Kuna muda huwa nawacheki na sema hiiiii yaani....View attachment 2557618View attachment 2557619View attachment 2557620View attachment 2557623View attachment 2557622View attachment 2557632
Ni mfano tu wa vitu vikali, Sina hulka ya kutuma kitu kimoja kimoja maana hatutamaliza leo ila nimeamua nikuonjeshe ujifunze. Usitegemee miradi ya serikali uje ututambie hapa.
huyu jamaa anachekesha kweli eti anataka picha kwahyo unataka picha za barabara za lami zote zilizopo ndani ya Jiji la Dodoma πππhumu tunabishana kwa hoja na facts sio picha.Huwa sibishani na maneno matupu ....kama huna picha au figure u better keep quiet
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna hotel hapo na wewe mbona umeng'ang'ania kusema hotel.huyu jamaa anachekesha kweli eti anataka picha kwahyo unataka picha za barabara za lami zote zilizopo ndani ya Jiji la Dodoma πππhumu tunabishana kwa hoja na facts sio picha. Nakumbuka ulisema Dodoma hakuna hoteli zenye viwango nikakutajia Morena Hotel,Dodoma Hotel,St Gaspar Hotel,Royal Village,Best Western City Hotel,African Dreams Hotel n.k ukataka pichaπππ.Ukasema tena Dodoma hakuna viwanda nikakutajia Viwanda zaidi ya 20 vya wine,kiwanda cha mbolea,kiwanda cha Magodoro,kiwanda cha maji+ soft drinks dipc,kiwanda cha nyama n.k nako ukataka pichaπππ.Kama kweli umeishi Dodoma Jiji utakubaliana kiulaini tu kuwa Dodoma inaizidi Mwanza kwa vipengele vingi .Kitu pekee Mwanza inachoizidi Dodoma Jiji ni population,viwanda vya samaki pamoja na biashara ya madini basiππππ
Endelea kuwacheki na kusema hiii π€ͺπ€ͺ.Kuna muda huwa nawacheki na sema hiiiii yaani....
Vijengo kama hivyo wangejivunia Geita na Kahama sio Mwanza mnatia aibu π€ͺπ€ͺView attachment 2557618View attachment 2557619View attachment 2557620View attachment 2557623View attachment 2557622View attachment 2557632
Ni mfano tu wa vitu vikali, Sina hulka ya kutuma kitu kimoja kimoja maana hatutamaliza leo ila nimeamua nikuonjeshe ujifunze. Usitegemee miradi ya serikali uje ututambie hapa.
Waambie Dom is untouchablehuyu jamaa anachekesha kweli eti anataka picha kwahyo unataka picha za barabara za lami zote zilizopo ndani ya Jiji la Dodoma πππhumu tunabishana kwa hoja na facts sio picha. Nakumbuka ulisema Dodoma hakuna hoteli zenye viwango nikakutajia Morena Hotel,Dodoma Hotel,St Gaspar Hotel,Royal Village,Best Western City Hotel,African Dreams Hotel n.k ukataka pichaπππ.Ukasema tena Dodoma hakuna viwanda nikakutajia Viwanda zaidi ya 20 vya wine,kiwanda cha mbolea,kiwanda cha Magodoro,kiwanda cha maji+ soft drinks dipc,kiwanda cha nyama n.k nako ukataka pichaπππ.Kama kweli umeishi Dodoma Jiji utakubaliana kiulaini tu kuwa Dodoma inaizidi Mwanza kwa vipengele vingi .Kitu pekee Mwanza inachoizidi Dodoma Jiji ni population,viwanda vya samaki pamoja na biashara ya madini basiππππ
