Acha kubwatuka tu, mimi napenda facts kuliko kupiga kelele.Kwanza unatakiwa kuelewa kitu kinachoitwa theory of demand and supply.Mwanza haikuwa jiji kwasababu ni makao makuu ya nchi bali imekuwa jiji kwasababu ili kidhi vigezo tangu mwaka 2000 kipindi cha mzee mkapa na Sio mzee Kikwete,Pili miundombinu ya Mwanza haijengwi kwasababu ya kupendezesha mji au makao makuu ila inajengwa kwasababu inahitajika(demand).Mwanza viwanda havijengwi kwasababu ya kufata bunge ila vinajengwa kwasababu ya productive pulling factors.So kwahiyo usitegemee kwamba makao makuu kuwa Dodoma itakuwa pushing factor kwa maendeleo ya Mwanza hapo umefell.Kwanza nikwambie tu hiyo SGR,Madaraja,Meli kubwa,international airport na Dry port ya fela havijajengwa kwa bahati mbaya.Pia ukiona makampuni makubwa yanawekeza sehemu bila kufosiwa unatakiwa kujiongeze.Mfano,Breweries kama Tbl na serengeti,Coca cola pepsi hawa watu wapo mwanza strategicaly kwaajili ya masoko ya congo mashariki,burundi,uganda na sehemu za rwanda.Kitu kingine Congo na Sudani kusini kuingia EAC inashughulisha sana serikali ndo maana unaona SGR,daraja la kigogonna dry port Fela ili kuweza kuwa karibu na nchi za maziwa makuu.