intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 705
- 1,123
ondoa uombaomba wako wa Tasaf mji mpk usaidiwe yan hata usaidiwe miaka mia hamuwez ishinda Mwanza labda mpaka ombaomba wote wa Dodoma warud home kwaoKwa hiyo toka 2017 Dom ilipowagaragaza rasmi inauza mapori.kila.siku sio?
Kwa hiyo uswazi huo utakusaidia zaidi ya uchafu na mafuriko? Yaani unapenda kuishi dampo? Kwenye wewe ni taahira na mshamba..
Ndio maana Jiji lenu ni la hovyo na linaaibisha Tzn kuitwa Jiji la 2..
Tzn inawakilishwa na Dar,Dom na Arusha sio hilo.dampo.lenu.
Kwa hyo hizo takwimu ndo zinasema utajiri na hizi zisemeje[emoji116]Wewe ni mbwa tuu siku zote [emoji116]
Unamjua huyo Fala mkuu!! Muache haya avute pumzi mbili tatu ashushe vumbi la dom, ila kiukweli dodoma Hakuna jiji pale, labda jiji la ccmDodoma Ina safari sana kufika ....tunajua Uzi mshakimbia ,,subirini vipicha vya mji wa serikali ndo viwarudishe humu ila mtabak chungulia hvyo tu ..ligi hii ngumu[emoji116]View attachment 2348116View attachment 2348118
Toa upuuzi na Hostels za mawizaraYaani tuvioo tumekuchanganya tayari umetoka kwenye reli 😁😁
Dodoma Capital City in the Making,9 floors 👇
Unatuumiza macho na mapicha yako ya watu watu wakitembea pembeni ya vifusi vya mchanga na mawe, na mapicha ya barua ndeeefu! Chutama tu mkuu, mbona sisi wa chugga tume kubali ku bow down kwa Rock City? We una shindwa nini kuku Ali tu kuwa dodoma ina safari ya miaka kama 3000 nyuma ya Mwanza? Grow up manDom itafanya mjikojolee mchana bure[emoji116]
Pale ilemela tunajenga soko lingine kubwa kuliko la ndugai yy aendelee kusaidiwa kama tasafUnamjua huyo Fala mkuu!! Muache haya avute pumzi mbili tatu ashushe vumbi la dom, ila kiukweli dodoma Hakuna jiji pale, labda jiji la ccm
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
af kinachonishangazaga Dodoma utakuta serikali wamewajengea jengo kwa msaada wa Tasaf ukiangalia maeneo mengine ni mapori watu hawajengiUnatuumiza macho na mapicha yako ya watu watu wakitembea pembeni ya vifusi vya mchanga na mawe, na mapicha ya barua ndeeefu! Chutama tu mkuu, mbona sisi wa chugga tume kubali ku bow down kwa Rock City? We una shindwa nini kuku Ali tu kuwa dodoma ina safari ya miaka kama 3000 nyuma ya Mwanza? Grow up man
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]acceptance mkuuUnatuumiza macho na mapicha yako ya watu watu wakitembea pembeni ya vifusi vya mchanga na mawe, na mapicha ya barua ndeeefu! Chutama tu mkuu, mbona sisi wa chugga tume kubali ku bow down kwa Rock City? We una shindwa nini kuku Ali tu kuwa dodoma ina safari ya miaka kama 3000 nyuma ya Mwanza? Grow up man
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wajiandae kufugia kuku pia coz hakuna atakae ishi humuMisaada ya kujengewa majengo ikiisha mnaishije😄😄😄
Hivi mbona ni vichaka mkuu?Hutu tupicha 3 twa kutafutiza mitaani Ndio tunakuzuzua au? [emoji16][emoji16]
Unaweza pata mandhari kama Haya hapo Mwanza ? [emoji116]
Na hapo si ni Arusha? Picha imepigwa kwa drone eneo flani arusha, soma chini hapoHutu tupicha 3 twa kutafutiza mitaani Ndio tunakuzuzua au? [emoji16][emoji16]
Unaweza pata mandhari kama Haya hapo Mwanza ? [emoji116]
Kaishiwa brother wenuNa hapo si ni Arusha? Picha imepigwa kwa drone eneo flani arusha, soma chini hapo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
A1 Hotel ipo arusha nyuma kidogo kabla ya arusha airport, (kilimo anga) picha zote ulizoweka hapa ni za eneo hilo, wenyeji wanapaita Ndorobo, Acha janjajanja mzeeHutu tupicha 3 twa kutafutiza mitaani Ndio tunakuzuzua au? [emoji16][emoji16]
Unaweza pata mandhari kama Haya hapo Mwanza ? [emoji116]
Huyu jamaa ni kichaa aisee! Leo nimethibitisha!Unalipia matangazo lakini?
Mnajifariji Sana..Itakuwa hivi 👇Wajiandae kufugia kuku pia coz hakuna atakae ishi humu
Mwanza ina viwanda vingi sana toka miaka ya 1980s sasa ww kupewa huo msaada unaona umepewa kila kituMnajifariji Sana..Itakuwa hivi 👇
Mamilima hayo yamejaa huko Mwanza na majiwe,nani aje kujenga Viwanda vya maana huko?Mwanza ina viwanda vingi sana toka miaka ya 1980s sasa ww kupewa huo msaada unaona umepewa kila kitu