Acha kufananisha Mwanza na vitu ajabu.Wamekuja wengi kama wewe wameishia kuondoka kwa adabu mikono nyuma huku wameinamisha vichwa kwa aibu baada ya kugundua mwanza yao imenyewa ile mbaya na Dodoma
Tuma nikutumie weka na picha naweka picha.Orodhesha yote ukimaliza niambie,nakupa mtaa mmja tuu wa apartment una clear hiyo ragage
Nakuongezea na TMDA buzuruga.Orodhesha yote ukimaliza niambie,nakupa mtaa mmja tuu wa apartment una clear hiyo ragage
Wengine tunapenda zaidi mandhari, Dubai Ina jengo refu zaidi duniani lakini sio kwamba wenyewe ndo mji mzuri zaidi dunianiOrodhesha yote ukimaliza niambie,nakupa mtaa mmja tuu wa apartment una clear hiyo ragage
Dodoma kinachombeba ni serekali tofauti na hapo ni Chaka bovu, Moshi ni colonial town ambao imekua ikiadhibiwa na ccm kwa kuchagua wapinzania, hata kihistoria huwezi iweka dodoma na MoshiWe nae umeanza kulala wakati unacomment yaani sababu ya kukishambulia kiwanja chenye vigezo vyote vya miundombinu muhimu, vifaa vya usalama na uzio, terminal ndogo na run way ndefu kuliko hata kile cha Mwanza ni nini hasa au unafikiri ukubwa wa kiwanja ni eneo la nyasi? Pale tunachoangalia ni eneo la kuwezesha ndege kutua nakupaki ambavyo vyote vipo na ni lami na zege safi.
Hicho kiwanja unachokisifu cha moshi nje ya vichaka kina sifa zipi na matumizi yapi? Kati yake na kile cha Dodoma kipi kinavutia kimwonekano? Kipi kina matumizi mengi na kinapokea mpaka Air Tanzania kati ya hivyo viwili? Hata mji mkuu wa nchi jirani kuna viwanja viwili vya ndege kikubwa ni international na kingine kidogo cha domestic, why Dodoma isiwe navyo viwili?
Toa uchafu hapa,Dom ina round abouts zaidi ya Sita and many more are coming up.Wengine tunapenda zaidi mandhari, Dubai Ina jengo refu zaidi duniani lakini sio kwamba wenyewe ndo mji mzuri zaidi dunianiView attachment 2081547
Hakuna kitu huko unajitutumua tuu.Nakuongezea na TMDA buzuruga.
Hako ka jengo hapa kaingie mara 5.
Jengo moja ndani ya view mbalimbali, wewe unatupotezea muda tu kashindane na Wakina singida na manyara hukoooo.Hakuna kitu huko unajitutumua tuu.
Mkifika hapa mnitag,Dom ni cranes tupu ziko Angani ,mijengo inapanda.kila uchao.
View attachment 2081573
View attachment 2081574
View attachment 2081575
View attachment 2081576
View attachment 2081577
Hizo renders will never materialise,weka hapa actual progress..
Ziweke hapa tuzioneToa uchafu hapa,Dom ina round abouts zaidi ya Sita and many more are coming up.
Wapi ambako serikali haijengi miradi?Dodoma kinachombeba ni serekali tofauti na hapo ni Chaka bovu, Moshi ni colonial town ambao imekua ikiadhibiwa na ccm kwa kuchagua wapinzania, hata kihistoria huwezi iweka dodoma na Moshi
Kwa Sasa hivi dodoma imeipita Moshi mbali kwa sababu ya serekali na sio kitu kingine
Umeishiwa picha mbona unarudia rudia hizo hizo.Hizo renders will never materialise,weka hapa actual progress..
Dom at her best 👇
View attachment 2081587
View attachment 2081588
View attachment 2081589
View attachment 2081590
View attachment 2081591
View attachment 2081592
View attachment 2081593
View attachment 2081594
Unaongea mafyongo hapa huku umekwepa hoja ya kuleta walahu list ya majengo 5 above 10 flows toka MwanzaUkitoa majengo ya serikali na ofisi za kiserikali, ni nini tofauti kati ya Dodoma na singida?
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe si ulisema wakuletee rendersHizo renders will never materialise,weka hapa actual progress..
Dom at her best [emoji116]
View attachment 2081587
View attachment 2081588
View attachment 2081589
View attachment 2081590
View attachment 2081591
View attachment 2081592
View attachment 2081593
View attachment 2081594
Mbona unarudia jengo la udom tuHizo renders will never materialise,weka hapa actual progress..
Dom at her best [emoji116]
View attachment 2081587
View attachment 2081588
View attachment 2081589
View attachment 2081590
View attachment 2081591
View attachment 2081592
View attachment 2081593
View attachment 2081594
Siwezi ziweka zote kwa picha ila kama unafahamu Dom ntakutajia kwa majina.Ziweke hapa tuzione