssf
ABSA -psssf
UBA -uhindini
MWANGA HAKIKA-chako ni chacko...
MKOMBOZI -nyerere square
Kuna benk hazifiki hata 15 ,jiji Zima ..hamna Cha KCB Wala nini wanazidiwa na kahama[emoji28][emoji28]