NiMekaa dodoma miaka 3 ..2018 Hadi 2021, mitaa ya miyuji ,na mnada wa zamani, naijua Dom vizuri sana hizo unazosema hotel ni uchwara, at least Ile hotel iliyojengwa hapo kisasa ,na hii ya morena. Labda kama hii ya jiji ikipata mwekezaji, zingine zote ni takataka na uchafu.huyu jamaa anachekesha kweli eti anataka picha kwahyo unataka picha za barabara za lami zote zilizopo ndani ya Jiji la Dodoma [emoji23][emoji23][emoji23]humu tunabishana kwa hoja na facts sio picha. Nakumbuka ulisema Dodoma hakuna hoteli zenye viwango nikakutajia Morena Hotel,Dodoma Hotel,St Gaspar Hotel,Royal Village,Best Western City Hotel,African Dreams Hotel n.k ukataka picha[emoji23][emoji23][emoji23].Ukasema tena Dodoma hakuna viwanda nikakutajia Viwanda zaidi ya 20 vya wine,kiwanda cha mbolea,kiwanda cha Magodoro,kiwanda cha maji+ soft drinks dipc,kiwanda cha nyama n.k nako ukataka picha[emoji23][emoji23][emoji23].Kama kweli umeishi Dodoma Jiji utakubaliana kiulaini tu kuwa Dodoma inaizidi Mwanza kwa vipengele vingi .Kitu pekee Mwanza inachoizidi Dodoma Jiji ni population,viwanda vya samaki pamoja na biashara ya madini basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjitahidi mpande miti ...Hilo jangwa na mavumbi linaogofya [emoji3062][emoji3062]π₯Έ[emoji15][emoji15]Waambie Dom is untouchable View attachment 2558264
Always una excuses baada ya kupopolewa π€ͺπ€ͺMjitahidi mpande miti ...Hilo jangwa na mavumbi linaogofya [emoji3062][emoji3062]π₯Έ[emoji15][emoji15]
Kwa hyo hapo huoni vumbi na majangwa auAlways una excuses baada ya kupopolewa [emoji2957][emoji2957]
Huna picha zaidi ya hizi? ππ Najua unachokwepa π€ͺπ€ͺKwa hyo hapo huoni vumbi na majangwa au
[emoji116]
Sio dhambi kujifunza kwenye suala la mazingira View attachment 2558271View attachment 2558272View attachment 2558273
Nyingi sana .we sema tu unataka za mtaa ganHuna picha zaidi ya hizi? [emoji38][emoji38] Najua unachokwepa [emoji2957][emoji2957]
Leta iyumbu kama utakuta nyumba kama hizi pamoja na kujengwa na serikali. Kila angle mnapigwa nyie ombeni msaadaVijengo kama hivyo wangejivunia Geita na Kahama sio Mwanza mnatia aibu π€ͺπ€ͺ
Dom ni level za Kimataifa sio hizo takataka za Mwanza.Leta iyumbu kama utakuta nyumba kama hizi pamoja na kujengwa na serikali. Kila angle mnapigwa nyie ombeni msaada
Nyamhongolo ni Kali kuliko any part of dodoma kwa suala la real estate. Tunakupatia eneo size yako.Waambie Dom is untouchable View attachment 2558264
Ujinga huo kawadanganye kwenu senge remaNyamhongolo ni Kali kuliko any part of dodoma kwa suala la real estate. Tunakupatia eneo size yako.
Kuna mtu alinikatalia eti siijui Dodoma ππππ naona asee ni hatari sanaNiMekaa dodoma miaka 3 ..2018 Hadi 2021 ..mitaa ya miyuji ,na mnada wa zamani ..naijua Dom vizuri sana ..hizo unazosema hotel ni uchwara.. at least Ile hotel iliyojengwa hapo kisasa ,na hii ya morena ,,, Labda kama hii ya jiji ikipata mwekezaji..zingine zote ni takataka na uchafu....
Viwanja vya maana dodoma ni vya kuhesabu ilikuwepo pestana ambayo ilikuwa inategemea wanafunzi wa chuo .corona ilivokuja ikapita nayo baada ya wanafunzi kufunga vyuo .. royal village nayo ipo inasua sua ...bambalaga nayo hamna kitu ....
Kuhusu lami leta picha tuone hizo lami classic mbona sisi tunakupa zetu ...[emoji28][emoji28]
Dongo kunduWaambie Dom is untouchable View attachment 2558264
Unawapiga za ukweli ukweli wenzio tunawatupia za kishikaji.Nyingi sana .we sema tu unataka za mtaa gan
Green [emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2558280View attachment 2558281View attachment 2558282
Kila mradi wa mama Samia, hamuoni aibu hata kubishana na wanaume.Dom ni level za Kimataifa sio hizo takataka za Mwanza.