Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Wamekuja wengi kama wewe wameishia kuondoka kwa adabu mikono nyuma huku wameinamisha vichwa kwa aibu baada ya kugundua mwanza yao imenyewa ile mbaya na Dodoma
Acha kufananisha Mwanza na vitu ajabu.
 
Orodhesha yote ukimaliza niambie,nakupa mtaa mmja tuu wa apartment una clear hiyo ragage
Wengine tunapenda zaidi mandhari, Dubai Ina jengo refu zaidi duniani lakini sio kwamba wenyewe ndo mji mzuri zaidi duniani
Screenshot_20220114-211653.jpg
 
We nae umeanza kulala wakati unacomment yaani sababu ya kukishambulia kiwanja chenye vigezo vyote vya miundombinu muhimu, vifaa vya usalama na uzio, terminal ndogo na run way ndefu kuliko hata kile cha Mwanza ni nini hasa au unafikiri ukubwa wa kiwanja ni eneo la nyasi? Pale tunachoangalia ni eneo la kuwezesha ndege kutua nakupaki ambavyo vyote vipo na ni lami na zege safi.

Hicho kiwanja unachokisifu cha moshi nje ya vichaka kina sifa zipi na matumizi yapi? Kati yake na kile cha Dodoma kipi kinavutia kimwonekano? Kipi kina matumizi mengi na kinapokea mpaka Air Tanzania kati ya hivyo viwili? Hata mji mkuu wa nchi jirani kuna viwanja viwili vya ndege kikubwa ni international na kingine kidogo cha domestic, why Dodoma isiwe navyo viwili?
Dodoma kinachombeba ni serekali tofauti na hapo ni Chaka bovu, Moshi ni colonial town ambao imekua ikiadhibiwa na ccm kwa kuchagua wapinzania, hata kihistoria huwezi iweka dodoma na Moshi

Kwa Sasa hivi dodoma imeipita Moshi mbali kwa sababu ya serekali na sio kitu kingine
 
Dodoma kinachombeba ni serekali tofauti na hapo ni Chaka bovu, Moshi ni colonial town ambao imekua ikiadhibiwa na ccm kwa kuchagua wapinzania, hata kihistoria huwezi iweka dodoma na Moshi

Kwa Sasa hivi dodoma imeipita Moshi mbali kwa sababu ya serekali na sio kitu kingine
Wapi ambako serikali haijengi miradi?

Na wewe wa Moshi usichafue Uzi tafuta manyoni ndio mshindane na Moshi.
 
Ukitoa majengo ya serikali na ofisi za kiserikali, ni nini tofauti kati ya Dodoma na singida?
Unaongea mafyongo hapa huku umekwepa hoja ya kuleta walahu list ya majengo 5 above 10 flows toka Mwanza
 
Back
Top Bottom