ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sasa route kutishia sehemu Moja ambayo ni city centre Kuna tatizo gani? Mbona sioni hoja?Hujajibu kabisa hoja zake,umeishia kuparaza tu ili mradi umejitutumua kujibu.Hebu nenda sambamba na hoja zake,mfano yeye amekupatia mpaka idadi ya routes za daladala kwamba zote zinaishia sehemu moja.
Inawezekana unapata ugumu wa kujibu hoja zake kwakuwa mwenzio kaenda deep na kaichambua Dodoma vizuri sana,ukizidiwa ni vizuri kutundika daruga na ukaachia mwingine ajaribu kupangua hoja za Ngosha.
Kama hizo Guests ndio unaita Hotel basi Kwa Dom ni nyingi kama miti.Kumbe we ni comedian ,,unadhani mwanza ni ugogoni.hapo,,,,kama malaika ni nyota 3 , mwanza hotel itakuwa nyota ngapi [emoji12][emoji12]...
Kaangalie rating ya hizi hotel uje na majibu
Tilapia hotel
Ryan's bay hotel
Gold crest hotel
Malaika beach resort
The golden pigeon hotel
Mwanza hotel
The kingdom hotel
Eden palace hotel
Midland hotel
Leyshof hotel
Lenana hotels
Antelope hotel...
Katizame Kama hata Moja wapo inashuka nyota 3 .......na left Uzi ,[emoji28]
Hapa ulipoonesha ni 25km from cbd na hapo ni baadhi ya mitaa ya kata ya buswelu huko Ilemela, kama mtaa unafananishwa na cbd ya dodoma hakika mwanza ipo mbali sana😝😝😝😝Naona uswazi na mavumbi tuu 😁😁
Yaani Mwanza mnayotupigiaga makelele humu ndio hii hapa inafanana na Manyoni 🤪🤪🤪🤪View attachment 2536243View attachment 2536244View attachment 2536245View attachment 2536246View attachment 2536247
Unajua kusoma? Hapo panafanana na Manyoni Vijijini Itigi huko,ni aibu kusema eti ni ndani ya Jiji.Hapa ulipoonesha ni 25km from cbd na hapo ni baadhi ya mitaa ya kata ya buswelu huko Ilemela, kama mtaa unafananishwa na cbd ya dodoma hakika mwanza ipo mbali sana😝😝😝😝
Wivu tu unakusumbua,Kuna mtaa gan smart kama huo ,,,hizo nyumba sio za TBA Wala NHC ,,niletee picha za nkuhungu ,na mkonze [emoji28][emoji28][emoji28]Unajua kusoma? Hapo panafanana na Manyoni Vijijini Itigi huko,ni aibu kusema eti ni ndani ya Jiji.
Yaani apo zote ulizotaja angalau Dompo inajitutumua lakn izo zengne hata Dom hpatinjoo Dodoma Wine Festival inafanyika kila mwaka utaona zaidi ya brands 50 za wine zinazotengenezwa Dodoma.Soko la wine Tanzania na East Africa limeshikiliwa na wines zinazotoka Dodoma kama Dompo,Celta Wigo,Presidential,Mtita,Tullys,Veyula,Heaven Son,Mtita,Altar Wine n.k. Asilimia chache ya wines zinatoka South Africa
Kwahiyo apo umetaja viwanda 50njoo Dodoma Wine Festival inafanyika kila mwaka utaona zaidi ya brands 50 za wine zinazotengenezwa Dodoma.Soko la wine Tanzania na East Africa limeshikiliwa na wines zinazotoka Dodoma kama Dompo,Celta Wigo,Presidential,Mtita,Tullys,Veyula,Heaven Son,Mtita,Altar Wine n.k. Asilimia chache ya wines zinatoka South Africa
Dodoma asili anafanya biashara ndani ya mkoa wa Dodoma tuu na nimeyajua magodoro ya Dodoma asili coz nmesoma apoKumbe kipo 😁😁👍👍👍
Jamani nimeishi Mlimwa C miezi 3, nimesoma Dodoma miaka 2, Dodoma saa moja jioni daladala zinaanza kupungua saa 2 hpati daladala. Kuna siku nimeagiza vitu Mwanza nipokee Dom gari limefika saa 2 natoka stand nipate daladala lakn wapi. Ikabidi nirudi stand ili nipate bodaaHujajibu kabisa hoja zake,umeishia kuparaza tu ili mradi umejitutumua kujibu.Hebu nenda sambamba na hoja zake,mfano yeye amekupatia mpaka idadi ya routes za daladala kwamba zote zinaishia sehemu moja.
Inawezekana unapata ugumu wa kujibu hoja zake kwakuwa mwenzio kaenda deep na kaichambua Dodoma vizuri sana,ukizidiwa ni vizuri kutundika daruga na ukaachia mwingine ajaribu kupangua hoja za Ngosha.
