Dom kama Dar tuu,Standi kibao za daladala Zinaenda kujengwa about 4.
Dom itakuwa na Stand Kuu 1 na Standi za daladala 4.
Mwanza Standi Kuu 2 mbali 😆😆
View attachment 2877281
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dom kama Dar tuu,Standi kibao za daladala Zinaenda kujengwa about 4.
Dom itakuwa na Stand Kuu 1 na Standi za daladala 4.
Mwanza Standi Kuu 2 mbali 😆😆
View attachment 2877281
Nazungumzia stand za daladala unaleta kasoko kamoja.
View: https://www.instagram.com/p/C2SMigwtThM/?igsh=Zmk2MmFtOW50cnU2
Unataka tuishi namna hii?. Haya twende kazi we zigo la kibena.
Unarudia tuu hakuna jipya hapo ,kwanza hizo taarifa wewe ndio unaziona saizi wakati Mimi nilishaziweka humu Jukwaani siku nyingi tuu.
Huoni anavyojimwambafai yeye kama nani kwa mfano. Kwamba ingekuwa taarifa za uhakikia angekuwa keshazipost. Yeye ni nani mbwa tu yule, hivi unajua kwao ni njombe anafanya tu kujipendekeza.😀😀😀matusi ni dalili dhahiri ya kushindwa hoja
📌📌🔨 Huna hoja wewe mvuviHuoni anavyojimwambafai yeye kama nani kwa mfano. Kwamba ingekuwa taarifa za uhakikia angekuwa keshazipost. Yeye ni nani mbwa tu yule, hivi unajua kwao ni njombe anafanya tu kujipendekeza.
Moto wa Dom Hadi umepanic 🤣🤣
Bado hujasema 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C2Vf6_wtcnB/?igsh=MW9naHZ6NW9udTJuNg==
We boya chokoraa wa Dom na shoga wa chuga si urudi kwenu ubenani.📌📌🔨 Huna hoja wewe mvuvi
Bado hujasemaWe boya chokoraa wa Dom na shoga wa chuga si urudi kwenu ubenani.
Ndio kwanza ni asubuhi umeanza kuweweseka.Namna hii ndo maana tunaamuaga kuwa kimya, unaleta maneno maneno mengi yasiyo na faida. Maneno ya maagizo kama haya yapo kila sehemu, jaribu kuchuja baadhi ya vitu basi ndiyo maana watu wanakuona hamnazo.