ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Msalato Airport progress
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapato ya Jiji Dom bil.50 Mwanza bil.37 [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ddoma ni kipande kidogo sana katika Mwanza. Inshort Dodoma bado ni kimji kidogo sana!
Hizi za dom si unarudia zilezile kila siku
UswaziAcha kutuonyesha Jangwa na mapori, angalia mji hapa
View attachment 2524559
Mbona wewe unarudia rudia kapicha kamoja ?Hizi za dom si unarudia zilezile kila siku
Ukiniletea mtaa wenye majengo yaliyotengeneza skyline kama hii dodoma ...nitag[emoji116]
Dom sio sawa na Miji yenu ya kishamba ambayo Iko congested sehemu Moja..Ukiniletea mtaa wenye majengo yaliyotengeneza skyline kama hii dodoma ...nitag[emoji116]
Nyerere road [emoji91]View attachment 2524737
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo pande zote zikowapiDom sio sawa na Miji yenu ya kishamba ambayo Iko congested sehemu Moja..
Dom ni Jiji la Kisasa linajengwa pande zote
AiseeDom sio sawa na Miji yenu ya kishamba ambayo Iko congested sehemu Moja..
Dom ni Jiji la Kisasa linajengwa pande zote
Pamoja na kwamba ni picha ya zamani ila inapendeza sanaMwonekano wa Zizi la dodoma likiwa na mbuzi .[emoji16][emoji16][emoji116][emoji116]View attachment 2524740
Sent using Jamii Forums mobile app
Dodoma ni chafu kupindukia, jiji ambalo ni capital ya nchi mpaka leo watu wake wanajisaidia kwenye vichaka vya stand ya 77 pembezoni mwa Dodoma Sec School!!DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD
Kama hiyo ndiyo Uswazi, hebu imagine mjini kukoje? na uzuri wake.Uswazi
kijiji cha ujamaaMwonekano wa Zizi la dodoma likiwa na mbuzi .[emoji16][emoji16][emoji116][emoji116]View attachment 2524740
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipya kipi hapo au huo wimbo ndio umekuvutia?