Dpresident tz
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 300
- 350
Wanadodoma pambane kujenga mji wenu,mji haujengwi na serikali wala maneno.Nakupambana na Mwanza hakutawasahidia kitu,Mwanza ina natural growth ilikuja Tanga ikaicha,ikaja Arusha ikapita,inakuja Dodoma kwa kelele za midomo nayo inapita.Ukweli ni kwamba Mwanza ina ecomic diversitifaction kubwa kwahiyo sio shughuli ndogo.Dodoma kwanza tafuteni economic specification ndo mtatoka lasivyo mtaendelea kuwa ombaomba nje ya bunge na majengo ya serikali pia mtaendelea kuzidiwa kiuchumi na vimikoa kama shinyanga,iringa na morogoro.Inawauma sana wazee wa ziwani mpaka wanalia kimyakimya wakiona Dodoma inavyozidi watimulia vumbi
Hayo ni maneno ya kijinga na ya kujifariji.Wanadodoma pambane kujenga mji wenu,mji haujengwi na serikali wala maneno.Nakupambana na Mwanza hakutawasahidia kitu,Mwanza ina natural growth ilikuja Tanga ikaicha,ikaja Arusha ikapita,inakuja Dodoma kwa kelele za midomo nayo inapita.Ukweli ni kwamba Mwanza ina ecomic diversitifaction kubwa kwahiyo sio shughuli ndogo.Dodoma kwanza tafuteni economic specification ndo mtatoka lasivyo mtaendelea kuwa ombaomba nje ya bunge na majengo ya serikali pia mtaendelea kuzidiwa kiuchumi na vimikoa kama shinyanga,iringa na morogoro.
Hii ndio tofauti ya miji inayojengwa na serikali na miji yenye baraka za kiasili isiyotegemea fadhila za serikali, na daima msema ukweli huwa ni GDP. Waiombe na serikali iwajengee na nyumba bure ili kupunguza umaskini.Wanadodoma pambane kujenga mji wenu,mji haujengwi na serikali wala maneno.Nakupambana na Mwanza hakutawasahidia kitu,Mwanza ina natural growth ilikuja Tanga ikaicha,ikaja Arusha ikapita,inakuja Dodoma kwa kelele za midomo nayo inapita.Ukweli ni kwamba Mwanza ina ecomic diversitifaction kubwa kwahiyo sio shughuli ndogo.Dodoma kwanza tafuteni economic specification ndo mtatoka lasivyo mtaendelea kuwa ombaomba nje ya bunge na majengo ya serikali pia mtaendelea kuzidiwa kiuchumi na vimikoa kama shinyanga,iringa na morogoro.
Punguza mihemko za kijinga, Subiri GDP na census hiyo dodoma size yake ni kigomaHayo ni maneno ya kijinga na ya kujifariji.
Hakuna Mji bila intervention za serikali, miundombinu huko kwenu mnajenga wenyewe?
Serikali ndio inawafungulia watu biashara hapo Dodoma? Serikali inagawa pesa? Serikali inajenga watu nyumba?
Ni wajibu wa serikali wa serikali kuweka mazingira rafiki kwa biashara na huduma kama miundombinu ya uchumi na ya kijamii na ndicho serikali inafanya.
Afu watu hata hawaelewi,sensa ya 2012 Dodoma ilikuwa namba 3 kwa wingi wa watu juu ya Mbeya hapo kabla ya kuingiza Mwendazake sasa sijui hapo napo ni serikali ilikuwa inajenga.
Wivu ndio unawasumbua watu wa Mwanza,ni hivi baada ya Dar ni Dodoma hakuna takataka nyingina hapo bado miundombinu haijayengamaa.
GDP ya sensa ndio itakuja na jipya gani zaidi ya kinachotolewa na BoT na NBS?Punguza mihemko za kijinga, Subiri GDP na census hiyo dodoma size yake ni kigoma
Hivi kweli una akili?GDP ya sensa ndio itakuja na jipya gani zaidi ya kinachotolewa na BoT na NBS?
