Watu wengi sana wanauliza kama wewe kwanini Mwanza iliweza kuwa jiji kubwa hivi na ipo mbali na kibuyu cha asali nami nawaambia hata mahali kuliko na buyu la asali kungeweza kuachwa mbali, sema serikali inalibania sana hili jiji la Mwanza.hahaaa hawa jamaa wanaoforce kuiweka dom level moja na Mwanza ni vichaa tu , hizo sehem mbili hazifanani , mwanza kupo mbali sana kdg ungetaja Arusha ila kwa tz baada ya Dar hakuna sehem inaikaribia Mwanza sijui mwanza walitiboaje wkt wapo mbali na asali , NIMETEMBEA MIKOA YOTE TZ NAIJUA NJE NDANI TOFAUT NA DAR KDG ARUSHA INAEZA KAA MEZA MOJA NA MWANZA
Hoja ni hii👇👇👇 ya mkuyuni igogo view from saanane islandHuna hoja Wala picha unalialia kama ngedere wa saa 8
Kama kawaida naona uswazi na slums tupu hapo na tugorofa twa kuokoteza 🤪🤪Hoja ni hii👇👇👇 ya mkuyuni igogo view from saanane island
View attachment 2537937
Pumbavu wewe leta cbd ya dodoma tulinganishe na igogo hiyo hapo.Kama kawaida naona uswazi na slums tupu hapo na tugorofa twa kuokoteza 🤪🤪
Mwanza ni uchafu aisee
Haters... makasiriko yanaruhusiwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji12][emoji12]Kama kawaida naona uswazi na slums tupu hapo na tugorofa twa kuokoteza [emoji2957][emoji2957]
Mwanza ni uchafu aisee
Mwanza haiwezi Toka Nje ya hiyo tuoicha , tofauti na hapo utaona uswazi kama kawaida 🤪🤪Haters... makasiriko yanaruhusiwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji12][emoji12]View attachment 2538602
Mitaa ipi ya Arusha unaifahamu...?!Mwanza haiwezi Toka Nje ya hiyo tuoicha , tofauti na hapo utaona uswazi kama kawaida [emoji2957][emoji2957]
Narudia tena mshukuruni JPM aliwaonea huruma nyie watani zake maana mlikuwa dhofuri khali kwa kila kitu.Tangu enzi za Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete wote hao walikuwa wanakuja hapo Dodoma kwenye mikutano ya Chama tu.Wakimaliza hawataki hata kuongeza masaa kadhaa wanasepa.Ukizidiwa unaanza kuililia Serikali wakati NSSF,PSSF, NHIC hawa ndiyo wajenzi wa majengo mengi yanayoacha alama na chakujivunia katika miji yote Tanzania na Mwanza ikiwemo kama siyo wao na ccm hule mtaa wa ma-national housing ya wahindi rufiji, jengo la Gold Crest, benki kuu, ccm kirumba, Rock city mall,stendi,soko n.k sijuhi mngeliringia nini au ziwa.
Wangeringia matembe [emoji3][emoji3]Kumbe jibu unalo tungeringia ziwa...nyie hapo ugogoni mngeringia nin[emoji28][emoji16][emoji16][emoji12][emoji12]
Kingereza kingi kumbe anaongea kitu cha kawaida tu [emoji3][emoji3]Usitishwe na kingereza hapa ..Kwa complications zako ,,,,,,,bas Serena ni 3 star hotel
Usiniambie Dompo za Kato kwa wanywaji wazuri wa wine hiyo ni sawa na makapi ya wine yapo sawa na kina D'Hof zenye kutengenezwa na mchanganyiko wa makapi ya zabibu au Ambassador's za CETAWICO ndiyo mvinyo wa Kitajiri.Utakuwa unachekesha [emoji3][emoji3]Fahari ya jiji la kisasa ni Mvinyo wa kitajiri tokea katika ardhi iliyobarikiwa yenye kustawisha Zabibu adhimu yenye aroma nzuri na ladha murua. Na fahari ya Mwanza ni harufu kali ya vinyesi, dagaa na furu.
Unganeni wote,chuga,watani zetu wagogo,ombeni msaada na Mbeya,Sumbawanga huko,njooni nyote kama group bado hamtuwezi Jiji la Mwanza.Yani mwanza miaka mitatu baadaye itakuwa kama mtwara tu dodoma inakuja juu sana
Na baada ya huo mwaka,Lindi itaikalisha Chuga.Na arusha itakuwa kama lindi tu baada ya mwaka mmoja.
[emoji3][emoji3][emoji3] na kubeba mizigo ya wazungu.Mnafanya kazi Gani ya maana. Wanaume mnapanda maua kama mademu?
Wapagazi wa wazungu[emoji3][emoji3]Hivi kuna jiji watu wanachapa kazi kama Chugastan? HAKUNA. sisi hatusubiri serikali ituletee maendeleo kama nyie shamba city
Uswazi upo unga limited, na nyuma ya bypass hapo mianzini si matope na nyumba za miti.Mwanza haiwezi Toka Nje ya hiyo tuoicha , tofauti na hapo utaona uswazi kama kawaida 🤪🤪
Huyu lofa tu anaokoteleza habari kwenye mitandao Arusha yenyewe haijuiMitaa ipi ya Arusha unaifahamu...?!
Acha makasiriko leta ushahidi 😁😁We fala aliyekuambia Hakuna maji ni nani nyambafu. Kila kitu mnafanya baada ya mwanza kuvuka hatua hiyo jifunze kuwa na akili ya umri ulionao. Suala la mall mlikuja baada yetu, stand pia mtafanya hivyo hivyo, uwanja wa ndege the same na mengine mengi kuweni na adabu.