The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Tofautisha Vituo vya Mkoa na vya JijiniVituo vya mafuta..[emoji116]View attachment 2485589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofautisha Vituo vya Mkoa na vya JijiniVituo vya mafuta..[emoji116]View attachment 2485589
Capital City Mall ni mradi wa serikali ya Kijiji I kwenu koromije au Private sector?Leta miradi ya private investors humu, jiulize kwanini Dodoma ina uchumi unaolingana na Singida.
🤣🤣NHC
👇
We kweli dormant mind... figure hupingwa Kwa figure.leta hiyo figure ya majiji ,,,.no research no right to speak..Tofautisha Vituo vya Mkoa na vya Jijini
Nikusaidie.kuna capital mall ,na shoppers plaza ..kwisha habari yen hamna kingine Cha zaidi na hapo [emoji28][emoji28][emoji28]Capital City Mall ni mradi wa serikali ya Kijiji I kwenu koromije au Private sector?
Mall ziko 2,Mwanza mnazo ngapi? Au ndio hizo mnazoota? 😁😁Nikusaidie.kuna capital mall ,na shoppers plaza ..kwisha habari yen hamna kingine Cha zaidi na hapo [emoji28][emoji28][emoji28]
Huna hoja,just enjoy how Beautiful Dom is 👇Umeanza kuharibu uzi, unataka kufanya liuzi liwe kama lile la dar vs nairobi la kupost mpaka mtu amekula nini, kupost anaishi nyumba gani, mara chakula anachokula, mambo ya hivyo usilete humu.
Nakukubali kamanda wewe ni mwanauchumi mbombezi kariba ya prof Lipumba.We kweli dormant mind... figure hupingwa Kwa figure.leta hiyo figure ya majiji ,,,.no research no right to speak..
Dodoma Petro station ni za kuhesabu .kuanzia Nala mpaka mtumba hazifiki sheli 20 ,kuanzia mkonze Hadi msalato hazifiki sheli 15 ...
Wakati Mwanza Kila mtaa Kuna Petro station
Shoppers ni mall [emoji28][emoji28].ukitumwa mall utaleta Hiyo capital city ya hapo emaus [emoji28][emoji28]....Mall ziko 2,Mwanza mnazo ngapi? Au ndio hizo mnazoota? [emoji16][emoji16]
Mall ziko 2,Mwanza mnazo ngapi? Au ndio hizo mnazoota? 😁😁
Nakukubali kamanda wewe ni mwanauchumi mbombezi kariba ya prof Lipumba.
Leta picha za mall za huko mbuyuni city tulinganishe na plazza za Mwanza.Mall ziko 2,Mwanza mnazo ngapi? Au ndio hizo mnazoota? 😁😁
Huna hoja,just enjoy how Beautiful Dom is 👇
Vitega uchumi vyatakiwa vijijenge kutokana na hali ya uchumi ya watu husika.Dodoma hamuiwezi,tumewachoka Kila siku vijengo hivyo hivyo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Mall kubwa kama Mlimani City kujengwa Dom ,video[emoji116]
Bora umesema wewe, serikali inatumia nguvu kubwa karibu nusu ya mapato ya Tanzania yanaushia Dodoma na Dar, hizo nguvu za kulazimisha ukuaji wa dodoma ni bora wangepeleka Geita ili we kama jo'bergVitega uchumi vyatakiwa vijijenge kutokana na hali ya uchumi ya watu husika.
Hapo kinachofanyika ni kulazimisha kitu ambacho hakitatokea
Kwamba zile frames mnazoziita Dodoma City Mall kabisa mnahesabia ni mall? Na hio Capital City?Mall ziko 2,Mwanza mnazo ngapi? Au ndio hizo mnazoota? [emoji16][emoji16]