Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?


Tuishi humu humu tuone unatokaje mbwa wewe πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€matusi ni dalili dhahiri ya kushindwa hoja
Huoni anavyojimwambafai yeye kama nani kwa mfano. Kwamba ingekuwa taarifa za uhakikia angekuwa keshazipost. Yeye ni nani mbwa tu yule, hivi unajua kwao ni njombe anafanya tu kujipendekeza.
 
Huoni anavyojimwambafai yeye kama nani kwa mfano. Kwamba ingekuwa taarifa za uhakikia angekuwa keshazipost. Yeye ni nani mbwa tu yule, hivi unajua kwao ni njombe anafanya tu kujipendekeza.
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ”¨ Huna hoja wewe mvuvi
 
Namna hii ndo maana tunaamuaga kuwa kimya, unaleta maneno maneno mengi yasiyo na faida. Maneno ya maagizo kama haya yapo kila sehemu, jaribu kuchuja baadhi ya vitu basi ndiyo maana watu wanakuona hamnazo.
Ndio kwanza ni asubuhi umeanza kuweweseka.

Dom kamatia hapo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…