intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 705
- 1,123
Toa
ondoa uombaomba wako wa Tasaf mji mpk usaidiwe yan hata usaidiwe miaka mia hamuwez ishinda Mwanza labda mpaka ombaomba wote wa Dodoma warud home kwaoKwa hiyo toka 2017 Dom ilipowagaragaza rasmi inauza mapori.kila.siku sio?
Kwa hiyo uswazi huo utakusaidia zaidi ya uchafu na mafuriko? Yaani unapenda kuishi dampo? Kwenye wewe ni taahira na mshamba..
Ndio maana Jiji lenu ni la hovyo na linaaibisha Tzn kuitwa Jiji la 2..
Tzn inawakilishwa na Dar,Dom na Arusha sio hilo.dampo.lenu.