Unaleta stori za kwenye makaratasi ππππ
Render and porojo πππ
Kwa hiyo UDOM Iko Wilaya Nyingine Nje ya Dodoma CC au? ππππKwani UDOM ipo CBD mbona unajitoa ufahamu
Kama h
uij
We fala mbona kama una stress? πππKama h
uij
Kama kawaida wizara projects..We fala mbona kama una stress? πππ
Kula chuma hiyo kutoka Kikombo Dom City π₯π₯ππ
View: https://twitter.com/WizaraMNN/status/1789899797412843872?t=O8K5NXfaWZGm03K7M-uzJw&s=19
Kihoteli gani hicho kimesongamana kama Gulio? ππ
πππMkuu unatumia nguvu kubishana na mtu ambaye hajawahi kufika Dom ndiomana anategemea picha za googleππ. Kutoka City Center hadi UDOM ni mwendo wa dakika 10 tu kwa private car.Kutoka City Centre mpaka Ring Road iliyozunguka UDOM ni umbali wa dakika 20 tu kwa private carKwa hiyo UDOM Iko Wilaya Nyingine Nje ya Dodoma CC au? ππππ
πππsubiri waje kukwambia eti Dom hakuna maghorofa ,hakuna greenish alafu utawasikia tena Mwanza haijengwi na Serikali inajengwa na private sectorππUkiwauliza hiyo private sector imejenga mtaa gani uliopangiliwa kama Dom wanakimbia au ukiwaambia wakutajie private real estate company kubwa apo Mwanza wanaishia kupost picha za madalali tuπππWe fala mbona kama una stress? πππ
Kula chuma hiyo kutoka Kikombo Dom City π₯π₯ππ
View: https://twitter.com/WizaraMNN/status/1789899797412843872?t=O8K5NXfaWZGm03K7M-uzJw&s=19
Unajivunia kota za polisi ππππππsubiri waje kukwambia eti Dom hakuna maghorofa ,hakuna greenish alafu utawasikia tena Mwanza haijengwi na Serikali inajengwa na private sectorππUkiwauliza hiyo private sector imejenga mtaa gani uliopangiliwa kama Dom wanakimbia au ukiwaambia wakutajie private real estate company kubwa apo Mwanza wanaishia kupost picha za madalali tuπππ
Hotel za kitalii zenye cultural aesthetic huwezi zielewa......Baki na malodge yakoKihoteli gani hicho kimesongamana kama Gulio? ππ
ππππ Weka hotel acha porojo za vipabu vya pombeHotel za kitalii zenye cultural aesthetic huwezi zielewa......Baki na malodge yako
Zikiwepo Mwanza mnajivunia,zikiwepo Dodoma ni nongwa ππππUnajivunia kota za polisi πππ
Hivi Kwa nini Mwanza hakunaga mitaa mikali ka hii ya Dom hapa π
Dodoma ni kukame ππππππ
View: https://www.instagram.com/p/C68yfFtKRyB/?igsh=bXhvNzRxc3hmaHho
Hivi Kwa nini Mwanza hakunaga mitaa mikali ka hii ya Dom hapa π
View attachment 2990498
ππsubiri waje kukwambia Dodoma ni kukame,hakuna malisho,hakuna mvua,mifugo haina afya,hakuna greenishπππ.