Doma desert mwajua kujifariji....barabara ipi ndani ya Dodoma CBD isiyo na lami....[emoji3][emoji3][emoji3]Dodoma ukwame wapi kila kona lami usijaribu kamwe kulinganisha mtandao mpana wa barabara za lami Dom na vichochoro vya vumbi Mwanza ambavyo havijapangiliwa mipango miji[emoji3][emoji3]
😀😀hapo kwenye miti ndio unachekesha sana .Dodoma ndio Jiji pekee Afrika Mashariki lililopandwa miti mingi kandokando ya barabara.CDA walifanya kazi uliyotukuka kupanda miti kupendezesha Jiji la Dodoma .Tembelea baadhi ya barabara kama Morogoro road,Veta road,Nkuhungu four ways,Udom road n.k. uone miti maji ambayo inapatikana jijini Dodoma pekee.Bila kusahau bustani za miti za kisasa za Chinangali Park pamoja na ile pembeni mwa Jakaya Kikwete Convention CentreDoma desert mwajua kujifariji....
Ukiniletea mitaa yenye miti safi kama hii nitumie namba yako ya tigo pesa Kuna bonus [emoji116]View attachment 2684762View attachment 2684763
Acha uongo...mi nipo dodoma miyuji proper. .hyo miti Iko wap[emoji3][emoji3]hapo kwenye miti ndio unachekesha sana .Dodoma ndio Jiji pekee Afrika Mashariki lililopandwa miti mingi kandokando ya barabara.CDA walifanya kazi uliyotukuka kupanda miti kupendezesha Jiji la Dodoma .Tembelea baadhi ya barabara kama Morogoro road,Veta road,Nkuhungu four ways,Udom road n.k. uone miti maji ambayo inapatikana jijini Dodoma pekee.Bila kusahau bustani za miti za kisasa za Chinangali Park pamoja na ile pembeni mwa Jakaya Kikwete Convention Centre
😀😀Upo Miyuji barabara ya kwenda Msalato kuanzia Airport pale hiyo miti huionagi pembezoni mwa barabaraAcha uongo...mi nipo dodoma miyuji proper. .hyo miti Iko wap
Umekimbia njaa kwenu umekuja Dom 🤣🤣Acha uongo...mi nipo dodoma miyuji proper. .hyo miti Iko wap
Sasa hapo Kuna nini hasa Cha maana?dodoma haitokuja kuifikia mwanza ata siku mojaView attachment 2685779
Huoni Jiji zuri jinsi linavo takiwa kuwa sio kama Hilo jangwaSasa hapo Kuna nini hasa Cha maana?
Usiseme hivyo mkuu yanayoendelea dodoma yanashangazadodoma haitokuja kuifikia mwanza ata siku mojaView attachment 2685779
Yanakushangaza weye auUsiseme hivyo mkuu yanayoendelea dodoma yanashangaza
Dodoma ni jangwa haswaa but have you heard of Las vegas kule state, wanasema ndio mji wa marahaha duniani japo ni desertHuoni Jiji zuri jinsi linavo takiwa kuwa sio kama Hilo jangwa
Kipi icho kinacho shangaza zaidi ya ukameUsiseme hivyo mkuu yanayoendelea dodoma yanashangaza
Tuoneshe Mwanza University kwanza 🤣🤣Endeleeni kujengewa ofisi mtumba
Sisi tunazidi kuongeza GDP [emoji116]View attachment 2686100View attachment 2686101
Fire 🔥🔥🔥 moto moto wa Dom sio wa Nchi hiiOmba omba wamepata pa kuzungumzia.
Mijengo ka hi Arusha ipo kitambo..Dodoma hata katika miji ya maghorofa mengi haipo lakin inavotamba sasaFire [emoji91][emoji91][emoji91] moto moto wa Dom sio wa Nchi hii View attachment 2686337View attachment 2686338View attachment 2686339
Iko wapi? Onyesha mmja tuuMijengo ka hi Arusha ipo kitambo..Dodoma hata katika miji ya maghorofa mengi haipo lakin inavotamba sasa