ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Vijengo vya taasisi uchwara ndio una kenua meno? π€£π€£π€£π€£View attachment 2983662View attachment 2983663makao makuu ya kituo Cha mawasiliano na uokoaji ziwa Victoria. Africa mashariki chaanza ujenzi Ilemela
Toa ushamba wako taasisi uchwara inajengwa na nchi zote za east AfricaVijengo vya taasisi uchwara ndio una kenua meno? π€£π€£π€£π€£
Kiukweli Mwanza mnatia Huduma, yaani hako ka stoo ka Samaki ndio kamekutoa maudenda hivyo? Sasa Dodoma watasemaje ikiwa Kila taasisi inajenga Majengo ya Kisasa?Toa ushamba wako taasisi uchwara inajengwa na nchi zote za east Africa
Bora hata IringaHatujamaliza
Rufiji &uhuru ...leta picha za makole ,viwandani ,au barabara zote 11 hapo CBD yenu
View attachment 2983692
Bora hata Iringa
Pana tofauti gani na Dodoma?
Hapa ndio posh area ya Mwanza.Kuna mtaa mwingine tofauti na huu?
Tumewachoka Kila siku mnarudia vipicha vile vile mnaboa
Hapo ni wapi kwanza?. Usiongee kama unapafahamu vileHapa ndio posh area ya Mwanza.Kuna mtaa mwingine tofauti na huu?
IlemelaHapo ni wapi kwanza?. Usiongee kama unapafahamu vile
Utaborkeka sana mpaka utuambie kwanini kwenu njombe hupapendiTumewachoka Kila siku mnarudia vipicha vile vile mnaboa
Kama sehemu hupajui Bora useme kuliko kujiainisha. Wenzio tunabishana huku miji tunayoiongelea tunaifahamu in and outIlemela
Mitaa kama hii iliyopangika n streets zinaonekana huwezi Kuta Mwanza is Slum π€£π€£Utaborkeka sana mpaka utuambie kwanini kwenu njombe hupapendi
Nikajua umepataja jina kumbe ni bla blaa.Acha kuokoteza picha za mitandaoni zilizotiwa rangiKama sehemu hupajui Bora useme kuliko kujiainisha. Wenzio tunabishana huku miji tunayoiongelea tunaifahamu in and out
Hapa ndio posh area ya Mwanza.Kuna mtaa mwingine tofauti na huu?
Hawawezi kupost "man made features" zaidi ya Ziwa Victoria πππTumewachoka Kila siku mnarudia vipicha vile vile mnaboa