Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Mji wa Mwanza ulianza kujengwa na Wajerumani mwaka 1892 wakati Dodoma ilianza kujengwa kidogo kuanzia miaka ya 1916 wakati Wajerumani wanasimamia ujenzi wa reli ya kati.

Dodoma imepangwa vizuri na ujenzi wake unafuata taratibu kwa kiasi fulani kasoro maji ya kuogelea hamna kwa wale waliozoea hivyo

Mwanza majengo yake mengi ni ya kijerumani na mengine ramani zake zimepitwa na wakati labda jengo la NSSF Capri Point ijapokuwa na lenyewe mahali lilipo na nafasi haisadifu manjonjo ya ubunifu wake.

Mlima Bugando nkali nyumba zote za wananchi wa kawaida zilitakiwa zifidiwe na serikali kisha eneo hilo lipimwe na miundo mbinu ya barabara iwekwe sawa kisha ujenzi uruhusiwe pangependeza zaidi na ingekuwa ni mojawapo ya eneo la kufanya utalii baada ya kisiwa cha saa nane ijapokuwa na chenyewe ladha yake imeisha kutokana na ukiritimba wa malipo ya kutembelea huko.

Mwanza wakifaulu kuweka fyl over bridge kati ya Bugando na Mabatini basi watalifikia jiji la Wuzberg la Ujerumani
 
Mwanza ni Jiji la hovyo na limejaa slums na umaskini
 
Yamekua haya leo? πŸ˜…πŸ˜…
Dodoma imeikalisha Mwanza kwenye Private investments Kwa mara nyingine mwezi August πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Zaidi ya Bilioni 100 zinaenda kumwagwa na pia nawakumbusha kwamba hakuna mwezi umepita kuanzia January Hadi August bila commitment ya private investments
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…