The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Excuses π€ π€ π€ π€ ,na bado mtaongea yote..Unaambiwa ulete viwanda unaleta articles mbona ni Kama we mzee akili yako haifanyi kazi vizuri! Sasa jiulize hivyo viwanda vya hizo bia vinavyotarajiwa kujengwa huko(hatujui lini) Mwanza vimekuwepo kwa muda gani.....taja viwanda acha kutapatapa, viwanda ndo maendeleo na maendeleo ni viwanda
Usilete utopolo wa kisiasa hapa nimekuambia nitajie viwanda vikubwa vitano vya dodoma ambavyo vipo active, na unitajie kwa majina.Vya kukoboa alizeti na kutengeneza wine.Nyie mnavyo?
Dom sio size yenu nyie utopolo wa Mwanza,hesabu hivyoπ
View attachment 2121403
Huyu mtu wa njombe huwa kidogo ni dk mbili mbele, wewe mzoee tu ni mtani wetu huyuππππUnaambiwa ulete viwanda unaleta articles mbona ni Kama we mzee akili yako haifanyi kazi vizuri! Sasa jiulize hivyo viwanda vya hizo bia vinavyotarajiwa kujengwa huko(hatujui lini) Mwanza vimekuwepo kwa muda gani.....taja viwanda acha kutapatapa, viwanda ndo maendeleo na maendeleo ni viwanda
Huyu aliyeanzisha huu uzi atakuwa na shida sehemu, Dar yenyewe haigusi hapo sembuse takataka ya dodoma.Excuses π€ π€ π€ π€ ,na bado mtaongea yote..
Ligi ya Dom ni Nairobi na sio hiyo takataka ya Mwanza π
View attachment 2121451
πππππππ Wivu huu sasaHuyu aliyeanzisha huu uzi atakuwa na shida sehemu, Dar yenyewe haigusi hapo sembuse takataka ya dodoma.
Wewe ni mjinga na umeaibika,ndio hivyo kuna zaidi ya viwanda 600 and it was 2018 kabla ya vya dhahabu,mbolea,nyama,juice nk.Usilete utopolo wa kisiasa hapa nimekuambia nitajie viwanda vikubwa vitano vya dodoma ambavyo vipo active, na unitajie kwa majina.
Dom linazidi kunogaHuyu mtu wa njombe huwa kidogo ni dk mbili mbele, wewe mzoee tu ni mtani wetu huyuππππ
Viwanda vya cherehani itakuwa.Wewe ni mjinga na umeaibika,ndio hivyo kuna zaidi ya viwanda 600 and it was 2018 kabla ya vya dhahabu,mbolea,nyama,juice nk.
Tafuta excuses nyingine,na bado maji mtaita mmaa
Na wewe leta vyako vya cherehani,ndio maana mnapigwa na Dom kwenye Kila sekta,na bado mtakalia hii hadi Malinda yaishe πViwanda vya cherehani itakuwa.
Acha matusi leta facts usilazimishe kushindanisha Mwanza na Dodoma, ata siku moja, Dodoma ukitoa ofisi za serikali na bunge haina tofauti na Manyoni.Na wewe leta vyako vya cherehani,ndio maana mnapigwa na Dom kwenye Kila sekta,na bado mtakalia hii hadi Malinda yaishe π
View attachment 2122768
Hiyo ni seng'enge.sio matusi,kwani hujui?Acha matusi leta facts usilazimishe kushindanisha Mwanza na Dodoma, ata siku moja, Dodoma ukitoa ofisi za serikali na bunge haina tofauti na Manyoni.
Vp kama ukiikalia hiyo seng'engeHiyo ni seng'enge.sio matusi,kwani hujui?
Hako kamji zaidi ya hapo CBD huko kwingine ni slums tupu
Dodoma badoUjenzi unaendelea Dodoma
ππππ Unataka tuchimbe Ziwa au?
Disorganized fishing town hiyo ndio unatupigia kelele hapa? ππYou have no idea how mwanza beautiful isView attachment 2128801