Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

UHivyo vijinyumba vimepangana kama maboksi yaliyotupwa dampo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kweli watu wa shamba city wanajidhalilisha Sana ..apo ndio wanaona jiji limekuwa kumbe slams za kushato pako kama dampo vileπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mnaleta picha zinazopigwa na wasiokuwa na Simu utajuaje pako poa hebu angalia palivyo halafu jiulize upo sawa kweli au ndo kushupaza shingo
Pako hivyo tatizo hata kununua Simu Kali zenye uwezo mkubwa wa kupiga picha hamna.
 
Umechagua kaeneo kadogo kanakokufurahisha ila aerial view ni mabanda ya nguruwe matupu 😁😁😁

Huwezi Kuta hayo matakataka Dodoma.
 
UHivyo vijinyumba vimepangana kama maboksi yaliyotupwa dampo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kweli watu wa shamba city wanajidhalilisha Sana ..apo ndio wanaona jiji limekuwa kumbe slams za kushato pako kama dampo vileπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Your browser is not able to display this video.

Dodoma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umechagua kaeneo kadogo kanakokufurahisha ila aerial view ni mabanda ya nguruwe matupu 😁😁😁

Huwezi Kuta hayo matakataka Dodoma.
Ndo Nini na wewe sasa mwanalizombe, hunaga vitu shindanishi humu. Yaani hili ndilo lijinga kuliko watumiaji wote wa jf πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huwa linatuma vitu linavyovifurahia lenyewe.
 
Ndo Nini na wewe sasa mwanalizombe, hunaga vitu shindanishi humu. Yaani hili ndilo lijinga kuliko watumiaji wote wa jf πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huwa linatuma vitu linavyovifurahia lenyewe.
Acha makasiriko ngosha πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huwa sibishani na maneno matupu ....kama huna picha au figure u better keep quiet

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inawatesa nyie shamba city siyo sisi ..ndio maana munaangaika kupost vipicha vyenu munazidi kujidhalilisha tu em angalia mfano iyo picha apo apaeleweki wanaishi watu wa level gani, nyumba hazina mupangilio mumejazana apo karibu na ziwa ili iwe rahisi kumwaga mauchafu yenu uko ziwani.

Hii siyo view nzuri ya kuonesha sema kwa sababu ya ushamba wenu wa kitoto basi munaona ni bonge la city kumbe ata dodoma tu hapo pamoja na ukame ila soon tu apo mujiandae kukalishwa.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Jiji gani ilo kuna ziwa lakini maji bado ya shida? Vyoo vyenyewe hakuna, watu wanakunya ziwani.
 
Zenye mpangilio ziko wapi ..unga limited,moshono,sinoni, nkuhungu,mailimbili au mkonze , [emoji28][emoji116]...picha ziko wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arusha Kuna n Yumba za miti zilizokandikwa udongo ndani ya CBD, utalinganisha na mwanza bro, leta njiro hapa nikupatie saizi yake kwa mwanza Tena eneo ambao lipo km kibao kutoka town ndo ujue nyie dodoma na Arusha bado sana.
 

Ni mfano tu wa vitu vikali, Sina hulka ya kutuma kitu kimoja kimoja maana hatutamaliza leo ila nimeamua nikuonjeshe ujifunze. Usitegemee miradi ya serikali uje ututambie hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…