Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Toa
Kwa hiyo toka 2017 Dom ilipowagaragaza rasmi inauza mapori.kila.siku sio?

Kwa hiyo uswazi huo utakusaidia zaidi ya uchafu na mafuriko? Yaani unapenda kuishi dampo? Kwenye wewe ni taahira na mshamba..

Ndio maana Jiji lenu ni la hovyo na linaaibisha Tzn kuitwa Jiji la 2..

Tzn inawakilishwa na Dar,Dom na Arusha sio hilo.dampo.lenu.
ondoa uombaomba wako wa Tasaf mji mpk usaidiwe yan hata usaidiwe miaka mia hamuwez ishinda Mwanza labda mpaka ombaomba wote wa Dodoma warud home kwao
 
Wewe ni mbwa tuu siku zote [emoji116]
Kwa hyo hizo takwimu ndo zinasema utajiri na hizi zisemeje[emoji116]
20220814_160012.jpg
 
Mwambie huyo mtt wa kike kwanza mapato ya halmashauri sio pato la taifa mfano mwanza had sasa hv stand kubwa na soko kuu kubwa linaloizidi la ndugai mara 4 lipo karibu kukamilika af anatuletea habar za mapato ya halmashauri tangu lini Yana akisi pato la mtu
 
Dom itafanya mjikojolee mchana bure[emoji116]
Unatuumiza macho na mapicha yako ya watu watu wakitembea pembeni ya vifusi vya mchanga na mawe, na mapicha ya barua ndeeefu! Chutama tu mkuu, mbona sisi wa chugga tume kubali ku bow down kwa Rock City? We una shindwa nini kuku Ali tu kuwa dodoma ina safari ya miaka kama 3000 nyuma ya Mwanza? Grow up man

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Unatuumiza macho na mapicha yako ya watu watu wakitembea pembeni ya vifusi vya mchanga na mawe, na mapicha ya barua ndeeefu! Chutama tu mkuu, mbona sisi wa chugga tume kubali ku bow down kwa Rock City? We una shindwa nini kuku Ali tu kuwa dodoma ina safari ya miaka kama 3000 nyuma ya Mwanza? Grow up man

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
af kinachonishangazaga Dodoma utakuta serikali wamewajengea jengo kwa msaada wa Tasaf ukiangalia maeneo mengine ni mapori watu hawajengi
 
Unatuumiza macho na mapicha yako ya watu watu wakitembea pembeni ya vifusi vya mchanga na mawe, na mapicha ya barua ndeeefu! Chutama tu mkuu, mbona sisi wa chugga tume kubali ku bow down kwa Rock City? We una shindwa nini kuku Ali tu kuwa dodoma ina safari ya miaka kama 3000 nyuma ya Mwanza? Grow up man

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]acceptance mkuu
 
Rockcity kinachoifanya ikue kwa kas imezungukwa na miji ya maana kama kahama,Geita,katoro,bukoba,tarime,Musoma sasa Dodoma imezungukwa cjui na bahi,mpwapwa,gairo,ikungi,kongwa itaendelea lini😄😄😄😄😄
 
Hutu tupicha 3 twa kutafutiza mitaani Ndio tunakuzuzua au? [emoji16][emoji16]

Unaweza pata mandhari kama Haya hapo Mwanza ? [emoji116]
A1 Hotel ipo arusha nyuma kidogo kabla ya arusha airport, (kilimo anga) picha zote ulizoweka hapa ni za eneo hilo, wenyeji wanapaita Ndorobo, Acha janjajanja mzee

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom