Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Shukuru Dodoma imekufanya ufute ujinga lasivyo hivi sasa ungekuwa huko mwanhunzi unachunga ng'ombe maana Mwanza na elimu havijawahi patana, btw kama ulisoma mipango kwanini unapoishi panakaa zizi la mbuzi?
Sasa mwanhuzi Meatu Simiyu imefata nn hapa [emoji1]
 
[emoji3][emoji3][emoji3]wenyewe wanakwambia Dodoma ni Jangwa ...ila maajabu huko jangwani ndio wanaongoza kwa kilimo cha Zabibu,Alizeti,Mtama, plus soko la mahindi la kimataifa Kibaigwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama lile ndo soko la kimataifa basi safari ni ndefu [emoji846]
 
Kinachoendelea jijini .Mwanza
Kuwa mvumilivu na ikibidi uwe maji pembeni kabisa ili kiu kikikushika usipate tabu Kwa sababu hamna atakayekuelewa utakapoomba uletewe maji Kwa kutamka mma [emoji91][emoji91][emoji91]..KAZI IENDELEE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan kuwa na soko la kimataifa ndio kuwa wakulima ....dar Kuna soko la kimataifa la kariakoo,,je wanalima ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unaweza kujenga soko la kimataifa la mahindi plus maghala ya National Food Reserve Agency kwenye mkoa ambao hauzalishi kwa wingi hayo mahindiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Tembelea sikumoja maeneo ya Kibaigwa,Mlali,Mkoka pamoja na maeneo yanayopakana na wilaya ya Gairo na Kiteto uone kiwango cha uzalishaji wa mahindi+nafaka 🀣🀣🀣
 
Kwa hyo kiteto na gairo ni mkoa wa dodoma aisee nilikuwa sijui ..
Lakini mbona NBS haiwapi credit za juu[emoji116]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hyo kiteto na gairo ni mkoa wa dodoma aisee nilikuwa sijui ..
Lakini mbona NBS haiwapi credit za juu[emoji116]View attachment 2560654

Sent using Jamii Forums mobile app
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€huyu ndio anajiita msomi graduate wa IRDP....wapi nimesema Kiteto na Gairo ni mkoa wa Dodoma au hujui kusoma "maeneo yanayopakana na wilaya ....." unawaaibisha graduate wenzako wa IRDP ndiomana nilikushauri ukabishane facebook humu hupawezi ni hoja na facts tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wapi nimejiita msomi ....wew unaporefer production area ya mkoa mwingine ije itetee mkoa wako ..umejitathimini brain capacity yako kweli....
We tukienda Kwa hoja na facts hufiki safari ya Nyerere square to sabasaba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kwanini uzungumzie mipakni bhana
 
Huyu amnazo kaka
 
Hawezi kukuelewa masikini Hawa wanatamba na miradi ya serikali.
Hiyo miradi ni ya serikali ipi...πŸ˜€πŸ˜€ ya nchi gani...πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Burundi au Rwanda 🀣🀣🀣🀣
 
Hospitali ya milembe haikujengwa Bure dodoma, kulikuwa na sababu na hapa tunajionea sababu zenyeweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Inaitwa Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Akili Mirembe...hadhi(status) yake ni Hospitali ya Taifa kama ilivyo MuhimbiliπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Inaitwa Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Akili Mirembe...hadhi(status) yake ni Hospitali ya Taifa kama ilivyo MuhimbiliπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Ilijengwa hapo kulingana na uhitaji wa mkoa huo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ilijengwa hapo kulingana na uhitaji wa mkoa huo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mirembe National Mental Health Hospital (MNMH)
Status-Hospitali ya Taifa
sio hospitali ya mkoa,sio hospitali ya rufaa,sio hospitali ya kanda bali ni Hospitali ya Taifa ...elewa hiyo status ndiyo the highest of allπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
I know everything about it. Kwanini iwe dodoma???. Just imaging kibong'oto ni hospitali ya Taifa ya magonjwa yanayoambukizwa kwanini ilijengwa SIHA?. sababu ni kwamba watu wengi sana mererani walikuwa wanagundulika kuwa na kifua kikuu na wengine walikufa sana kwasababu ya SILICOSIS, hivyo ililazimika kujengwa eneo Hilo karibu na watejaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…