Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Dodoma asili anafanya biashara ndani ya mkoa wa Dodoma tuu na nimeyajua magodoro ya Dodoma asili coz nmesoma apo
Acha sifa za kijinga wakati ndiyo magodoro yanayowaokoa wasukuma wa Mwanza, hakuna godoro linalouza usukumani kuzidi hilo naomba muweko na shukrani basi hata kidogo kwa mengi mnayotendewa na jiji la kisasa.
 

Kwani boda si usafiri acha mchecheto, afu mambo mengine tumia common sense, daladala haziwezi kukaa night katika maeneo ambayo hayana uhitaji mkubwa na kuna other means za usafiri, yaani mitaani kumechangamka watu wanatoka out na wengine wanageuka mahozi mtu asiende kupiga minazi huko eti akusubirie wewe unayesafiri usiku toka usukumani ufike ndo akupakie ulishaonaga wapi biashara za namna hiyo.
 
Hivi we mjanja wa dodoma unabishana na mtu wa mwanza kabisaa? [emoji1787] [emoji1787] Yani hao wenzio bado wapo kwenye mhaho wa maghorofa na picha hawana ata aibu wanashindana na arusha kisa wapo wengi kama nyuki kumbe makolo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Ukweli usemwe tujifunze Dom kuna Dompo tu izo zengne ni Chan'gaaa
Sasa kwa kuwa kakaririshwa demu wako na msela wake kila ukimwita ghetto ndio kawimbo beiiibii ngosha bhebhe ninunulie doumpoo ndo sasa wajifanya kuifagilia kumbe ndo brand pekee unayoifahamu.
 

We mbuzi mie nakaa DSM na hizo shobo zako peleka kagongwa-kahamia tinde.

Back on topic nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu au ufahamu juu ya unachokibishania, naomba hili tulimalizie hapa maana una uelewa finyu juu ya masuala ya utoaji madaraja katika kiwanda cha hoteli.
 
Utajua hujui ,,,,,unakaa dar bonyokwa ,au kingolwira ...toa ujinga hapa ,,,eti Kuna nyota 5 Tano tanzania nzima ....kawapige kamba wagogo wa huko chipogolo ....hapa umenoa
 
Nishakuambia hizo kamba wachote hao kina choice variable,,,,sio humu ,,, daladala za kwenda nyamadoke zinapita nata,? Au makoroboi,, daladala za kwenda ilemela tokea Usagara/nyanshishi zinapita nata? au makoroboi,,,,vipi za airport nyashishi , luchelele mzunguko, za kwenda kanyerere,za mnangani ? Za mahina kati via bugando na bugarika......
Mwanza huijui Tutolee makelele humu
 
Naweza kuwa mpuuzi kweli lakini bado haiondoi uhalisia Soko la Wines hapa Tanzania linashikiliwa na SA.Unataka tubadili nyekundu kuwa nyeupe kisa ni products za hapa nyumbani? Kina Fiorenzo na Kato bado sana wana safari ndefu kulishika soko la Tanzania huo ndiyo ukweli.
 
Hivi we mjanja wa dodoma unabishana na mtu wa mwanza kabisaa? [emoji1787] [emoji1787] Yani hao wenzio bado wapo kwenye mhaho wa maghorofa na picha hawana ata aibu wanashindana na arusha kisa wapo wengi kama nyuki kumbe makolo tu
Kumbe Dodoma kuna wajanja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Historia na bla! bla! bla! bla! Kikubwa mnakubali kuwa kupitwa mmepitwa hiyo ndo point muhimu.
Hatuwezi kupitwa na mji unaosaidiwa kila kitu na Serikali .Tena mshukuruni sana JPM vinginevyo mgeendelea kuwa na matembe yenu mpaka kati kati ya mji [emoji3]

Sasa endeleeni kuomba na maji ya Ziwa Victoria yafike muwe mnaoga maji safi siyo yale ya kuoga mtu unapauka na ngozi inasinyaa kama umepaka Baby powder mwili mzima [emoji3]
 

We jamaa ni limbukeni nani kakwambia hoteli za Afrika mashariki yetu zilishawahi kufanyiwa ratings zaidi ya makadirio ya nyota basing on guest experiences? (Unazoona mtandaoni mostly ni fake only for marketing strategy)

Kwa kuwa hii ni taaluma na kuna watu wanaubobezi wa hizi mambo, mimi na wewe naomba tujifunze kwanza ndipo tujibizane, nimeingia mtandaoni nikascreen shot baadhi ya taarifa zitakazo tusaidia ku-judge,

