Mwanza ni size ya Mbeya πThe beautiful lake Victoria View attachment 2388333View attachment 2388334
Wingi wa kata sio sababu Mwanza ina 546kmΒ² na Dodoma inazaid ya 2000kmΒ² but bado mwanza ipo more urbanised kuliko Dodoma kwan Dodoma inaeneo kubwa lakin eneo lililo urbanised ni less than 100kmΒ²
Nimeipenda hii naweza kuichukua kwa mahitaji yangu ya baadae....
Siku dodoma ikifika hapa [emoji116].nitag huku hamna outdated uniform housing .kama kota za NHC kisasa... private investment is on [emoji91]
Ujenzi wa flats /residential apartment [emoji116][emoji116]...jiji la sato rini aka rock city View attachment 2388326View attachment 2388327
Huna jipya popoma mkuuππππDodoma ni Jiji planned sio zizi..Tanzania inajivunia Majiji 3 tuu bayo ni,
Dar,
Dom,
Arusha..
Huko kwingine ni mkusanyoko wa watu na slums tuu.
The future is bright..........sensa inaenda kutoa majibu ya wapi resources za taifa zinatakiwa zielekezwe Kwa wingi ...[emoji116][emoji116][emoji116] upanuzi wa barabara ya kenyata km 25 dual carriage...Mwanza ni size ya Mbeya [emoji116]
TANZAM yote kutoka Igawa hadi Tunduma.itakuwa dual carriage way km 272 sembuse huto tu km 25? ππThe future is bright..........sensa inaenda kutoa majibu ya wapi resources za taifa zinatakiwa zielekezwe Kwa wingi ...[emoji116][emoji116][emoji116] upanuzi wa barabara ya kenyata km 25 dual carriage...View attachment 2388419View attachment 2388420
Wivu tuπ π π π π π πTANZAM yote kutoka Igawa hadi Tunduma.itakuwa dual carriage way km 272 sembuse huto tu km 25? ππ
[emoji116][emoji116]TANZAM yote kutoka Igawa hadi Tunduma.itakuwa dual carriage way km 272 sembuse huto tu km 25? [emoji16][emoji16]
Yaani mimi nione wivu wa km 25 wakati kuna km 218 zinakuja? Si ntakuwa kichaa kama wewe Sasa π¬π¬..Wivu tuπ π π π π π π
Naona inyala na igawa ni dodoma eti [emoji16][emoji16][emoji16]tulia baba....bado amodiakwini haijakaa vizuri kwenye damu[emoji116]Yaani mimi nione wivu wa km 25 wakati kuna km 218 zinakuja? Si ntakuwa kichaa kama wewe Sasa [emoji51][emoji51]..
Soma taratibu [emoji116]
Ingia website ya TRA waambie wafanye update waweke taarifa za 2021/2022..Naona inyala na igawa ni dodoma eti [emoji16][emoji16][emoji16]tulia baba....bado amodiakwini haijakaa vizuri kwenye damu[emoji116]
MAPATO YA TRA mbeya imechakazwa mbali mno na shinyanga.....,,[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2388491
Akileta nahama JF[emoji116][emoji116]
Isamilo neighborhood.... ukiniletea neighborhood kama hii dodoma..ni PM nikutumie ten ya bando [emoji14]View attachment 2388442View attachment 2388443View attachment 2388444
Jamaa anataja Arusha anataja Mwanza ila sidhani kama pote anapafahamu......
Siku dodoma ikifika hapa [emoji116].nitag huku hamna outdated uniform housing .kama kota za NHC kisasa... private investment is on [emoji91]
Ujenzi wa flats /residential apartment [emoji116][emoji116]...jiji la sato rini aka rock city View attachment 2388326View attachment 2388327
[emoji13][emoji13][emoji13]watu wapo site na bati tayari zimepigwaNyie watu wa Dodoma kwenye mradi wa reli Dar es salaam kuna daraja la juu la km 2.3 mwanza watajenga km 1.5 na tyr maandalizi yameanza je Dodoma mna daraja la juu km?[emoji1][emoji1][emoji1] au mnasubir mji wa mtumba mpk ukue