Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Dom kama Dar tuu,Standi kibao za daladala Zinaenda kujengwa about 4.

Dom itakuwa na Stand Kuu 1 na Standi za daladala 4.

Mwanza Standi Kuu 2 mbali 😆😆
View attachment 2877281
IMG-20240120-WA0016.jpg
 
😀😀😀matusi ni dalili dhahiri ya kushindwa hoja
Huoni anavyojimwambafai yeye kama nani kwa mfano. Kwamba ingekuwa taarifa za uhakikia angekuwa keshazipost. Yeye ni nani mbwa tu yule, hivi unajua kwao ni njombe anafanya tu kujipendekeza.
 
Huoni anavyojimwambafai yeye kama nani kwa mfano. Kwamba ingekuwa taarifa za uhakikia angekuwa keshazipost. Yeye ni nani mbwa tu yule, hivi unajua kwao ni njombe anafanya tu kujipendekeza.
📌📌🔨 Huna hoja wewe mvuvi
 
Namna hii ndo maana tunaamuaga kuwa kimya, unaleta maneno maneno mengi yasiyo na faida. Maneno ya maagizo kama haya yapo kila sehemu, jaribu kuchuja baadhi ya vitu basi ndiyo maana watu wanakuona hamnazo.
Ndio kwanza ni asubuhi umeanza kuweweseka.

Dom kamatia hapo hapo
1048342234.jpg
-1305056751.jpg
-326423975.jpg
2142669168.jpg
 
Back
Top Bottom