Kiufupi kwa list hiyo hapo uliyoitaja kama ndiyo hoteli pekee zinazoaminika Mwanza basi Mwanza haina 4 star hata moja ndiyo maana hapa chini nimeamua kuambatanisha sifa za nyota 3 tu kwa sababu ndo zinafikiwa na baadhi ya finest hotels ulizotaja hapo juu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230302-233509~2.jpg
    50.2 KB · Views: 7
Kwamba hujui kuwa bodi ya utalii na wizara ya utalii wanatoa standard na rating za hotels ...hizo specifications zote ulizotaja hamna hotel ambayo haina kati ya nilizozimention hapo ...stop pretending..
Gold crest ni nyota 4 pure ,,,, tilapia hotel the same,,,,....by the way fika malaika beach resort ndio useme huu upuuZi wako
 
Ukizidiwa unaanza kuililia Serikali wakati NSSF,PSSF, NHIC hawa ndiyo wajenzi wa majengo mengi yanayoacha alama na chakujivunia katika miji yote Tanzania na Mwanza ikiwemo kama siyo wao na ccm hule mtaa wa ma-national housing ya wahindi rufiji, jengo la Gold Crest, benki kuu, ccm kirumba, Rock city mall,stendi,soko n.k sijuhi mngeliringia nini au ziwa.
 
Kumbe jibu unalo tungeringia ziwa...nyie hapo ugogoni mngeringia nin[emoji28][emoji16][emoji16][emoji12][emoji12]
 

Hizi hoteli za laki 2 per night zenye swimming pool na gym ya umma ndo zinakutisha ndugu yangu, hivi unaijua 4 star standard kweli?
Yaani ukitaja nyota 4 (hoteli za kula raha/vacationaries) akili yangu inanituma Arusha, Dar na Zanzibar siyo Mwanza, kumbuka hapo mwanza hata hoteli inayoigusa Mount Meru au Grand Melia hakuna na hadhi ya hoteli siyo maghorofa bali kuna vigezo vingi vinazingatiwa ukianza na location, level na quality ya huduma,amenities,upatikanaji wa kila kitu muhimu, uwezo wa kukata hamu na kiu ya matarajio ya mteja n.k
Ngoja nikupe na sifa za 4 star wenda ukanielewa.
 
Usitishwe na kingereza hapa ..Kwa complications zako ,,,,,,,bas Serena ni 3 star hotel
 
Kumbe jibu unalo tungeringia ziwa...nyie hapo ugogoni mngeringia nin[emoji28][emoji16][emoji16][emoji12][emoji12]
Fahari ya jiji la kisasa ni Mvinyo wa kitajiri tokea katika ardhi iliyobarikiwa yenye kustawisha Zabibu adhimu yenye aroma nzuri na ladha murua. Na fahari ya Mwanza ni harufu kali ya vinyesi, dagaa na furu.
 
Usitishwe na kingereza hapa ..Kwa complications zako ,,,,,,,bas Serena ni 3 star hotel
Usishangae ikaangukia huko linapokuja suala la ku-classify hoteli hatuangalii majina makubwa bali ni vigezo tu usipokidhi unabwagwa, japo najua kuwa Hyatt Regency kwa level yake ni 4 star kulingana na level ya huduma, mandhari,facilities, amenities na group la visitors wake uangukia kwenye kundi la spendors au vacationers.

Kundi la mwisho la nyota yaani nyota 5 nilikwambia ni dogo mno lakini ukuniamini, kundi hili la hoteli udili na matajiri na watu maarufu tu kwa wingi mfano mdogo ni lodge mbili pale Serengeti NP moja inaitwa Bilila Kempinski na Singita Sasakwa lodge(only VIP's) hapa watu wote maarufu unaowafahamu wakivisit attractions au wakija mapumziko Serengeti ufikia hapa.

Lakini hazipewi nyota tano kwa kuwa lodge kulingana na location zake haziwezi kukidhi vitu vingi vinavyoitajika kuipa hoteli nyota tano hivyo tunaishia kuziita most luxury lodges. Kwa Dar hoteli inayoweza kuwa ina sifa walahu zinazokaribia nyota tano ni Sea Cliff kwa ninavyoona mimi.
 
Kumbe unavyoona wewe [emoji28][emoji28]...nikajua wanavyoona wataalamu....Mimi nimezungumzia Serena we umedakia Hyatt regency,,,,....japo sio mtaalamu wa masuala ya hotel ila nakushauri kasome upya hizo notisi ulizopewa ,inaonekana Kuna mahala hujaelewa..by the way usituchote hapa ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…