Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Wakati unaendelea kujiliwaza hapa na mazalia ya mbu kaokoe mwenzio huko taburukuru-sengerema wanafunzi na wanakijiji wanaliwa makalio na fisi pamoja na mamba.
Naona content is end kwenye kabati lako ...
Kupambana na mwanza ni kujipa kisukar [emoji116]
Site Kali ...unapata breeze ya ziwa [emoji91][emoji91][emoji91]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Undergraduate nimepiga hapo ....mitaa hiyo NiMekaa sana , mavumbi na upepo mkavu ulifanya ngozi yangu ikose afya ...aisee dodoma sio mji ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukuru Dodoma imekufanya ufute ujinga lasivyo hivi sasa ungekuwa huko mwanhunzi unachunga ng'ombe maana Mwanza na elimu havijawahi patana, btw kama ulisoma mipango kwanini unapoishi panakaa zizi la mbuzi?
 
Shukuru Dodoma imekufanya ufute ujinga lasivyo hivi sasa ungekuwa huko mwanhunzi unachunga ng'ombe maana Mwanza na elimu havijawahi patana, btw kama ulisoma mipango kwanini unapoishi panakaa zizi la mbuzi?
We jamaa hujui unachokiandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…