The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Excuses 🤠🤠🤠🤠,na bado mtaongea yote..Unaambiwa ulete viwanda unaleta articles mbona ni Kama we mzee akili yako haifanyi kazi vizuri! Sasa jiulize hivyo viwanda vya hizo bia vinavyotarajiwa kujengwa huko(hatujui lini) Mwanza vimekuwepo kwa muda gani.....taja viwanda acha kutapatapa, viwanda ndo maendeleo na maendeleo ni viwanda
Ligi ya Dom ni Nairobi na sio hiyo takataka ya Mwanza 👇