Almost 15km from City centre na bado nipazuri kuliko Area C,D.Fact hapo kiwanja bila milioni 15 huwezi pataNaona uswazi na mavumbi tuu 😁😁
Yaani Mwanza mnayotupigiaga makelele humu ndio hii hapa inafanana na Manyoni 🤪🤪🤪🤪View attachment 2536243View attachment 2536244View attachment 2536245View attachment 2536246View attachment 2536247
Acha kuabudu nchi zingine we mpuuzi uzalendo uanzia nyumbani, ni kweli kitambo kwenye haya mambo alianza SA na akawa anaaminika kama Kenya ya enzi hizo kwa Tz lakini mambo yanabadilika hivyo usikariri, Wine ya Dodoma imepiga hatua kubwa na variety zake zimeshakuwa nyingi na hamna tena ulazima wa wine za SA kwa consumer walio wengi.Unajua volume sales ya Drostdy Hof dry red kwa Tanzania? Ulizia wanao import hiyo wine peke yake au nenda pale kwa Mohans uone inavyotembea kuanzia retail mpaka kwa wholesalers na ulinganishe na hizo local wines zote kwa pamoja ndiyo utajua SA imelishika vizuri sana soko la wines kwa hapa Tanzania.
Hapo nimekupa tu hiyo moja,bado hatujaja kwenye zile fine wines zinazuzwa kuanzia 25k-35k.Hao kina Fiorenzo wa CETAWICO au Kato wa Alko Vintage wanafanya vizuri sokoni lakini siyo kwa kiwango cha wines zinazotoka SA.
Hivi we mjanja wa dodoma unabishana na mtu wa mwanza kabisaa? 🤣 🤣 Yani hao wenzio bado wapo kwenye mhaho wa maghorofa na picha hawana ata aibu wanashindana na arusha kisa wapo wengi kama nyuki kumbe makolo tuAcha kuabudu nchi zingine we mpuuzi uzalendo uanzia nyumbani, ni kweli kitambo kwenye haya mambo alianza SA na akawa anaaminika kama Kenya ya enzi hizo kwa Tz lakini mambo yanabadilika hivyo usikariri, Wine ya Dodoma imepiga hatua kubwa na variety zake zimeshakuwa nyingi na hamna tena ulazima wa wine za SA kwa consumer walio wengi.
Historia na bla! bla! bla! bla! Kikubwa mnakubali kuwa kupitwa mmepitwa hiyo ndo point muhimu.Ngosha wewe ni Mnoma sana, Home Mwanza nimesoma DOM hii DOM 2016 tu nyuma ya Station njia ya UDOM kulikuwa na Tembe, DOM itachukua muda kidogo kuifikia Mwanza ila itafika tu maana uwekezaji wake mkubwa
Hadi sasa DOM kinachoizidi Mwanza ni gari nyingi zenye namba ya STK,STL,STM na SM
Vipi na kule milimani mbona utuletei pia tuone hiyo sewage ilivyo?View attachment 2535887
Sewage system on point
Kule Milimani tayari kitambo hatuna MbambaVipi na kule milimani mbona utuletei pia tuone hiyo sewage ilivyo?
Hii Dodoma ninayoijua mimi? Huo utopolo wa Miyuji?Historia na bla! bla! bla! bla! Kikubwa mnakubali kuwa kupitwa mmepitwa hiyo ndo point muhimu.
Gold teeth kaa kwa kutulia Unganeni Dom,Arusha na Mbeya mkujeeHivi we mjanja wa dodoma unabishana na mtu wa mwanza kabisaa? 🤣 🤣 Yani hao wenzio bado wapo kwenye mhaho wa maghorofa na picha hawana ata aibu wanashindana na arusha kisa wapo wengi kama nyuki kumbe makolo tu
Ukweli usemwe tujifunze Dom kuna Dompo tu izo zengne ni Chan'gaaaAcha kuabudu nchi zingine we mpuuzi uzalendo uanzia nyumbani, ni kweli kitambo kwenye haya mambo alianza SA na akawa anaaminika kama Kenya ya enzi hizo kwa Tz lakini mambo yanabadilika hivyo usikariri, Wine ya Dodoma imepiga hatua kubwa na variety zake zimeshakuwa nyingi na hamna tena ulazima wa wine za SA kwa consumer walio wengi.
Mi naona wanabwabwaja tu hapa kuna daladala gani hapo Mwanza isiyoripoti Natta na makoroboi stendi za hapo CBD isitoshe magari mengi uelekeo ni mmoja wa nyashishi-mjini-kisesa na nyashishi-mjini-airport, point yenye abiria wengi na tegemeo hapo mwanza ni mzunguko (CBD)Sasa route kutishia sehemu Moja ambayo ni city centre Kuna tatizo gani? Mbona sioni hoja?