Yaani kamji kamtumba tumekamwaga ziwani na haturingi [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Thamani ya huu mradi mmoja. Ni sawa vimiradi vyote vya hapo ugogoni.....
[emoji116]..maana halisi ya kutengeneza hub ya maziwa makuu ni hii[emoji116][emoji116]View attachment 2389158View attachment 2389159View attachment 2389160
Mwambie tunajenga njia nne kutoka mjini Hadi misungwi km 55 πππYaani kamji kamtumba tumekamwaga ziwani na haturingi [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Sasa dual carriage sio deal tena mpaka DC za Mwanza zinapigwa dual carriageMwambie tunajenga njia nne kutoka mjini Hadi misungwi km 55 [emoji1][emoji1][emoji1]
yan Dodoma mtatapika damu ππSasa dual carriage sio deal tena mpaka DC za Mwanza zinapigwa dual carriage
[emoji13][emoji13][emoji13]yan Dodoma mtatapika damu [emoji1][emoji1]
Shd ni kwamba unaweza ichukia mwanza je utajitenga nayo vp unaipenda future yako kisiasa?πππ[emoji13][emoji13][emoji13]
M[emoji16][emoji16][emoji16]Yaani kamji kamtumba tumekamwaga ziwani na haturingi [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Hv hii meli na Mv
Hii meli itakuwa ya kitalii ina ukumbi wa kuchukua watu 400 so watu wanaweza kufunga ndoa kwny meliπππ[emoji445][emoji445][emoji443][emoji443]Kizz Daniel ft tekno .BUGA [emoji344][emoji344][emoji344][emoji443][emoji444][emoji444][emoji444]...mwanza now[emoji867][emoji8]View attachment 2390381View attachment 2390382
Ukitoa muhimbili kuna hospitali gani hapa Tanzania inaweza ikaribia Hospital ya bugando kwa kutoa huduma mbalimbali za kibingwa na kibobezi.Wakati Mwanza mnashangilia stand,Dom inashangilia huduma Bora kabisa za afya hapa Benjamin Mkapa Hospital π
Benjamin Mkapa Hospital ambayo inafanya hadi oparesheni za moyo,nkUkitoa muhimbili kuna hospitali gani hapa Tanzania inaweza ikaribia Hospital ya bugando kwa kutoa huduma mbalimbali za kibingwa na kibobezi.
*Bado mnasafari
Bugando inajenga cardiac institute
Bugando inafanya operationa za mioyo sio moyo tu na inajenga institute ya moyo kabisaaaaππππBenjamin Mkapa Hospital ambayo inafanya hadi oparesheni za moyo,nk
Bugando hakuna.
UjingaMnachiahindwa kuelewa ni kwamba Dodoma kwa kiwango kikubwa inajengwa na serikali tofauti na mwanza .Mwanza inajengwa na wananchi wake na wafanya biashara chagua mkoa kati ya dodoma na mwanza ni wapi unaweza kutoboa kibiashara kilimo uone utaenda wapi mkoa wa dodoma chanzo cha mapato sijui ni zabibu hata siielewi kabisaa
wewe mwenye akili tuambie dodoma ina fursa gani kuzidi Mwanza?Ujinga