Tofauti itakuwa ni idadi ya watu ambayo itakuwa favourable kwa Dom kuliko Mwanza.
🚮🚮🚮Hivi kweli una akili?
Mwanza inazidi kubadilika
Aaaahh mumesema serikali haitakiwi kuwekeza kwamba una natural growth,sasa tumieni hiyo hiyo natural Ili iwe habari nyingine.Mwanza inazidi kubadilika
Serikali ikiamua kuweka nguvu huu mkoa utakuwa babari nyingine maana ni Hub ya kanda ya ziwa
Vionyeshe naona unabwata tuu na slums town yako.Ukweli mchungu ni kwamba baada ya Dar ni Dodoma.
Nionyeshe hata kimoja kinachofanana hivi 👇
View attachment 2119540
View attachment 2119541
View attachment 2119542
View attachment 2119543
View attachment 2119544
Aaaaahhh!! NYie mumesema hamuihitaji serikali 🤣🤣🤣 ,universities za nini tena?Dodoma haijawahi kuwa na potential ya kukua naturally ukilinganisha na mikoa kama mwanza inayokua yenyewe.
Uzuri wa Dodoma ni ya middle income class, inapangiliwa vizuri na itaendelea kuwa hivyo, na ninatarajia kama ongezeko la watu litakuwa consistence hasa wafanyakazi bhasi vitu kama malls, Conferences na luxurious stuffs zitamiminika na kuipa ile modern life style.
Kuifikia mwanza inawezekana ila itachukua muda hususani kwa sasa ambapo mwanza inakuwa slowly kulinganisha na mid 2000's. Ila Kama ikitokea serikali ikatia mkono wake mwanza kwa airport, public universities, barabara, maofisi etc HAITOWEZEKANA
Aaaahh mumesema serikali haitakiwi kuwekeza kwamba una natural growth,sasa tumieni hiyo hiyo natural Ili iwe habari nyingine.
Tuacheni sisi wa Dar,Dom na Arusha serikali itie mkono.
Na sisi wa Mbeya tunasubiria kwa hamu kubwa ujenzi wa dual carriage ya Igawa Mbeya Tunduma na matawi yake ya Uyole Mbalizi bypass,6 lanes ya Uyole Mbalizi na Iwambi bypass.
Pili tunasubiria kupata chuo Kikuu kikubwa cha tiba tawi la UDSM plus teaching hospital.
Aaaaahhh!! NYie mumesema hamuihitaji serikali 🤣🤣🤣 ,universities za nini tena?
Airport tayari mshajengewa kwani mnahitaji airport gani tena?
Kitakachokuja Dom sio hivyo ulivyotaja tuu hata viwanda pia.Hapana kilimo ila kunajengwa kiwanda kikubwa Tzn cha mbolea,hakuna dhababu ila kiwanda cha kusafisha dhahabu kinajengwa and many more 👇
View attachment 2119988
View attachment 2119989
View attachment 2119990
Dodoma 👇Mkuu naona umeingia wrong number. Sipo hapa kwa ajili ya ligi zenu, Hivyo yaani
Nikusaidie Tu Dodoma ukitoa hiyo barabara ya nje ya mji, kuna plan ya kujenga train za katikati ya mji, Msalato international airport, Bandari kavu ambapo itakuwa point ya kuchukulia mizigo pasipo kufika DSM etc.. Kiufupi Dodoma itakuwa ni modern CITY
Hiyo airport ya mwanza hadi Leo haijaisha, plan yake ipo lakini hadi Leo jengo la abiria ni kama halijaisha. Utashangaa iliwezekanaje Songwe ila mwanza ipo ignored.
