Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Huyu jamaa kakurupuka nilikuwa namrudisha tu relini asiichukulie poa Shinyanga kuilinganisha na Kahama, siku zote miji midogo yakibiashara kama Kahama mara nyingi uchangamka sana mjini na huwa na movement kubwa senta kiasi kwamba usipokuwa makini waweza dhani ni miji mikubwa ila ukichepuka kidogo tu pembeni unakumbana na vichaka vya nyasaka, bulyang'hulu na kagongwa-kahama kimoja.
Wengi uwa wanaikosea sana heshima Shinyanga mjini kuilinganisha na Kahama mjini.Shinyanga ni mji mkubwa sana,Mitaa tu yapembezoni mwa mji kamwe uwezi linganisha ata na ya Kahama kati.Wengi wamezoea wakipita Barabara kuu ya Shy-Mwz,Shy-Tbr wanajua ndio mji ulipo hapo.Kahama ni mji mdogo uliosongamana eneo moja,wakati Shy mjini umetanuka mji unapumua uwezi linganisha Kahama ya mwendakulima-mjini kati-Manzese na Shy ya Mjini kati,lubaga mpaka bushushu.Shinyanga linganisha na Tabora au Iringa
 
Mkiambiwa msafiri hamtaki kutwa mko humu kujifanya wapingaji, sasa kwa akili yako unadhani nchi hii kuna gardens nzuri za mjini kama chinangali na nyerere square?

Hivi umeshawahi safiri na baadhi ya mabasi haya; Kimbinyiko, Shabiby, ABC n.k hivi unadhani usipoenda Dom mshikaji wangu hizi luxury utazijulia wapi?
Ile nyerere square ukiachana na ule ukuta kuna nini cha maana?

Kuhusu mabus,
Naona umetaja tu yutong F12+ zilizopunguzwa idadi ya viti na kujazwa runinga!!

Ambazo hizo zoote ni upuuzi tu hata kwa ile marcopolo G6 ya zuberi, inayofanya safari zake mwanza -dar!

Huyo huyo zuberi anayo MERCEDES-BENZ NEO BUS & SCANIA MARCOPOLO G7.. (hizi siyo level za ma'bus uliyotaja )

hapo sijakuwekea KUREED HUNTERS Irizar PB
ambazo ni bus zenye muonekano mzuri kuliko zote Tanzania (kwa sasa wamezihamishia dodoma[emoji22][emoji22])

Mihanyenyi!!!!!
 
dar ilipitishwa operation wakapungua ila kwa dodoma naona omba omba ni legal business
NI jiji la pesa na matajiri kwa Sasa,so hao lazma wawepo si wanaona wakiingia mtaani wanazikusanya za kutosha!!,ukifika Nairobi au machakosi ombaomba wapo pia kibao,halafu omba omba wa Nairobi ni watata balaa,wanaombaga kwa ubabe utazani zao!! Ukimpa salafu anakuchek na hadhi yako anaweza kukutusi kabisa!!
 
Mlima wa mizeituni
Naona kwenye inshu ya bustani ya umma umeponda lakini ujaleta mbadala, anyway thamani ya bustani ni pamoja na mahali inapopatikana (mandhari/kuwa city centre),pia inavyotumiwa au inahandle watu wangapi kwa siku, ina viti, miti, nyasi, mapambo, tiles,kuta/uzio, usafi, usalama, amenities zingine kama displays,mgahawa n.k ambavyo vyote nyerere square aina mpinzani wake.

Kuhusu mabasi sikupingi kulingana na mifano michache ya mabasi niliyotolea mfano kwenye uzi dizaini umekuja na utafiti wako wa mabasi kuprove kuwa siyo zaidi kuna wababe wengine wa ruti,

kwa hapo nakubaliana nawe kwa sababu Tz ndo nyumbani kwao mabasi mazuri yote ukanda huu hivyo record kila siku zinavunjwa ila pia nimependa kipengele chako cha mwisho baada ya kukubali kuwa basi la kureed Hunters baada ya kuona mwanza mambo hayaendi wameamia Dom ilipo pesa.
 
Wengi uwa wanaikosea sana heshima Shinyanga mjini kuilinganisha na Kahama mjini.Shinyanga ni mji mkubwa sana,Mitaa tu yapembezoni mwa mji kamwe uwezi linganisha ata na ya Kahama kati.Wengi wamezoea wakipita Barabara kuu ya Shy-Mwz,Shy-Tbr wanajua ndio mji ulipo hapo.Kahama ni mji mdogo uliosongamana eneo moja,wakati Shy mjini umetanuka mji unapumua uwezi linganisha Kahama ya mwendakulima-mjini kati-Manzese na Shy ya Mjini kati,lubaga mpaka bushushu.Shinyanga linganisha na Tabora au Iringa
Ni kweli mkuu, naona katembezewa moto katokomea ajarudi tena kutetea hoja yake zaidi ya kuingia mitini.
 
Majengo marefu ni kuanzia ghorofa ngapi mkuu?

-Ukaguzi house!
-NHIF!
-Kambarage!
-jengo la hotel mpya karibu na makao makuu ya chama!

Ukiachana na hayo Majengo ma 4 niliyoyataja hapo juu, hebu taja mengine marefu yaliyofanya dodoma iipiku mwanza...
Kuondoa utata kwa kuzingatia nature ya miji yote miwili tuanze na above kumi mpaka 16 naamini hamna jengo refu zaidi ya flow hizo kwa miji yote miwili.
 
Kuondoa utata kwa kuzingatia nature ya miji yote miwili tuanze na above kumi mpaka 16 naamini hamna jengo refu zaidi ya flow hizo kwa miji yote miwili.
Sawa mkuu! Hayo niliyotaja yanaweza kuwa kwenye hilo kundi au pungufu kidogo!

Sasa ongezea mengine yenye urefu huo au zaidi ili tulinganishe na mwanza..
 
Mwanza itabaki kua juu siku zote, hakuna mji ulio mwambao wa maji ukawa ni wa kifala, Ddm itajengwa lakini Mwanza siyo kwamba itakua imesimama la hasha, itakua inaendelea pia na ilisha jengwa toka zamani pia
Kulingana na imani yako juu ya miji yote inayokuwa mwambao wa maji hailinganishwi na miji ya in land vipi kuhusu Lindi nayo tusemeje?

Ni kwambie huko kote ni kutapatapa tu kifupi Mwanza itapitwa tu kama ilivyopitwa Tanga msipokuwa makini historia inaweza ikaandikwa tena na Dodoma before 2035
 
Wewe utakua ni mtoto mtoto hivi
Unaweza kuwa jitu zima lakini litoto vilevile, kinachofanya uwe mtu mzima siyo umri tu bali pia unavyojitofautisha kwa kufikiri na kutenda. Sasa badala ulete hoja ya kuitetea Mwanza unavyoikubali tukuelewe umesharukia yasiyohusiana na mada jadiliwa.
 
dar ilipitishwa operation wakapungua ila kwa dodoma naona omba omba ni legal business
Ni suala la muda tu kwani machinga waliondoka vipi mijini hata hao nao watafyata time yao ikiwadia
 
2276865_IMG_20200117_000419.jpg

Hii ni View ya Jiji la mwanza, hebu tuleteeni dodoma nayo tuione
 
Back
Top Bottom