ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwa nini na Kwa lipi hasa?Miaka michache ijayo Moro itaipiku dodoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini na Kwa lipi hasa?Miaka michache ijayo Moro itaipiku dodoma
Ni jengo la Kitega uchumi Sasa Dom Kuna biashara gani za kupanga jengo kubwa kama Lile?Kwanini ilo jengo la TRA wanalotaka kujenga huko mbanano city kwanini lisiwekwe Dodoma, hii nchi imejaa majuha, tunataka ilo li scrapper la TRA liwekwe makao makuu ya nchi tumechoka kubabanishwa huko Dar....hii nchi ngumu sana.
Na sisi Dodoma kama makao makuu ya nchi tunaitaji hiyo migudulia sio Dar peke yake, hayo machupa matatu yanatosha hapo posta.Ni jengo la Kitega uchumi Sasa Dom Kuna biashara gani za kupanga jengo kubwa kama Lile?
Majengo sio mapamboNa sisi Dodoma kama makao makuu ya nchi tunaitaji hiyo migudulia sio Dar peke yake, hayo machupa matatu yanatosha hapo posta.
📌📌🔨Hiyo mitungi mitatu mbona ipo empty kama sio mapambo ni nini? ili upendezeshe mji lazima huwe na white elephant projects mfano iyo mitungi mitatu ya posta ni white elephants 😂😂, nasi wana Dodoma tunataka ilo jengo la TRA ghorofa 40 kwenye mji mkuu sio kila kitu kizuri ni Dar tu hii centralization itaisha lini????
📌📌🔨Bado hujasema Hadi useme,Hapo ni congo, Dodoma hakuna uoto wa kijani😂😂😂😂
Kitombile Kwa nini jengo jipya? Kwani Lile la kwanza Lina shida gani Hadi liachwe?
View: https://www.instagram.com/p/C0yThY5tKMc/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Kitombile Kwa nini jengo jipya? Kwani Lile la kwanza Lina shida gani Hadi liachwe?
View: https://www.instagram.com/p/C0yThY5tKMc/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Jibu swali langu
Jengo la zamani halina viwango vinavyostahili halina partition, lipo kama jumba la sinema, halina vitu vya msingi zaidi ya hall la kukalia watu kama wapo kwenye kikao.Jibu swali langu
😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆Jengo la zamani halina viwango vinavyostahili halina partition, lipo kama jumba la sinema, halina vitu vya msingi zaidi ya hall la kukalia watu kama wapo kwenye kikao.
Kitombile Kwa nini jengo jipya? Kwani Lile la kwanza Lina shida gani Hadi liachwe?
View: https://www.instagram.com/p/C0yThY5tKMc/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
😂😂😂😂 acha kumuingiza mwendazake kwenye jengo lilijengwa na wahuni.😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆
Bila shaka Hilo Jenga Ali design yule baba yenu Injinia Mwendazake