Pia utakuwa ni mpuuzi kusema kwamba Mwanza ijiendeleze yenyewe wakati ni mji wa pili unaoongoza kwa GDP na hapo bado hujagusa kodi. Kingine Mwanza ipo diversified kiuchumi haitegemei kitu kimoja na bado wingi wa watu na mazingira yake wezeshi kimakazi na kibiashara, yataendelea kuvutia investments miaka na miaka endlessly
Huko sahihi ila tukumbuke mkoa hauendelezwi na middle income class au high income class.Siku zote maendeleo yanaletwa na low income class kwa sababu low income class ndo market ya production na ndo labours wa viwanda.Mfano kwanini ucjuilize baada ya Dar inafuatiwa na Mwanza kwa kuwa na viwanda vingi??hii kikwasababu haya maeneo yanamasoko na uhakika wa cheap labour.Na Dodoma wakiendelea na utaratibu huu itaendelea kuwa makao makuu tu ya serikali but no anymore kama pretoria south afrika.Dodoma haijawahi kuwa na potential ya kukua naturally ukilinganisha na mikoa kama mwanza inayokua yenyewe.
Uzuri wa Dodoma ni ya middle income class, inapangiliwa vizuri na itaendelea kuwa hivyo, na ninatarajia kama ongezeko la watu litakuwa consistence hasa wafanyakazi bhasi vitu kama malls, Conferences na luxurious stuffs zitamiminika na kuipa ile modern life style.
Kuifikia mwanza inawezekana ila itachukua muda hususani kwa sasa ambapo mwanza inakuwa slowly kulinganisha na mid 2000's. Ila Kama ikitokea serikali ikatia mkono wake mwanza kwa airport, public universities, barabara, maofisi etc HAITOWEZEKANA
🚮🚮🚮
Acha kubwatuka tu, mimi napenda facts kuliko kupiga kelele.Kwanza unatakiwa kuelewa kitu kinachoitwa theory of demand and supply.Mwanza haikuwa jiji kwasababu ni makao makuu ya nchi bali imekuwa jiji kwasababu ili kidhi vigezo tangu mwaka 2000 kipindi cha mzee mkapa na Sio mzee Kikwete,Pili miundombinu ya Mwanza haijengwi kwasababu ya kupendezesha mji au makao makuu ila inajengwa kwasababu inahitajika(demand).Mwanza viwanda havijengwi kwasababu ya kufata bunge ila vinajengwa kwasababu ya productive pulling factors.So kwahiyo usitegemee kwamba makao makuu kuwa Dodoma itakuwa pushing factor kwa maendeleo ya Mwanza hapo umefell.Kwanza nikwambie tu hiyo SGR,Madaraja,Meli kubwa,international airport na Dry port ya fela havijajengwa kwa bahati mbaya.Pia ukiona makampuni makubwa yanawekeza sehemu bila kufosiwa unatakiwa kujiongeze.Mfano,Breweries kama Tbl na serengeti,Coca cola pepsi hawa watu wapo mwanza strategicaly kwaajili ya masoko ya congo mashariki,burundi,uganda na sehemu za rwanda.Kitu kingine Congo na Sudani kusini kuingia EAC inashughulisha sana serikali ndo maana unaona SGR,daraja la kigogonna dry port Fela ili kuweza kuwa karibu na nchi za maziwa makuu.Hayo ni maneno ya kijinga na ya kujifariji.
Hakuna Mji bila intervention za serikali, miundombinu huko kwenu mnajenga wenyewe?
Serikali ndio inawafungulia watu biashara hapo Dodoma? Serikali inagawa pesa? Serikali inajenga watu nyumba?
Ni wajibu wa serikali wa serikali kuweka mazingira rafiki kwa biashara na huduma kama miundombinu ya uchumi na ya kijamii na ndicho serikali inafanya.
Afu watu hata hawaelewi,sensa ya 2012 Dodoma ilikuwa namba 3 kwa wingi wa watu juu ya Mbeya hapo kabla ya kuingiza Mwendazake sasa sijui hapo napo ni serikali ilikuwa inajenga.
Wivu ndio unawasumbua watu wa Mwanza,ni hivi baada ya Dar ni Dodoma hakuna takataka nyingina hapo bado miundombinu haijayengamaa.
Jiji la Dodoma limeshawapita Mwanza na litzidi kuweka gap kwa sabababu kilichofanya.mwanza ikavuma miaka ya JK hapo ni idadinya watu kubwa sasa hivi Dom inakaribiana kwa idadinya watu na Mwanza.Faida ya Dom ni kwamba hao watu waliopngezeka Wana purchasing power kubwa.
Sasa unadhani investors wataenda Mwanza au Dodoma? Saizi Dom inaikimbiza Mwanza bado hata airport ya kimataifa,bado serikali haijahamia mazima ,bado mataasisi mengi.
Mwisho hata hiyo Tanga unayoisemea ni kwamba upanuzi wa bandari ukimalizika na Bomba likianza kufanya Kazi itaizidi Mwanza kama zamani ni swala la muda tuu.
Mwanza kubarini size yenu ni Mbeya,Tanga na Morogoro..Dom na Arusha hamuwawezi.Mwaka ujao Arusha wanaanza kujenga interchange.
Hao wanazani kuwa jiji kubwa ni kuwa na majengo ya ofisi za serikali kila mtaa,dodoma wanapewa white elephant project wanajiona na wao washaota masharubu.Acha kubwatuka tu mimi napenda facts kuliko kupiga kelele.Kwanza unatakiwa kuelewa kitu kinachoitwa theory of demand and supply.Mwanza haikuwa jiji kwasababu ni makao makuu ya nchi bali imekuwa jiji kwasababu ili kidhi vigezo,Pili miundombinu ya Mwanza haijengwi kwasababu ya kupendezesha mji au makao makuu ila inajengwa kwasababu inahitaji(demand).Mwanza viwanda havijengwi kwasababu ya kufata bunge ila vinajengwa kwasababu ya productive pulling factors.So kwahiyo usitegemee kwamba makao makuu kuwa Dodoma itakuwa pushing factor kwa maendeleo ya Mwanza hapo umefell.Kwanza nikwambie tu hiyo SGR,Madaraja,Meli kubwa,international airport na Dry port ya fela havijajengwa kwa bahati mbaya.Pia ukiona makampuni makubwa yanawekeza sehemu bila kufosiwa unatakiwa kujiongeze.Mfano,Breweries kama Tbl na serengeti,Coca cola pepsi hawa watu wapo mwanza strategicaly kwaajili ya masoko ya congo mashariki,burundi,uganda na sehemu za rwanda.Kitu kingine Congo na Sudani kusini kuingia EAC inashughulisha sana serikali ndo maana unaona SGR,daraja la kigogonna dry port Fela ili kuweza kuwa karibu na nchi za maziwa makuu.
Wewe ni kajinga,je Dodoma ilikuwa Manispaa kwa sababu za serikali? Ukijibu hili swali utajua mengine uliyoandika ni takataka zisizo na maana.Acha kubwatuka tu, mimi napenda facts kuliko kupiga kelele.Kwanza unatakiwa kuelewa kitu kinachoitwa theory of demand and supply.Mwanza haikuwa jiji kwasababu ni makao makuu ya nchi bali imekuwa jiji kwasababu ili kidhi vigezo tangu mwaka 2000 kipindi cha mzee mkapa na Sio mzee Kikwete,Pili miundombinu ya Mwanza haijengwi kwasababu ya kupendezesha mji au makao makuu ila inajengwa kwasababu inahitajika(demand).Mwanza viwanda havijengwi kwasababu ya kufata bunge ila vinajengwa kwasababu ya productive pulling factors.So kwahiyo usitegemee kwamba makao makuu kuwa Dodoma itakuwa pushing factor kwa maendeleo ya Mwanza hapo umefell.Kwanza nikwambie tu hiyo SGR,Madaraja,Meli kubwa,international airport na Dry port ya fela havijajengwa kwa bahati mbaya.Pia ukiona makampuni makubwa yanawekeza sehemu bila kufosiwa unatakiwa kujiongeze.Mfano,Breweries kama Tbl na serengeti,Coca cola pepsi hawa watu wapo mwanza strategicaly kwaajili ya masoko ya congo mashariki,burundi,uganda na sehemu za rwanda.Kitu kingine Congo na Sudani kusini kuingia EAC inashughulisha sana serikali ndo maana unaona SGR,daraja la kigogonna dry port Fela ili kuweza kuwa karibu na nchi za maziwa makuu.